Ni nini maana ya certified true copy

Ni nini maana ya certified true copy

Kwa mara nyingine tena ni mimi na mambo ya Ajira portal msinichoke.

Wakuu ivi certified true copy ukiachana na kiwe na muhuri wa wakili, je inaweza kuwa hata black and white au ni lazima iwe colored.

Ni mimi kijana wenu nawasilisha
Mkuu worry not tupo hapa kujuzana
Vyeti si lazima viwe colored vinaweza kuwa black and white ila hakikisha copy zinaonekana vizuri
Ukiweza toa coloured vionekane vizuri zaidi

Maana ya certified true copy ni kwamba "hii imethibitishwa ni copy halisi ya cheti origina",ndio maana kiuhalisia mwanasheria anatakiwa aone original ya vyeti vyako kabla hajamwaga wino ili asema kile alichokiona

Ila wanasheria wengi ni washikaji wanasaini tu ata kama original hukwenfa nayo kikubwa umenpa posho muliokubaliana😀
 
Wakuu, mm wakati najaza taarifa zangu za ajira Portal, nilijaza mwnyw kwa zaid ya 90% n vitu vichache sana niliuliza kwa watu.
Sasa cjui n kwamba watu hawataki kushughulisha vichwa vyao au n vp
Tuwavumilie jaman
 
Mimi nishajazaga kitambo mkuu, Sema shida nilikuwa nataka kuhakiki kama nipo sahihi ama la, maana

Kama wewe ni msomi ungejibu kisomi angalau basi kaka, usitangulize hisia zako mbele bila utashi, ni kweli hili swali lina uhusiano wowote na degree, like serious!
Kikubwa ushapata jibu lako jitahidi usijibu comment ambazo ziko negative na wewe, hapa jamii forum tuko watu wa kila aina😀😀
Wengine wapo kukwaza wenzao sasa ukipanic utajikuta unagombana na keyboard maana unayejibizana naye umuone😀 usikute ni robot ndo anakuchatisha afu ww unapanic
Hapa jamii forum kuwa mvumilivu asa unapohitaji ufafanuzi wa jambo maana katika comment 10 zinaweza kuja 7 za spana kwako
Usifanye hasira
Kila lakheri mpwa😀
Watanzania wanabubujikwa na machozi ya furaha mama kawafikia ajira kede kede by Lucas mwashambwa 😀endelea kuongeza received hapo ulipo
 
Siku nyingine ujifunze kwa kusoma Mkuu sio kuuliza maswali ambayo majibu yapo wazi kabisa. Kama uliweza kuuliza hapa jukwaani ulishindwa vipi kutafuta google. Kwani Unit za computer na communication skills mwaka wa kwanza ulizisoma ili nini?
Google sio trusted source of information, kama kweli wewe ni msomi unafahamu hilo, na mbona hili swala ni la kijamii zaidi sio la kisomi ndio mana nimekuja kwenye jamii mnipe maelekezo, tatizo liko wapi apo
 
Wakuu, mm wakati najaza taarifa zangu za ajira Portal, nilijaza mwnyw kwa zaid ya 90% n vitu vichache sana niliuliza kwa watu.
Sasa cjui n kwamba watu hawataki kushughulisha vichwa vyao au n vp
VIjana siku hizi tumekuwa wavivu sana wa kufikiri.

Wazazi wanapaswa kuboresha malezi ya akina Junior.
 
Nimesikitika hata mie kwenye hili asee, kama mtu wa degree anashindwana na jambo hili, vipi uelewa wa mtoto wa darasa la 7? Means hili swali angeulizwa na mdogo wake wa la 7 asingeweza kumpa jibu.
Afu humo humo anachanga "R na L"..so sad
 
Nimesikitika hata mie kwenye hili asee, kama mtu wa degree anashindwana na jambo hili, vipi uelewa wa mtoto wa darasa

Nimesikitika hata mie kwenye hili asee, kama mtu wa degree anashindwana na jambo hili, vipi uelewa wa mtoto wa darasa la 7? Means hili swali angeulizwa na mdogo wake wa la 7 asingeweza kumpa jibu.
Afu humo humo anachanga "R na L"..so sad
Sawa mkuu, ila Nina swali kwako ivi wewe unaamini degree inaweza kukufanya ufahamu kila kitu, wewe huwezi kuhitajia maarifa kwa darasa la saba? pia unaandika kama mtoto wa darasa la pili, baada ya "mimi" unasema mie, ni "aisee" na sio asee, ushauri wangu kwako hakuna mkamilifu mala kibao lectures ana PHD lakini akifika darasani mambo mengi pia ya kijamii hafahamu anaomba kufahamu kutoka kwa wanafunzi wake, sasa wewe sikuelewi point yako ni nini, unatumia hisia badala ya kutumia akili yako. Shame on you
 
Inasikitisha sana, kuna maswali hadi mtu unajiuliza mbona enzi zangu sikuwahi uliza maswali kama haya.

Vijana wengi wavivu sana kujifunza, wengi wakishahitimu hawajifunzi sana
Sasa mkuu si ndio anajifunza kwa kuuliza hapa, ndio kahitimu anajifunza hivyo au kuna only one way ya kujifunza?
 
Sasa mkuu si ndio anajifunza kwa kuuliza hapa, ndio kahitimu anajifunza hivyo au kuna only one way ya kujifunza?
Ange google ingetosha kupata majibu. Alafu graduate unaulizaje kama cheti uweke coloured au black and white while portal imeeleza kila kitu?.

Kumuona yuko sawa kwenye hayo aliyouliza ni tatizo. Angetumia common sense tu ingetosha kumpa majibu. Hayo sio maswali yakuulizwa na graduate.

Jiulize, hivi Maisha yake yote ya elimh hajawahi kupeleka nakala za vyeti vyake popote? Chuo aliomba vipi? Au aliombewa ambapo ni tatizo nalo. Hajawahi kufanya field kabisa?, huko field alijifunza nini kama alifanya juu ya namna za kuomba ajira.

Graduate kazingua sana
 
Sasa mkuu si ndio anajifunza kwa kuuliza hapa, ndio kahitimu anajifunza hivyo au kuna only one way ya kujifunza?
🎓 Graduate wa developed countries hawezi kuuliza swali Kama HILI....

Ni swali la watoto wa primary na form one or two..

We have a long way to go Kama taifa upande wa quality of our education.
 
Ni uchochoro wa mawakili kula hela " ya muhuri" ya bure. Hata document halisi huwa hawana hawaangalii ukipeleka ma photocopy yako ukishawalipa kianziao Chao bas wanakugongea mhuri. Ni sawa sawa na avidavit za kuzaliwa anaandikwa Fulani kaapa kuwa kathibitisha alishuhudia kuzaliwa kwako lakini huyo muapaji Wala hawajawahi kuonana. Hii ndio bongo nyoso,
 
Google sio trusted source of information, kama kweli wewe ni msomi unafahamu hilo, na mbona hili swala ni la kijamii zaidi sio la kisomi ndio mana nimekuja kwenye jamii mnipe maelekezo, tatizo liko wapi apo
Mdogo wangu ili uendelee uliza tu ipo siku utapata majibu watu wengi wenye dharau hata ukikutana nao ni wale wa kujikweza na kujifanya wanajua kila kitu wakati hamna kitu wanajua unabishana na mtu ana mitungi ya gesi ndani ila yupo busy kumtukana mwingine...
 
Ange google ingetosha kupata majibu. Alafu graduate unaulizaje kama cheti uweke coloured au black and white while portal imeeleza kila kitu?.

Kumuona yuko sawa kwenye hayo aliyouliza ni tatizo. Angetumia common sense tu ingetosha kumpa majibu. Hayo sio maswali yakuulizwa na graduate.

Jiulize, hivi Maisha yake yote ya elimh hajawahi kupeleka nakala za vyeti vyake popote? Chuo aliomba vipi? Au aliombewa ambapo ni tatizo nalo. Hajawahi kufanya field kabisa?, huko field alijifunza nini kama alifanya juu ya namna za kuomba ajira.

Graduate kazingua sana
Hakuna mahali portal wameeleza maana ya certified true copy kama ni coloured au ni black and white, swali langu lilikuwa hapo kwenye coloured ama ni black and white,
 
Kuuliza si ujinga
Wasiwasi ndio akili..
Usichoke kuuliza...
Kweny barua kumbuka address ya psrs, alafu sign mwisho
 
Back
Top Bottom