Ni nini msimamo wa CCM kuhusu kuuzwa kwa bandari ya Dar es Salaam kwa Waarabu?

Ni nini msimamo wa CCM kuhusu kuuzwa kwa bandari ya Dar es Salaam kwa Waarabu?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Ndg zangu Watanganyika bila kuwasalimia ninakumbuka kuwa ACT wazalendo na Chadema wametoa msimamo wao kuwa bandari yetu Isiuzwe kwa warabu au wajomba wa Samia huko Oman.

Je, ni nini msimamo wa CCM? Au wao kukaa kimya Ndio wameshakubali bandari iuzwe?

CCM njooni JF Leo tar 10.6.2023 kabla bunge halijaamka na neno NDIYOOOOO huko Dodoma.
 
Ndg zangu Watanganyika bila kuwasalimia ninakumbuka kuwa ACT wazalendo na Chadema wametoa msimamo wao kuwa bandari yetu Isiuzwe kwa warabu au wajomba wa Samia huko Oman.

Je, ni nini msimamo wa CCM? Au wao kukaa kimya Ndio wameshakubali bandari iuzwe?

CCM njooni JF Leo tar 10.6.2023 kabla bunge halijaamka na neno NDIYOOOOO huko Dodoma.
Msimamo wa ni ndioooo/matumbo yetu kwanza,wengine watajijua wenyewe na Kuwa tupambane na hali zetu😀😀😀😀
 
Ndg zangu Watanganyika bila kuwasalimia ninakumbuka kuwa ACT wazalendo na Chadema wametoa msimamo wao kuwa bandari yetu Isiuzwe kwa warabu au wajomba wa Samia huko Oman.

Je, ni nini msimamo wa CCM? Au wao kukaa kimya Ndio wameshakubali bandari iuzwe?

CCM njooni JF Leo tar 10.6.2023 kabla bunge halijaamka na neno NDIYOOOOO huko Dodoma.
Msimamo wetu ni kuwakabidhi waarabu bandari zote!! CDM wanataka kukwamisha maendeleo ya Nchi!!✌️🤣🤣🚶🚶🚶
 
CCM kupitia ilani ya 2020 hatukumtuma Magu kuuza bandari na hakufanya hivyo.

Sa100 tusiyemchagua ametoa wapi maamuzi haya ya kujituma asichotumwa na chama?
 
Msimamo wetu ni kuwakabidhi waarabu bandari zote!! CDM wanataka kukwamisha maendeleo ya Nchi!!✌️🤣🤣🚶🚶🚶
Bora hao,ila sisi kwa laana na dhambi wanazozitafuta wazee wa ndioooo/matumbo kwanza😂😂😂🤔🤔
 
Kwa Hali ilivyo dodoma leo:
1. Bandari zote zinauzwa leo
2. Saa100 ataendelea kukopa mikopo nje
3. Safari Za nje zitaongezeka
4.Kule Ngorongoro nako patauzwa
5. Kuna special mining licence imeuzwa kwa waaustalia kule songwe ya earth rare elements Kumbe wanachimba dhahabu- Doto Biteko
5. SGR itakuja kuuzwa
6. ATCL ITAUZWA
7. Gas ilishauzwa
 
Mwaka 2025 utashangaza wengi kwenye siasa za Tanzania.
 
Back
Top Bottom