Ni nini naweza kutumia ili nywele zangu kuwa kavu na ngumu?

Ni nini naweza kutumia ili nywele zangu kuwa kavu na ngumu?

Melancholic

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
3,076
Reaction score
5,483
Habari za muda huu wakuu, hope mmeamka salama.

Nisiwapotezee muda moja kwa moja nijikite kwenye mada. Kuna jambo moja ambalo linanipa kero sana ni kwamba nimekuwa nina nywele laini kiasi kwamba kuna watu wanajua kwamba huwa naweka dawa zile wanazotumia wanawake na hizi nywele mimi nimerithi kwa mama,

Na mbaya zaidi hatuna asili ya kipemba au kisomali ni wakurungwa wa humu humu na tatzo sasa mimi ni mtoto wa kiume kitu ambacho kinanipa kero sana. Na kinanifanya nashindwa kujiamini mbele za watu.

Ni nini naweza tumia ili nywele zangu kuwa kavu na ngumu?
 
Habari za muda huu wakuu, hope mmeamka salama.

Nisiwapotezee muda moja kwa moja nijikite kwenye mada. Kuna jambo moja ambalo linanipa kero sana ni kwamba nimekuwa nina nywele laini kiasi kwamba kuna watu wanajua kwamba huwa naweka dawa zile wanazotumia wanawake na hizi nywele mimi nimerithi kwa mama,

Na mbaya zaidi hatuna asili ya kipemba au kisomali ni wakurungwa wa humu humu na tatzo sasa mimi ni mtoto wa kiume kitu ambacho kinanipa kero sana. Na kinanifanya nashindwa kujiamini mbele za watu.

Ni nini naweza tumia ili nywele zangu kuwa kavu na ngumu?
 
"Habari za mudaa huu wakuu, hope mmeamka salama.

Nisiwapotezee muda moja kwa moja nijikite kwenye mada.
Kuna jambo moja ambalo linanipa kero sana ni kwamba nimekuwa nina nywele laini kiasi kwamba kuna watu wanajua kwamba huwa naweka dawa zile wanazotumia wanawake na hizi nywele mimi nimerithi kwa mama,

Na mbaya zaidi hatuna asili ya kipemba au kisomali ni wakurungwa wa humu humu na tatzo sasa mimi ni mtoto wa kiume kitu ambacho kinanipa kero sana.
Na kinanifanya nashindwa kujiamini mbele za watu

Sasa je nitumie nini ili kuzifanya nywele zangu kuwa ngumu na kavu.
Ukisikiliza walimwengu kamwe hutoishi maisha unoyataka wewe
kwani wamekuumba wao?
 
Habari za mudaa huu wakuu, hope mmeamka salama.

Nisiwapotezee muda moja kwa moja nijikite kwenye mada.
Kuna jambo moja ambalo linanipa kero sana ni kwamba nimekuwa nina nywele laini kiasi kwamba kuna watu wanajua kwamba huwa naweka dawa zile wanazotumia wanawake na hizi nywele mimi nimerithi kwa mama,

Na mbaya zaidi hatuna asili ya kipemba au kisomali ni wakurungwa wa humu humu na tatzo sasa mimi ni mtoto wa kiume kitu ambacho kinanipa kero sana.
Na kinanifanya nashindwa kujiamini mbele za watu
Mbona sioni tatizo mkuu, wewe ni kujiamini na kuwa proud na mama yako.
 
  • Thanks
Reactions: LD
Habari za mudaa huu wakuu, hope mmeamka salama.

Nisiwapotezee muda moja kwa moja nijikite kwenye mada.
Kuna jambo moja ambalo linanipa kero sana ni kwamba nimekuwa nina nywele laini kiasi kwamba kuna watu wanajua kwamba huwa naweka dawa zile wanazotumia wanawake na hizi nywele mimi nimerithi kwa mama,

Na mbaya zaidi hatuna asili ya kipemba au kisomali ni wakurungwa wa humu humu na tatzo sasa mimi ni mtoto wa kiume kitu ambacho kinanipa kero sana.
Na kinanifanya nashindwa kujiamini mbele za watu
Usijali wewe jiamini hiyo njia pekee na endelea na maisha yako
 
Muulizie jamaa mmoja yupo huko Twitter anaitwa khalfa au #that boy naye ananywele Kama zako ,atakupa ushauri wa kujiamini.
 
Back
Top Bottom