Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,165
- 16,791
malipo ni hapa hapa dunianiAcha umbumbu ni sight mirror physics form two
VP kuhusu ile nanilii na under break au hand break IPI sahh
hand break = end brake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
malipo ni hapa hapa dunianiAcha umbumbu ni sight mirror physics form two
VP kuhusu ile nanilii na under break au hand break IPI sahh
Nijuavyo mimi vioo vyote vya ndani na nje ni SIGHT MIRRORS, katika hivyo, vile vya nje ni SIDE MIRRORS.
amenena nini sasa hapo?Umenena Mkuu
Sio hazieleweki wewe ndo hujaelewa!amenena nini sasa hapo?
sentesi hata hazieleweki eti amenena we vipi?
embu soma upya alichoandika
Hahhah acha umbumbu iyo ni darasa la pili english,,,hand brake...Acha umbumbu ni sight mirror physics form two
VP kuhusu ile nanilii na under break au hand break IPI sahh
Hahaha umetishaHahhah acha umbumbu iyo ni darasa la pili english,,,hand brake...
umewaza sanaMkuu wasikuchanganye hao vile vioo vinaitwa SAIDI VUAI MILA, jina hilo limetokana mvumbuzi wa hivyo vioo ambaye alikuwa mzenji, miaka ya nyuma magari yalitengenezwa bila ya kuwa na vioo pembeni hivyo huyo mzenji akaja na huo ubunifu wa kuweka vioo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii lugha na hata kiswahili ni shida, umenifurahisha mkuu.....Kosoa taratibu, ama kweli nyanyi.......[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kosoa taratibu mkuu. BREAK ni kuvunja, pengine ulikusudia BRAKE.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]malipo ni hapa hapa duniani
hand break= hand brake
Ni Wings Mirror au Side Mirror. Nafikiri kwa sight mirror ni broader term mkuu.Ndugu wadau,
Naomba kujuzwa kitaaluma vioo vya pembeni vinavyomuongoza driver katika kuendesha gari au pikipiki vinaitwa SIDE MIRRORS au SITE MIRRORS kwa kuwa watu wengi hutamka kati ya maneno hayo mawili nami natatanika lipi ni sahihi kitaalamu.
Mkuu wasikuchanganye hao vile vioo vinaitwa SAIDI VUAI MILA, jina hilo limetokana mvumbuzi wa hivyo vioo ambaye alikuwa mzenji, miaka ya nyuma magari yalitengenezwa bila ya kuwa na vioo pembeni hivyo huyo mzenji akaja na huo ubunifu wa kuweka vioo.