Subiri atimize hata miaka mitanowakuu hivi muda sahihi wa kumtahiri mtoto ni upi?maana wangu ana miezi 6
asanteSubiri atimize hata miaka mitano
[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha dogo mmoja ali pewa school fees akaenda kutairiwawakuu hivi muda sahihi wa kumtahiri mtoto ni upi?maana wangu ana miezi 6
Hii inategemea... Akikumbana na infection kubwa wanatahiri.. inategemea ila mostly ni kuanzia 5yearSubiri atimize hata miaka mitano
Inaonekana huyu mtoto, usafi ni changamoto kidogo...Tatizo hili limemtokea ana wiki ya pili sasa, nilimpeleka hospitali akapata matibabu jumamosi kwa Dkt. bingwa wa watoto lakini naona bado hakuna nafuu, Dkt. alimpa dawa za kupaka za mwezi mzima na dawa ya kumeza ya siku tano.
Naomba wataalamu mnisaidie. Sehemu anayoumwa na dawa naziambatanisha hapa ili muone na mnishauri.
View attachment 2678132
View attachment 2678135
View attachment 2678137
.
Miaka 10 ndo vizuri zaidiwakuu hivi muda sahihi wa kumtahiri mtoto ni upi?maana wangu ana miezi 6
[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha dogo mmoja ali pewa school fees akaenda kutairiwa
Acha uongo wakwangu nimemtahiri akiwa na 5 lkn mzigo wake upo heavy, na kwa jinsi anavyokuja kwa kasi nahisi anakuja kunipita na kama angekuwa states bazzers wangemuwekea booking.Mnakosea sana kutahili vitoto vidogo,acheni mzigo ukue akikaribia balehe ndio atahiliwe.
Btw pole nenda ospitali nyingine.
Hapanambona kama ni wewe [emoji3][emoji3][emoji3]
Huyo n mtoto mdogo lkn[emoji849]huwa zinaanza kutokeza akifikisha umri gani?Pumbu zimekwenda wapi ebu nenda hospital kubwa mzigo wa pumbu ulitakiwa uwe unaning'inia hapo