Ni nini shida ya mwanangu kwenye uume wake?

Ni nini shida ya mwanangu kwenye uume wake?

The underlying cause: kutahiriwa, mtu aliyemtahiri alikata uume ngozi ya juu akapitia na vinyams vya pembeni, lakini tatizo ukawa umechelewa kuliona, au ni bacteria walishambulia aina ya mycobacterium necrofruntensis, au bacteroides... Mpeleke hospital kubwa kwa ushauri na matibabu.
 
Acha uongo wakwangu nimemtahiri akiwa na 5 lkn mzigo wake upo heavy, na kwa jinsi anavyokuja kwa kasi nahisi anakuja kunipita na kama angekuwa states bazzers wangemuwekea booking.
Eti Brazzers [emoji3] wew legend kweli mkuu site pendwa hyo
 
Tatizo hili limemtokea ana wiki ya pili sasa, nilimpeleka hospitali akapata matibabu jumamosi kwa Dkt. bingwa wa watoto lakini naona bado hakuna nafuu, Dkt. alimpa dawa za kupaka za mwezi mzima na dawa ya kumeza ya siku tano.

Naomba wataalamu mnisaidie. Sehemu anayoumwa na dawa naziambatanisha hapa ili muone na mnishauri.

View attachment 2678132
View attachment 2678135
View attachment 2678137
.
Naomba utoe details kamili,
. Umri wa mtoto
. Kidonda kimeaza lini
 
Back
Top Bottom