Tatizo hili limemtokea ana wiki ya pili sasa, nilimpeleka hospitali akapata matibabu jumamosi kwa Dkt. bingwa wa watoto lakini naona bado hakuna nafuu, Dkt. alimpa dawa za kupaka za mwezi mzima na dawa ya kumeza ya siku tano.
Naomba wataalamu mnisaidie. Sehemu anayoumwa na dawa naziambatanisha hapa ili muone na mnishauri.
.
Naomba wataalamu mnisaidie. Sehemu anayoumwa na dawa naziambatanisha hapa ili muone na mnishauri.
.