Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna chochote bana.
Au na wewe umekuwa muumini wa conspiracy theories?
Nimebaki nashangaa tu,kwa nini yote hayo matukio yatokee tarehe iliyofanana?!!
Ndugu zangu, hamna cha maana hapo! Namba 26 ni sawa na namba zingine. Hebu elewa kwanza mambo haya kwa vile mleta hoja amejikita kwenye ushahidi wa matetemeko na volkano duniani.
1. Kila sekunde, na kila dakika, maana yake, kila siku kuna tetemeko! Labda atueleze tetemeko la ukubwa gani ndo linajitokeza kwa tarehe hiyo!
2. Kila siku kuna volakano, yaweza kuwa mfano wa gesi tu zinazofuka toka kwenye chanzo cha volkano au mawe na miali ya moto; walao kila siku kuna tukio la hivyo!
Halafu, je, ulisoma hesabu za PROBABILITY? Kama ulisoma au unazifahamu, hakuna cha kushangaza hata kama tarehe 26 ingejikuta ndani ya hiyo miaka 300 inakuwa inajirudia kuliko tarehe zingine!
We can
Mkuu Namba 13 ni namba ya mikosi na maajabu,na kwa muda mrefu nchi nyingi duniani hata kwenye vyumba vya wageni na hata seat za gari na ndege wanaweka namba 1,2,3... na kuendelea ila wanaivuka namba 13 kwani watu wengi hawakai hapo
Pia tarehe 13 ya ijumaa (na mara nyingi trh 13 yaangukia ijumaa) inajulikana kuwa ni siku mbaya yenye mikosi.
Is it a mere Coincidence or A Timely Reminder From God..Need to Think on it Seriously!!!
The Rhodes earthquake 26 June 1926
North America earthquake 26 Jan 1700
Yugoslavia earthquake 26 July 1963
Merapi volcanic eruption 26 Oct 2010
Bam , Iran earthquake 26
Dec 2003 ( 60,000 dead )
Sabah Tidal waves 26 Dec
1996 ( 1,000 dead )
Turkey earthquke 26 Dec
1939 ( 41,000 dead )
Kansu , China earthquake 26 Dec 1932 ( 70,000 dead )
Portugal earthquake 26 Jan 1951 ( 30,000 dead )
Krakatau volcanic eruption 26 Aug 1883 ( 36,000 dead )
Aceh Tsunami 26 Dec 2004
Tasik earthquake 26
June 2010
China Earthquake 26 July 1976
Taiwan earthquake 26 July 2010
Japan Earthquake 26 feb 2010
Mentawai Tsunami 26 October 2010
Gujarat Earthquake 26 Jan 2001.
China Earthquake 26 July 1976
Taiwan earthquake 26 July 2010
Japan Earthquake 26 feb 2010
Mumbai attack 26/11
Mumbai floods 26 July 2005
Now Nepal earthquake 26 April 2015.
Why is it Always "26" ?
Is it just a Coincidence?
This news is Amazing! And scary too!
Wonderful...nilifikiri ni no 13 tu iliyo na maajabu.
Mkuu Namba 13 ni namba ya mikosi na maajabu,na kwa muda mrefu nchi nyingi duniani hata kwenye vyumba vya wageni na hata seat za gari na ndege wanaweka namba 1,2,3... na kuendelea ila wanaivuka namba 13 kwani watu wengi hawakai hapo
Pia tarehe 13 ya ijumaa (na mara nyingi trh 13 yaangukia ijumaa) inajulikana kuwa ni siku mbaya yenye mikosi.