Ni njia zipi unaweza tumia kuepuka, kupunguza na kuondoa kabisa msongo wa mawazo 'stress'

Ni njia zipi unaweza tumia kuepuka, kupunguza na kuondoa kabisa msongo wa mawazo 'stress'

ni aina ipi ya stress unapitia kiasi kwamba imekua ni changamoto inayo tatiza baadhi ya mafanikio katika kazi, biashara, masomo, familia na majukumu yako mbalimbali mengine...

ladies and gentlemen, kama hutojali,
unaweza kushirikisha familia hii pana ya JF mbinu mbadala na namna ambavyo unajikwamua na kasumba hii inayotrendi sana miongoni mwa watu wengi tu nchini...
Stress ni Nini!
Stress ni saikolojia ,saikolojia inahusiana na tabia na mazingira ya kitu au mtu,kwa ufupi stress ni zao la tabia au mazingira ya mtu,yawezekana una tabia inaweza kujengwa kwa malezi,vinasaba waweza kuwa na ..... woga,kutokujiamini,kujitenga,kujihukumu,kujilinganisha,n.k kutokana na mazingira yanayokuzunguka kama watu,mimea,hewa,sauti,na mwonekano wa vitu......ukiwa na tabia kati ya hizo inaweza kuathiri akili na utu wako,pia waweza athiriwa kwa Moja kati ya mazingira hayo kama nilivyotaja ,Sasa angalia...... Sio Kila shida utatumia njia Moja ila suluhisho ni kinyume Cha hayo mfano woga solution ni kutokuogopa na kuwa jasiri hivyo fanya vitu vinavyokupa ujasiri,.....
 
ni aina ipi ya stress unapitia kiasi kwamba imekua ni changamoto inayo tatiza baadhi ya mafanikio katika kazi, biashara, masomo, familia na majukumu yako mbalimbali mengine...

ladies and gentlemen, kama hutojali,
unaweza kushirikisha familia hii pana ya JF mbinu mbadala na namna ambavyo unajikwamua na kasumba hii inayotrendi sana miongoni mwa watu wengi tu nchini...
1. Nafanya evening jogging 👟
2.Naenda gym kufanya mazoezi
3.Nasikiliza muziki wa hip pop
 
Stress ni Nini!
Stress ni saikolojia ,saikolojia inahusiana na tabia na mazingira ya kitu au mtu,kwa ufupi stress ni zao la tabia au mazingira ya mtu,yawezekana una tabia inaweza kujengwa kwa malezi,vinasaba waweza kuwa na ..... woga,kutokujiamini,kujitenga,kujihukumu,kujilinganisha,n.k kutokana na mazingira yanayokuzunguka kama watu,mimea,hewa,sauti,na mwonekano wa vitu......ukiwa na tabia kati ya hizo inaweza kuathiri akili na utu wako,pia waweza athiriwa kwa Moja kati ya mazingira hayo kama nilivyotaja ,Sasa angalia...... Sio Kila shida utatumia njia Moja ila suluhisho ni kinyume Cha hayo mfano woga solution ni kutokuogopa na kuwa jasiri hivyo fanya vitu vinavyokupa ujasiri,.....
Nakataa stress sio saikolojia kama ulivyosema.
Stress ni feeling
saikolojia ~ni kujifunza kuhusu akili na tabia.
 
Unapokuwa na "Stress" tumia njia ya kushukuru sema Asante

Pia jifunze kuhusu negative Wave jambo baya usipoliondoa kwa njia ya kusema Asante basi utakumbwa na mfulilizo wa mambo mabaya .


Hivyo practice gratitude kila muda Ahsubui , mchana jioni

Njia ya pili amka usiku uombe saanane to saakumi hii pia ni njia nzuri na bora .

Jipe muda na ufanye detachment achilia mambo .

Mwisho unabidi kuwa na resilience attitude -hali ya kuyakabili magumu.

Mara nyingi stress ukizitumia vizuri zinakukuza endapo uki-Apply hizo mbinu.
 
Ni aina ipi ya stress unapitia kiasi kwamba imekua ni changamoto inayo tatiza baadhi ya mafanikio katika kazi, biashara, masomo, familia na majukumu yako mbalimbali mengine.

Ladies and gentlemen, kama hutojali, unaweza kushirikisha familia hii pana ya JF mbinu mbadala na namna ambavyo unajikwamua na kasumba hii inayotrendi sana miongoni mwa watu wengi tu nchini...
Muda mwingine huwa nikipata stress huwa napenda sana kwenda kanisan
Ila hii usemi naipenda sana

"Maisha yanafuraha San
Kila siku,kila saa,kila dakika,kila mwaka,kila tukio vyote hivi huwa vinapita,,,,hiv tusiangalie yaliyopita
Tugange yajayo "


Hvy hat strees vyote hupita
Yann tuteseke roho?!!?!?!?
 
Nakataa stress sio saikolojia kama ulivyosema.
Stress ni feeling
saikolojia ~ni kujifunza kuhusu akili na tabia.
Saikolojia ni sayansi inayohusiana na tabia na mwenendo wa mwanadamu....tabia yaweza kuchochewa na motisha ya ndani au nje hivyo kubadilisha hisia/feelings,vile vile tabia yaweza kupimwa kwa mihemko/michomo ya moyo Sasa unaposhindwa kucontrol hisia/mihemko (negative wave) ndio zao la stress ,Sasa kwangu stress ni tabia ambayo ndio sehemu ya sayansi ya saikolojia.......
 
Saikolojia ni sayansi inayohusiana na tabia na mwenendo wa mwanadamu....tabia yaweza kuchochewa na motisha ya ndani au nje hivyo kubadilisha hisia/feelings,vile vile tabia yaweza kupimwa kwa mihemko/michomo ya moyo Sasa unaposhindwa kucontrol hisia/mihemko (negative wave) ndio zao la stress ,Sasa kwangu stress ni tabia ambayo ndio sehemu ya sayansi ya saikolojia.......

Kwenye negative wave ni mawimbi kufatana nadhani mtoa mada anabidi kuelezea kuhusu negative wave

Maana ukigombana au kuwa disappointment na Mkeo /mmeo unaweza kujikuta umegombana na MTU mwingine kazini na mwisho umefukuzwa Kazi na mwenye nyumba anakupa notice na siku moja unajikuta Upo katika ulevi na hauna Kazi wala family stable.


So tujitahidi kutumia "Gratitude " ili kufanya detachment ambayo itaondoa negative wave.
 
Kwenye negative wave ni mawimbi kufatana nadhani mtoa mada anabidi kuelezea kuhusu negative wave

Maana ukigombana au kuwa disappointment na Mkeo /mmeo unaweza kujikuta umegombana na MTU mwingine kazini na mwisho umefukuzwa Kazi na mwenye nyumba anakupa notice na siku moja unajikuta Upo katika ulevi na hauna Kazi wala family stable.


So tujitahidi kutumia "Gratitude " ili kufanya detachment ambayo itaondoa negative wave.
Sure mkuu bila shaka umepita kwenye kitabu Cha secret by Rhoda
 
"stress kila MTU huwa anapitia Ila watu hutofautiana namna ya kuzikabili hizo stress and unfortunately unajikuta umekuwa heart fainted .

Narudia tena njia bora ya kuondoa negative emotion ni gratitude .

Gratitude Psychological and spirituality Ina nguvu kubwa Sana .

If you will practice gratitude everyday ur life will change completely.
 
Sure mkuu bila shaka umepita kwenye kitabu Cha secret by Rhoda

Mm secret sijasoma Ila nimesoma The magic by Rhoda pale kazungumzia the power of gratitude

Gratitude huwa naitumia na imebadilisha Maishq yangu kwa sehemu kubwa Sana .

Ila katika kukabiliana na negative emotion nimesoma vitabu vingi Sana hasa vinavyohusu Emotional intelligence (EI)

Hii negative wave imenitokea Sana Ila since nimejifunza kufanya detachment na kushukuru tu mambo yanakaa sawa.
 
"HILI NALO LITAPITA"
Hv nyie wenzetu huwa yanapitaje? Mbna mie yanachukua muda mrefu sana na sion kama yatapita? Tangu nipoteze milion kadhaa kwenye biashara mwaka 2019-2020 sijaweza tena kusimama. Mnatumiaga njia gani kurudi kwny game ukiachana na hz motivational quotes?
Huwa mnakopa au?
Au mna suppoters wanaowapa mtaji mwngne au?
Au mnafanyaje exactly?
 
Back
Top Bottom