Ni Nondo juu ya nondo naimani ipo siku mtasanuka

Ni Nondo juu ya nondo naimani ipo siku mtasanuka

third eye chakra

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2023
Posts
713
Reaction score
1,745
FUMBO MFUMBIE MJINGA

LUKA 17:20-21

Siku moja, mafarisayo walipomuuliza Yesu ufalme wa Mungu utakuja lini, aliwajibu hivi:, "ufalme wa Mungu hauji kwa kuonekana, 21 Wala watu hawatasema "huu hapa au ule kule", kwamaana ufalme wa Mungu umo ndani yenu"

"Ufalme wa Mbinguni umo ndani yenu, yeyote (Atakayejitambua,) atauona"
{"Egyptian book of the dead"}

hili Ni nukuu kutoka kitabu Cha wafu kilichoandikwa miaka "1000" kabla ya ujio wa [biblia] pale Misri ya kale/"kamiti"/"Kemet"/"tameri" Hivyo ndivyo Misri ya kale ilijulikana na waliokuwa wakiishi hapo ni watu weusi

mgiriki akaiita..egypt.. Mrumi alichofanya Ni kubadilisha wakaandika
"ufalme wa Mungu" na neno KUJITAMBUA walilitoa kabisaa.

Lakini katika injili ya THOMAS iliyofutwa na king James katika vile vitabu 14 mwaka 1611..

"The Gospel of Thomas"
inasema

"Lakini Kama hamtojitambua, mtakuwa mnakaa katika umasikini na ninyi ndio huo umasikini"

kifungu hiki kilikuwa Wazi kabisaa kukufungua kifikra Sasa king James akaona akitoe

Sasa baada ya kupunguza ukali au Tuseme Uwazi wakaacha MAANDIKO haya Kama fumbo/coded language wakaficha kwa misamiati laini

👉MATHAYO6:22-23
"Taa ya mwili Ni jicho, Basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru, 23 lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza Basi Ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa Giza, si Giza Hilo!..
 

Attachments

  • IMG_20240409_082512_531.JPG
    IMG_20240409_082512_531.JPG
    133.5 KB · Views: 26
Najaribu kusoma comments kumbe watanzania asilimia kubwa ni vichaa na hawajijui yani wapowapo kama MIZOGA au MAITI.
 
Ufalme wa Mungu hauko hapa Wala hauko kule Bali umo ndani yenu. Yes ndivyo ilivyo, lkn si kwa tafsiri ya mtoa mada hapana. Sisi tulio hai ndio tunausimamisha huo ufalme nakuutangaza vyema.

Hatuwezi lolote hatakama tutajinadi kuwa tunauwezo ndani yetu. Watu wanataka kumtafsiri Mungu Kama mawazo yao yalivyo, lkn Ni kwamba endapo utaona neno la Mungu Ni dhaifu basi ndivyo lilivyo kwa udhaifu wake ili likuokoe. Nakama ukisali ukadai unaona msisimko kisha ukadai hakuna Mungu Bali Ni msisimko tu, jua Mungu kajidhihirisha kupitia msisimko huo huo ambao wewe umeudharau.

Sababu endapo angetumia njia nyingine bado wasingeliamini kwakutoa sababu lukuki.

Zawadi ya uzima ipo inamtafuta mwenye vigezo. Unapokidhi tu unayo.
 
FUMBO MFUMBIE MJINGA

LUKA 17:20-21

Siku moja, mafarisayo walipomuuliza Yesu ufalme wa Mungu utakuja lini, aliwajibu hivi:, "ufalme wa Mungu hauji kwa kuonekana, 21 Wala watu hawatasema "huu hapa au ule kule", kwamaana ufalme wa Mungu umo ndani yenu"

"Ufalme wa Mbinguni umo ndani yenu, yeyote (Atakayejitambua,) atauona"
{"Egyptian book of the dead"}

hili Ni nukuu kutoka kitabu Cha wafu kilichoandikwa miaka "1000" kabla ya ujio wa [biblia] pale Misri ya kale/"kamiti"/"Kemet"/"tameri" Hivyo ndivyo Misri ya kale ilijulikana na waliokuwa wakiishi hapo ni watu weusi

mgiriki akaiita..egypt.. Mrumi alichofanya Ni kubadilisha wakaandika
"ufalme wa Mungu" na neno KUJITAMBUA walilitoa kabisaa.

Lakini katika injili ya THOMAS iliyofutwa na king James katika vile vitabu 14 mwaka 1611..

"The Gospel of Thomas"
inasema

"Lakini Kama hamtojitambua, mtakuwa mnakaa katika umasikini na ninyi ndio huo umasikini"

kifungu hiki kilikuwa Wazi kabisaa kukufungua kifikra Sasa king James akaona akitoe

Sasa baada ya kupunguza ukali au Tuseme Uwazi wakaacha MAANDIKO haya Kama fumbo/coded language wakaficha kwa misamiati laini

👉MATHAYO6:22-23
"Taa ya mwili Ni jicho, Basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru, 23 lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza Basi Ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa Giza, si Giza Hilo!..
WORD
 
Back
Top Bottom