Ni Nondo juu ya nondo naimani ipo siku mtasanuka

Ni Nondo juu ya nondo naimani ipo siku mtasanuka

go deep, usiishie tu hapo...tafuta na vitabu
Vitabu nmeaoma Sana havijaweza kunitoa hata chembe. Nilidhani Hawa gnostiki kidogo wanaweza kuwa na jipya lkn zaidi humo nimekuta Ni Kama jamaa walikuwa Ni wapingaji wa ukristo tu. Sasa Mimi kawaida huwa naangalia fact ktk upingaji.
 
FUMBO MFUMBIE MJINGA

LUKA 17:20-21

Siku moja, mafarisayo walipomuuliza Yesu ufalme wa Mungu utakuja lini, aliwajibu hivi:, "ufalme wa Mungu hauji kwa kuonekana, 21 Wala watu hawatasema "huu hapa au ule kule", kwamaana ufalme wa Mungu umo ndani yenu"

"Ufalme wa Mbinguni umo ndani yenu, yeyote (Atakayejitambua,) atauona"
{"Egyptian book of the dead"}

hili Ni nukuu kutoka kitabu Cha wafu kilichoandikwa miaka "1000" kabla ya ujio wa [biblia] pale Misri ya kale/"kamiti"/"Kemet"/"tameri" Hivyo ndivyo Misri ya kale ilijulikana na waliokuwa wakiishi hapo ni watu weusi

mgiriki akaiita..egypt.. Mrumi alichofanya Ni kubadilisha wakaandika
"ufalme wa Mungu" na neno KUJITAMBUA walilitoa kabisaa.

Lakini katika injili ya THOMAS iliyofutwa na king James katika vile vitabu 14 mwaka 1611..

"The Gospel of Thomas"
inasema

"Lakini Kama hamtojitambua, mtakuwa mnakaa katika umasikini na ninyi ndio huo umasikini"

kifungu hiki kilikuwa Wazi kabisaa kukufungua kifikra Sasa king James akaona akitoe

Sasa baada ya kupunguza ukali au Tuseme Uwazi wakaacha MAANDIKO haya Kama fumbo/coded language wakaficha kwa misamiati laini

[emoji117]MATHAYO6:22-23
"Taa ya mwili Ni jicho, Basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru, 23 lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza Basi Ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa Giza, si Giza Hilo!..
Je unathibitishaje kuwa maandiko yaliyoandikwa kwenye kitabu cha wafu yaliandikwa kabla ya biblia?
Maana upotoshaji upo tena mwingi sana lakini ujumbe mahsusi kwenye biblia hautapotoshwa kamwe hadi wakati ulioamriwa.
 
FUMBO MFUMBIE MJINGA

LUKA 17:20-21

Siku moja, mafarisayo walipomuuliza Yesu ufalme wa Mungu utakuja lini, aliwajibu hivi:, "ufalme wa Mungu hauji kwa kuonekana, 21 Wala watu hawatasema "huu hapa au ule kule", kwamaana ufalme wa Mungu umo ndani yenu"

"Ufalme wa Mbinguni umo ndani yenu, yeyote (Atakayejitambua,) atauona"
{"Egyptian book of the dead"}

hili Ni nukuu kutoka kitabu Cha wafu kilichoandikwa miaka "1000" kabla ya ujio wa [biblia] pale Misri ya kale/"kamiti"/"Kemet"/"tameri" Hivyo ndivyo Misri ya kale ilijulikana na waliokuwa wakiishi hapo ni watu weusi

mgiriki akaiita..egypt.. Mrumi alichofanya Ni kubadilisha wakaandika
"ufalme wa Mungu" na neno KUJITAMBUA walilitoa kabisaa.

Lakini katika injili ya THOMAS iliyofutwa na king James katika vile vitabu 14 mwaka 1611..

"The Gospel of Thomas"
inasema

"Lakini Kama hamtojitambua, mtakuwa mnakaa katika umasikini na ninyi ndio huo umasikini"

kifungu hiki kilikuwa Wazi kabisaa kukufungua kifikra Sasa king James akaona akitoe

Sasa baada ya kupunguza ukali au Tuseme Uwazi wakaacha MAANDIKO haya Kama fumbo/coded language wakaficha kwa misamiati laini

👉MATHAYO6:22-23
"Taa ya mwili Ni jicho, Basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru, 23 lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza Basi Ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa Giza, si Giza Hilo!..
Siku moja, mafarisayo walipomuuliza Yesu ufalme wa Mungu utakuja lini, aliwajibu hivi:, "ufalme wa Mungu hauji kwa kuonekana, 21 Wala watu hawatasema "huu hapa au ule kule", kwamaana ufalme wa Mungu umo ndani yenu"

"Tazama anakuja na MAWINGU na kila JICHO litamuona"

.Kazi kwelikweli.
 
Back
Top Bottom