emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,001
- 1,430
go deep, usiishie tu hapo...tafuta na vitabuSasa mbona gnostiki tutaambiwa Ni uzushi Ni za kizushi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
go deep, usiishie tu hapo...tafuta na vitabuSasa mbona gnostiki tutaambiwa Ni uzushi Ni za kizushi mkuu?
Vitabu nmeaoma Sana havijaweza kunitoa hata chembe. Nilidhani Hawa gnostiki kidogo wanaweza kuwa na jipya lkn zaidi humo nimekuta Ni Kama jamaa walikuwa Ni wapingaji wa ukristo tu. Sasa Mimi kawaida huwa naangalia fact ktk upingaji.go deep, usiishie tu hapo...tafuta na vitabu
Je unathibitishaje kuwa maandiko yaliyoandikwa kwenye kitabu cha wafu yaliandikwa kabla ya biblia?FUMBO MFUMBIE MJINGA
LUKA 17:20-21
Siku moja, mafarisayo walipomuuliza Yesu ufalme wa Mungu utakuja lini, aliwajibu hivi:, "ufalme wa Mungu hauji kwa kuonekana, 21 Wala watu hawatasema "huu hapa au ule kule", kwamaana ufalme wa Mungu umo ndani yenu"
"Ufalme wa Mbinguni umo ndani yenu, yeyote (Atakayejitambua,) atauona"
{"Egyptian book of the dead"}
hili Ni nukuu kutoka kitabu Cha wafu kilichoandikwa miaka "1000" kabla ya ujio wa [biblia] pale Misri ya kale/"kamiti"/"Kemet"/"tameri" Hivyo ndivyo Misri ya kale ilijulikana na waliokuwa wakiishi hapo ni watu weusi
mgiriki akaiita..egypt.. Mrumi alichofanya Ni kubadilisha wakaandika
"ufalme wa Mungu" na neno KUJITAMBUA walilitoa kabisaa.
Lakini katika injili ya THOMAS iliyofutwa na king James katika vile vitabu 14 mwaka 1611..
"The Gospel of Thomas"
inasema
"Lakini Kama hamtojitambua, mtakuwa mnakaa katika umasikini na ninyi ndio huo umasikini"
kifungu hiki kilikuwa Wazi kabisaa kukufungua kifikra Sasa king James akaona akitoe
Sasa baada ya kupunguza ukali au Tuseme Uwazi wakaacha MAANDIKO haya Kama fumbo/coded language wakaficha kwa misamiati laini
[emoji117]MATHAYO6:22-23
"Taa ya mwili Ni jicho, Basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru, 23 lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza Basi Ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa Giza, si Giza Hilo!..
Siku moja, mafarisayo walipomuuliza Yesu ufalme wa Mungu utakuja lini, aliwajibu hivi:, "ufalme wa Mungu hauji kwa kuonekana, 21 Wala watu hawatasema "huu hapa au ule kule", kwamaana ufalme wa Mungu umo ndani yenu"FUMBO MFUMBIE MJINGA
LUKA 17:20-21
Siku moja, mafarisayo walipomuuliza Yesu ufalme wa Mungu utakuja lini, aliwajibu hivi:, "ufalme wa Mungu hauji kwa kuonekana, 21 Wala watu hawatasema "huu hapa au ule kule", kwamaana ufalme wa Mungu umo ndani yenu"
"Ufalme wa Mbinguni umo ndani yenu, yeyote (Atakayejitambua,) atauona"
{"Egyptian book of the dead"}
hili Ni nukuu kutoka kitabu Cha wafu kilichoandikwa miaka "1000" kabla ya ujio wa [biblia] pale Misri ya kale/"kamiti"/"Kemet"/"tameri" Hivyo ndivyo Misri ya kale ilijulikana na waliokuwa wakiishi hapo ni watu weusi
mgiriki akaiita..egypt.. Mrumi alichofanya Ni kubadilisha wakaandika
"ufalme wa Mungu" na neno KUJITAMBUA walilitoa kabisaa.
Lakini katika injili ya THOMAS iliyofutwa na king James katika vile vitabu 14 mwaka 1611..
"The Gospel of Thomas"
inasema
"Lakini Kama hamtojitambua, mtakuwa mnakaa katika umasikini na ninyi ndio huo umasikini"
kifungu hiki kilikuwa Wazi kabisaa kukufungua kifikra Sasa king James akaona akitoe
Sasa baada ya kupunguza ukali au Tuseme Uwazi wakaacha MAANDIKO haya Kama fumbo/coded language wakaficha kwa misamiati laini
👉MATHAYO6:22-23
"Taa ya mwili Ni jicho, Basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru, 23 lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza Basi Ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa Giza, si Giza Hilo!..