Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Haha Una Zari Kweli Dingile.Aisee Kuch kuch hota hai ya Shah Rukh Khan na Tip tip Barsa ya Akshay Kumar nikiziskiaga izo ngoma nakumbuka mwaka 2008 nipo darasa la 4,nilikua na manzi ya kihindi walikua wanaishi kwenye apartment za serikali pale USA River daah.!!Akhynath wangu yupogo wapi cku izi!?Kama upo humu ni PM asee mimi ni F wa Kijenge Juu tulisoma wote Arusha Sec.O level.
Umeandika ujinga ..Aisee Kuch kuch hota hai ya Shah Rukh Khan na Tip tip Barsa ya Akshay Kumar nikiziskiaga izo ngoma nakumbuka mwaka 2008 nipo darasa la 4,nilikua na manzi ya kihindi walikua wanaishi kwenye apartment za serikali pale USA River daah.!!Akhynath wangu yupogo wapi cku izi!?Kama upo humu ni PM asee mimi ni F wa Kijenge Juu tulisoma wote Arusha Sec.O level.
haha ndo mnaimbaje huo wimbo comradeDah.... TANU yajenga nchi...[emoji2960]
mmh me simo comrade hahaCCM mbele kwa mbele, inanikumbusha septemba 2015
Hiyo Ni Kumbukumbu Yake MkuuUmeandika ujinga ..
Sema ndo Akili ilipoishia.
hii imekaa ki majuto zaidi mkuuAbdu kiba-Huyo si demu........2011
Umeshushwa tu na gari la njano badala ya kufanya Home work umekimbilia uku JF.!!Umeandika ujinga ..
Sema ndo Akili ilipoishia.