Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wana jf ni nyimbo gani kila ukiiskiliza inakukumbusha mbali??
Me binafsi kuna hii ya buibui "nimekusamehe ".hii nyimbo inanikumbusha dem wangu wa shule kitambo hicho nilivyomzingua ila akanisamehe kwa uchungu mnooo..
Na kuna ile ya mdada mmoja mganda wimbo wake unaitwa "Tinda tine "..anaitwaga lady Mariam sijui!..huo wimbo Wa kitambo nikiuskiaga hadi leo nakuwa nna furaha Sana yaani sijui kwanini?? 😎😎
Share nawe playlist/nyimbo zako ambazo ukiziskiliza zinakukumbusha mbalii..
Pancho boy
👇👇 🏃 🏃
CC Viatu vya Samaki
manengelo hearly Hawachi
Me binafsi kuna hii ya buibui "nimekusamehe ".hii nyimbo inanikumbusha dem wangu wa shule kitambo hicho nilivyomzingua ila akanisamehe kwa uchungu mnooo..
Na kuna ile ya mdada mmoja mganda wimbo wake unaitwa "Tinda tine "..anaitwaga lady Mariam sijui!..huo wimbo Wa kitambo nikiuskiaga hadi leo nakuwa nna furaha Sana yaani sijui kwanini?? 😎😎
Share nawe playlist/nyimbo zako ambazo ukiziskiliza zinakukumbusha mbalii..
Pancho boy
👇👇 🏃 🏃
CC Viatu vya Samaki
manengelo hearly Hawachi