Washikaji walikuwa wakija nigongea Night kali...
Kamanda amka twende tukausake UTAJIRI...
Hata kwa njia zile ambazo sio halali...
Nikakubali, nikawa silali...
Nafanya vile AKILI yangu ilivyonituma...
Navunja Mlango hata kwa jiwe FATUMA...
Yoyote alioleta ubishi kutoa MALI alitolewa UHAI...
Nilichokuwa nkikitaka kwake kwanza ni MASILAHI...
Maasi yangu mwisho yakaongezeka...
Habari kwenye Vyombo vya DOLA kote zikafika...
Matangazo kwenye MAGAZETI sasa yakaandikwa...
Jambazi MUHALIFU anatafutwa...
Na DONGE NONO litatolewa endapo atakamatwa...
Huwezi kuamini kweli AROBAINI zake MWIZI...
Siku hiyo kwenye KAZI nimenasa KITANZI...
Naishia GEREZANI...