Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
If you can’t convince them join them ???!View attachment 3262042
Mwanasiasa mtata na aliyeonyesha uroho wa madaraka na kukosa msimamo nchini Kenya Raila Odinga ametangaza rasmi kujiunga na Ruto aliyezoea kumuita mganga wa kienyeji. Inaonekana wawili hawa wanajuana. Ruto alimuita Raila mganga akimaanisha mganga njaa kama alivyobainika kuwa. Kama akina Lyatonga Mrema, John Cheyo na wengine nchini, Raila anamaliza muda wake kisiasa kwa aibu isiyo ya kawaida.
Kwa waliomshabikia au kumuona kama kiongozi shupavu wa upinzani nchini Kenya sijui mna maoni gani kuhusiana na kigeugeu hiki na tamaa vya kutisha?
Siasa ni utapeli, kushabikia mwanasiasa yoyote au chama chochote cha siasa ni upunguani uliokithiri.View attachment 3262042
Mwanasiasa mtata na aliyeonyesha uroho wa madaraka na kukosa msimamo nchini Kenya Raila Odinga ametangaza rasmi kujiunga na Ruto aliyezoea kumuita mganga wa kienyeji. Inaonekana wawili hawa wanajuana. Ruto alimuita Raila mganga akimaanisha mganga njaa kama alivyobainika kuwa. Kama akina Lyatonga Mrema, John Cheyo na wengine nchini, Raila anamaliza muda wake kisiasa kwa aibu isiyo ya kawaida.
Kwa waliomshabikia au kumuona kama kiongozi shupavu wa upinzani nchini Kenya sijui mna maoni gani kuhusiana na kigeugeu hiki na tamaa vya kutisha?
Siyo mara ya kwanza Raila kuunga mkono juhudi, amekuwa akifanya hivyo kwa awamu kadhaa zilizopita na bado hakupoteza ushawishi! Siasa za Kenya ziko tofauti sana.View attachment 3262042
Mwanasiasa mtata na aliyeonyesha uroho wa madaraka na kukosa msimamo nchini Kenya Raila Odinga ametangaza rasmi kujiunga na Ruto aliyezoea kumuita mganga wa kienyeji. Inaonekana wawili hawa wanajuana. Ruto alimuita Raila mganga akimaanisha mganga njaa kama alivyobainika kuwa. Kama akina Lyatonga Mrema, John Cheyo na wengine nchini, Raila anamaliza muda wake kisiasa kwa aibu isiyo ya kawaida.
Kwa waliomshabikia au kumuona kama kiongozi shupavu wa upinzani nchini Kenya sijui mna maoni gani kuhusiana na kigeugeu hiki na tamaa vya kutisha?
Kumbe na Mabilionea huwa wana njaa ??!Njaa haina baunsa
Majority ya Ukabila ni turufu kubwa ya siasa za Kenya !Siyo mara ya kwanza Raila kuunga mkono juhudi, amekuwa akifanya hivyo kwa awamu kadhaa zilizopita na bado hakupoteza ushawishi! Siasa za Kenya ziko tofauti sana.
zipoje?
Wakenya mnapitia shida kubwa licha ya katiba yenu mpya ...kuna kitu kitafuteni kwa nguvu zenu zote nacho ni katiba itakayo zuia WANASIASA KUWA WAPIGA KURA WA CHAGUZI ZA SERIKALI, mkifanya hivyo mtakuja kunishukuruRaila kumanyoko.
HUYU NI SAWA NA LISSU ATAKAVYOMALIZA MBIO ZAKE KISIASA KWA AIBU KUBWA SANAAAA YAAANI MIUTAANI WATAKUWA WANAMZOMEA KAMA AMEBEBA MAVIView attachment 3262042
Mwanasiasa mtata na aliyeonyesha uroho wa madaraka na kukosa msimamo nchini Kenya Raila Odinga ametangaza rasmi kujiunga na Ruto aliyezoea kumuita mganga wa kienyeji. Inaonekana wawili hawa wanajuana.
Ruto alimuita Raila mganga akimaanisha mganga njaa kama alivyobainika kuwa. Kama akina Lyatonga Mrema, John Cheyo na wengine nchini, Raila anamaliza muda wake kisiasa kwa aibu isiyo ya kawaida.
Kwa waliomshabikia au kumuona kama kiongozi shupavu wa upinzani nchini Kenya sijui mna maoni gani kuhusiana na kigeugeu hiki na tamaa vya kutisha?
We umeshawahi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa? Hujui maana ya uongoziView attachment 3262042
Mwanasiasa mtata na aliyeonyesha uroho wa madaraka na kukosa msimamo nchini Kenya Raila Odinga ametangaza rasmi kujiunga na Ruto aliyezoea kumuita mganga wa kienyeji. Inaonekana wawili hawa wanajuana.
Ruto alimuita Raila mganga akimaanisha mganga njaa kama alivyobainika kuwa. Kama akina Lyatonga Mrema, John Cheyo na wengine nchini, Raila anamaliza muda wake kisiasa kwa aibu isiyo ya kawaida.
Kwa waliomshabikia au kumuona kama kiongozi shupavu wa upinzani nchini Kenya sijui mna maoni gani kuhusiana na kigeugeu hiki na tamaa vya kutisha?
Siasa za Kenya ni nzuri kwani ni huru na za, restrictions ni ndogo kuliko siasa za TanzaniaWakenya mnaputia shida kubwa licha ya katiba yenu mpya ...kuna kitu kitafuteni kwa nguvu zenu zote nacho ni katiba itakayo zuia WANASIASA KUWA WAPIGA KURA mkifanya hivyo mtakuja kunishukuru