Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
- Thread starter
- #61
Dah! mmenikata moto🥺Analea mbunye anainunulia chupi na Pedi Ila Wahuni hawana Muda huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! mmenikata moto🥺Analea mbunye anainunulia chupi na Pedi Ila Wahuni hawana Muda huo
Nunua Pedi babaa Wahuni tuje kukojoa ikishakauka, all the best Mshua Masta kulea mbunye kipaji
🥺Pc 1
Mnunulie mbili lakini
Unalea mbunye Mshua Masta hongera yakoDah! mmenikata moto🥺
Inategemea na brand.Natakiwa nimchukulie pc ngap kwa mwez
Kinaleta disconfort kwa sekunde kadhaaMwanzoni kile kipupwe mimi mwenyewe kilikua kinanidisturb lakini nishazoea sisikii tena😂
Kuna mtu unamfahamu, tupate connection..maana nusu walisema hazipo, wana za 24 maduka mengi niliyoulizia…Kama uko njema mfukoni nenda maduka ya jumla mchukulie HQ carton zinakua 24 Bei elfu 70, nusu carton zinakua 12 kwa elfu 35, ukichukua kwa Bei ya lejaleja ni 3500 kwa piece moja, so ukichukua za jumla inakua nafuu na anakaa nazo kwa muda mrefu
Kuna madaktari na watengenezaji wa hizo pads ambao sio wanawake.wanaume mnachambua pedi mnavaa ninyi? wanawake ndio walitakiwa waseme wao wao ndio watumiaji wakuu how men unajibu hili swali la mtoa mada?