Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina haja na dem kutok JF mtaani kwangu madem kibao, kama kwako hili ni tangazo lilipie weweLipia tangazo mkuu.
Wewe jamaa wewe😀😀😀Women Whisk War......
We si mwanaume,bichwakomwe!!!Njoo kwangu nikutunze na nikuoe uwe mwenza wangu wa ndoa takaDIFU.
Karibu sana tufaidi ndoa ya kikatoliki.
Wanawake wa JF nao wanaishi mtaani pia.Sina haja na dem kutok JF mtaani kwangu madem kibao, kama kwako hili ni tangazo lilipie wewe
Ni nomaMimi ni tofauti na wewe ,Mimi nikianza mahusinao na Mwanamke nimemfungulia mlango wa kutongozwa na wanaume wengine na Mara nyingi huolewa kabisa
Mimi sinaga mausiano ya kudumu na Mwanamke wa nje ,Sipendi kuchepuka ila nikizidiwa nikikaa mda mrefu sijapaona ndio huwa natafuta na nikipita nimepita najuwaga namna ya kumaliza bila kumuimiza mtu na sipendi aumie mtu
Ata kabla ya kuoa ilikuwa hivyo nikiwa nachumbia ata kabla sijamkula akapata mwingine na Mimba juu akatoroka na kwao
Siyo wote hupata watu sahihi kwani huwa na wakati mgumu kuchagua .
Sina kumbukumbu ya Demu nilishawahi kuwa naye alafu akabaki bila kuolewa achana na kudumu
Sijawah kukutana na mwanamke wa JF kitaaniWanawake wa JF nao wanaishi mtaani pia.
KaleftWe si mwanaume,bichwakomwe!!!
Sio lazima usomekWANI NI LAZIMA KUJA KURIPOTI HUKU JF mambo mnayofanya huko mitaani?
Hapo hata hawakupendi ni wanakuseti tu. Wameshaona una maisha mazuri kimtindo, kwahiyo siku wakichunda kabisa wanaona wakutafute.. hata wakikupa bure wanajua lazima utanunua vimsosi na vi bia vya hapa na pale wasuuze koo. Njaa tu hizo zinawasumbua.
Kaka ukimwi utaupata kwa dem unayemuamini sio kwa malaya, yani huyohuyo ulonaye ndo atakupa ukimwiMkuu unastahili nishani kwa kupiga kavu na mtu anayejiuza.
Ipigie msitari hii boss mkubwa 😀Hapo hata hawakupendi ni wanakuseti tu. Wameshaona una maisha mazuri kimtindo, kwahiyo siku wakichunda kabisa wanaona wakutafute.. hata wakikupa bure wanajua lazima utanunua vimsosi na vi bia vya hapa na pale wasuuze koo. Njaa tu hizo zinawasumbua.