sajidshabani
Member
- Nov 8, 2013
- 20
- 1
Bei gani hyo?Tumia Bond haina harufu Kali ,,na onanukia kistaarab
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei gani hyo?Tumia Bond haina harufu Kali ,,na onanukia kistaarab
Kweli eeeeh?Hahaha usingemjibu ivi ningemjibu mimi.
Kabisa, sasa anataka halufu onlineKweli eeeeh?
hahahaah!!unaweza nipa harufu yake
Wewe perfume za kiume umezijuaje wakati wewe ni jike?[emoji4][emoji4][emoji4]tumia Vat 69.....au sambuca.........
Wewe perfume za kiume umezijuaje wakati wewe ni jike?[emoji4][emoji4][emoji4]
Eternal royaleTangu nizaliwe sijawai tumia perfume lakini nafakuanza kutumia perfume kulingana na kazi Yangu je ni perfume gani nitumie
Nature ya kazi Yangu ni kuwakaribu na watu
Hahahaha huu utani wa ngumiSimla inauzwa 700 kwa machinga huwa wanazitembeza
swali la ovyo kabisaunaweza nipa harufu yake
Basy wewe oga tuu usijipulizie pafyum uishie kunukia harufu ya sabuni ya jamaaPafurm ya nn kama unaoga,..!?
Basy wewe oga tuu usijipulizie pafyum uishie kunukia harufu ya sabuni ya jamaa
We una utani sana. Liquor na marashi wapi na wapi ?tumia Vat 69.....au sambuca.........