Ni perfume gani Itanifaa kulingana na kazi yangu

Ni perfume gani Itanifaa kulingana na kazi yangu

bf982c326cb6a32831a0a9f61c82db9c.jpg
kitu ichooo
 
  • Thanks
Reactions: Dyf
uwe tu unaoga kila siku angalau mara mbili hakna haja ya kupoteza pesa bora ununue nyanya na vitunguu cz ukijizoesha kutumia perfume kuna siku ikiisha utashindwa kutoka hata nje then unakuwa mtumwa na mchafu
 
Back
Top Bottom