Ni perfume gani Itanifaa kulingana na kazi yangu

uwe tu unaoga kila siku angalau mara mbili hakna haja ya kupoteza pesa bora ununue nyanya na vitunguu cz ukijizoesha kutumia perfume kuna siku ikiisha utashindwa kutoka hata nje then unakuwa mtumwa na mchafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…