Wewe ni Mwanamke au mwanaume??baadae ya hapo ndo ukapata ushauri wang?!!Tangu nizaliwe sijawai tumia perfume lakini nafakuanza kutumia perfume kulingana na kazi Yangu je ni perfume gani nitumie
Nature ya kazi Yangu ni kuwakaribu na watu
nimekumiss wakwetu!tumia Vat 69.....au sambuca.........
nimekumiss wakwetu!
Huwezi kujijua kama hunukii wala hunuki muulize wa pembeni yakoMi nikioga sinukii wala sinuki, .
Huwezi kujijua kama hunukii wala hunuki muulize wa pembeni yako
Mmhh bas sawaNdo wamesema ivo,
Mmhh bas sawa
Nikutumie kwa Wi-Fi au Bluetooth?