Ni pesa gani huwa unazikumbuka ukifulia?


Hahaaa jaman pesa inaushetani kiukwel mim nikiwa na mtungi wangu kichwani nimefanya upumbavu sana.
Napenda sana kukaa counter ile wanapiga nyimbo unaipenda utawanunulia wahudumu wote ndani vinywaji na dj ujue mtu anaweza kudhani ni sifa lakn sio kwel jamn.

Sema nikifulia unakuta siku hiyo nataka kuvaa shart au suluri flani nakuta bill ya kibabe ni clear na sina pesa hapo nafyonza mpaka basi.
 
Reactions: amu
Forex daaahh niliambiwa nitadownload pesa kama unavyodownload video youtube....kilichonikuta sasa, ni siri yangu na Muumba wangu...sijui kwann umenikumbusha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…