Ni pombe gani huwa inakupa mzuka na kuona Dunia ni sehemu salama?

Mnyama K-VEEE na maji kubwa pembeni afu mdudu/mbuzi anaivishwa kilo mbili3 bas najiona muruuuuua kbsa[emoji847]
 
Hahahhahaa
Konyagi maana unaanza kukumbuka mabibi/mashangazi waliokufa au vibuti halafu unalia weeeee.....baadae unapigana ukiamka kesho yake una majeraha kila mahali na hujui uko wapi...
 
MANGUREE
 
I'll kwa hapa Dar Nakunywa banana coctail
 
Raha ya kunywa, mie niwe na moshi pia wa kupuliza haaa hapo lazima nikae ulimwengu mwingine kidogo.

Ha ha ha kwel kwel mim nikiwa getto napenda sana kunywa spirit nikichanganya na Pepsi yangu afu niko na kitu moja Og safi nakula mziki wangu getto safi kabisa.

Sema nishazoea make ni maisha naishi kalibia baada ya siku tatu.

Lkn nikiwa nimetoka sehemu napenda kunywa zangu safari fresh na fegi kidogo za kuudanganya ubongo kwamba nikitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…