Ni pombe gani huwa inakupa mzuka na kuona Dunia ni sehemu salama?

Ni pombe gani huwa inakupa mzuka na kuona Dunia ni sehemu salama?

GUINESS NA CASTLE MILK STOUT

Yaani nikose hela ya kununua magari, viwanja, mjumba n.k nikose na ya kunywa vizuri vizuri Beer, K vant, Konyagi, wine na whiskey eti niogope kitambi.... kwendaaa huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serengeti Premium Lite ya baridi

Aisee!!

Hii bia naipenda sana hasa nikiwa nainywa niwe na demu ninaye muelewa na ukute ndo ingizo jipya mgegedo wa kwanza

Huwa nakuwa kwenye furaha fulani hivi amazing

Napigaga tako muno halafu nakuwaga mjasiri wa kuzama popote penye tundu

IGA UFE

Duh kumbe hadi wewe una haya mambo
Nilikuwaga nakuona mstaarabu
 
White horse nikipundua JB afu castle lite 2 kulala
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jinga kweli nitoke huku nifate heinekenn mbezi kwa nini usirahisishe kutuma kwa tigo pesa [emoji847]

Umekuwa Adam njoo goba [emoji1787][emoji1787]
Mimi nilishatumia nauli elf 12 kufuata bia 3 kibaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom