Ni pombe gani huwa inakupa mzuka na kuona Dunia ni sehemu salama?

Konyagi maana unaanza kukumbuka mabibi/mashangazi waliokufa au vibuti halafu unalia weeeee.....baadae unapigana ukiamka kesho yake una majeraha kila mahali na hujui uko wapi...
Hahaa juzi weekend nimetoka kupigana, kila nikinywa k vant au konyagi ndogo mbili, na bia nne au tano lazima hapo kuna ugomvi nampango nizipige kapuni pombe kali
 
GUINESS NA CASTLE MILK STOUT

Yaani nikose hela ya kununua magari, viwanja, mjumba n.k nikose na ya kunywa vizuri vizuri Beer, K vant, Konyagi, wine na whiskey eti niogope kitambi.... kwendaaa huko
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Dah kuna pombe inaitwa ice unatoka Zambia nikpga hyo nakumbuka kipindi mtoro wa shulre
 
ganja vipi?
 
PAPUCHI tu ndio kilevi bora kwangu, lakin hivyo vingne nataka niviache maana nikilewa et ndo uwa naanza kutafakari maumivu yote niliyofanyiwa nyuma
 
GUINESS NA CASTLE MILK STOUT

Yaani nikose hela ya kununua magari, viwanja, mjumba n.k nikose na ya kunywa vizuri vizuri Beer, K vant, Konyagi, wine na whiskey eti niogope kitambi.... kwendaaa huko
Umenikumbusha mdada hapa kitaa mlevi balaa

Basi utasikia " nimekosa hela ya kununua gari, nyumba hata ya bia nikose? Haiwezekani,"

Basi full kulewa daily
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…