Ni pombe gani huwa inakupa mzuka na kuona Dunia ni sehemu salama?

Serengeti Premium Lite ya baridi

Aisee!!

Hii bia naipenda sana hasa nikiwa nainywa niwe na demu ninaye muelewa na ukute ndo ingizo jipya mgegedo wa kwanza

Huwa nakuwa kwenye furaha fulani hivi amazing

Napigaga tako muno halafu nakuwaga mjasiri wa kuzama popote penye tundu

IGA UFE
 
Ugoro ni noma aisee usijaribu
Ñilijaribu day 1 nikahi mkojo,kamasi joto hatari nikahisi kwenda chooni mda huo huo , mpaka leo ñaendelea ña kvañt value lager na vimiminika vingine mubashara
 
Mnyama K-VEEE na maji kubwa pembeni afu mdudu/mbuzi anaivishwa kilo mbili3 bas najiona muruuuuua kbsa[emoji847]
Kwahyo unagonga alcohol.una dilute na maj kubwa....duh ..utalewa kwel
 
Serengeti lager ya baridi hapo niwe na hela salio linasoma
 
Mnyama K-VEEE na maji kubwa pembeni afu mdudu/mbuzi anaivishwa kilo mbili3 bas najiona muruuuuua kbsa[emoji847]
K vant ni konyagi ya kike nilikunywa chupa yote la ml_750 na sikushtuka.!

Toka hapo nikaachananayo
 
Safari lager, ladha kamili sifa thabiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…