Ni pombe gani huwa inakupa mzuka na kuona Dunia ni sehemu salama?

GUINESS NA CASTLE MILK STOUT

Yaani nikose hela ya kununua magari, viwanja, mjumba n.k nikose na ya kunywa vizuri vizuri Beer, K vant, Konyagi, wine na whiskey eti niogope kitambi.... kwendaaa huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Duh kumbe hadi wewe una haya mambo
Nilikuwaga nakuona mstaarabu
 
White horse nikipundua JB afu castle lite 2 kulala
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jinga kweli nitoke huku nifate heinekenn mbezi kwa nini usirahisishe kutuma kwa tigo pesa [emoji847]

Umekuwa Adam njoo goba [emoji1787][emoji1787]
Mimi nilishatumia nauli elf 12 kufuata bia 3 kibaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…