Ni pombe gani ya kienyeji unaikubali kupita zote?

Ni pombe gani ya kienyeji unaikubali kupita zote?

Kwa wale wazee wenzangu tuliokulia kijijini,vitu vya kienyej tumepitia. Sasa we unahis kipi cha ukwel? Mie japo sio mhehe ila jamani 'ULANZI' mtamu. Yan kila unapopiga funda utamu unaongezeka huku na wewe unalewa taratiiibu!
NIPA (NEW INTERNATIONAL PURE ALCOHOL)

Ohoo nisije nikafukuzwa kazi kwa amri ya Raisi!!
 
Kwa wale wazee wenzangu tuliokulia kijijini,vitu vya kienyej tumepitia. Sasa we unahis kipi cha ukwel? Mie japo sio mhehe ila jamani 'ULANZI' mtamu. Yan kila unapopiga funda utamu unaongezeka huku na wewe unalewa taratiiibu!
Go go
 
Kwa wale wazee wenzangu tuliokulia kijijini,vitu vya kienyej tumepitia. Sasa we unahis kipi cha ukwel? Mie japo sio mhehe ila jamani 'ULANZI' mtamu. Yan kila unapopiga funda utamu unaongezeka huku na wewe unalewa taratiiibu!
Gongo
 
Gongo la Kagera hasa kutokea Karagwe na Kyerwa ndo pombe ninayoikubali inaitwa ENGULI/KALINYA kuna namba yake inaitwa EMBANDULE (Super)hii km huna kerosene unaweza washia kibatari/chemri. Duu,nimeimiss kinoma
Waragi je mkuu?
 
Kyindi/dadu nikinywa hii pombe najisikia burudaaaaaan🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪
 
Back
Top Bottom