Ni pombe gani ya kienyeji unaikubali kupita zote?

Ni pombe gani ya kienyeji unaikubali kupita zote?

Balaa la pingu lazima ufunge suruali yako chini
 
kitu tingisha ni balaa yani hata halufu yake unazimia:hatari:
 
mmh mnacheza nyinyi kitu cha dengulia,
pingu
chiimpumu
chindwendwe dah usipime ukipata iyo unaona paradiso yooote imeamia chumban kwako
 
Ulanzi is the best. Uzuri wa ulanzi ni natural! HAlafu hauna harufu ya kukera.
 
Back
Top Bottom