Tetesi: Ni rafiki wa Mpinzani wake aliyeitwa Nyumba nyeupe kuokoa jahazi

Tetesi: Ni rafiki wa Mpinzani wake aliyeitwa Nyumba nyeupe kuokoa jahazi

Vitu 2 unavyovijua humu JF ni kumtaja Le mutuz na Waganga wa January Makamba only.

Empty set.
Wewe unajua nini zaidi ya kukariri zidumu fikra zako za kishamba yaani hutaki Le mutuz atajwe kisa ni boss wako? Acha ushamba wako nenda kojoa ulale huna hoja
 
Apson Mwangonda alikuwa confidant wa Edward Lowassa na mtu wake wa mkakati kuelekea kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa 2015.Alijionyesha wazi wakati Lowassa bado mwanachama wa CCM,wakishirikiana chini kwa chini kusuka mtandao ndani ya CCM na kukabiliana na kihatarishi cha kambi ya Kikwete ambacho walihisi kitakwamisha safari yao.Kambi ya Kikwete is typically saying Team Membe.Mwang'onda alianza kujiweka nyuma ya pazia baada ya Lowassa kwenda Chadema,which I think was their contigency plan.

Kwa hili linaolendelea linanifikirisha sana.Kwani nini JPM amekuwa anahaha kumrejesha Lowassa CCM.Amekuwa akimsifia sana.Na kitendo cha kumrecognize Apson Mwango'onda ni kunetrulize kambi na washirika wa Edward Lowassa kwa minajiri ya kuwatumia kama silaha kwenye vita yake na Membe.
Umeona si kila tetesi ni za kupuuza
 
Apson Mwangonda alikuwa confidant wa Edward Lowassa na mtu wake wa mkakati kuelekea kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa 2015.Alijionyesha wazi wakati Lowassa bado mwanachama wa CCM,wakishirikiana chini kwa chini kusuka mtandao ndani ya CCM na kukabiliana na kihatarishi cha kambi ya Kikwete ambacho walihisi kitakwamisha safari yao.Kambi ya Kikwete is typically saying Team Membe.Mwang'onda alianza kujiweka nyuma ya pazia baada ya Lowassa kwenda Chadema,which I think was their contigency plan.

Kwa hili linaolendelea linanifikirisha sana.Kwani nini JPM amekuwa anahaha kumrejesha Lowassa CCM.Amekuwa akimsifia sana.Na kitendo cha kumrecognize Apson Mwango'onda ni kunetrulize kambi na washirika wa Edward Lowassa kwa minajiri ya kuwatumia kama silaha kwenye vita yake na Membe.
Umeona si kila tetesi ni za kupuuza
 
Apson Mwangonda alikuwa confidant wa Edward Lowassa na mtu wake wa mkakati kuelekea kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa 2015.Alijionyesha wazi wakati Lowassa bado mwanachama wa CCM,wakishirikiana chini kwa chini kusuka mtandao ndani ya CCM na kukabiliana na kihatarishi cha kambi ya Kikwete ambacho walihisi kitakwamisha safari yao.Kambi ya Kikwete is typically saying Team Membe.Mwang'onda alianza kujiweka nyuma ya pazia baada ya Lowassa kwenda Chadema,which I think was their contigency plan.

Kwa hili linaolendelea linanifikirisha sana.Kwani nini JPM amekuwa anahaha kumrejesha Lowassa CCM.Amekuwa akimsifia sana.Na kitendo cha kumrecognize Apson Mwango'onda ni kunetrulize kambi na washirika wa Edward Lowassa kwa minajiri ya kuwatumia kama silaha kwenye vita yake na Membe.

The fact is: Lowassa na Sumaye kama MaWaziri Wakuu wastaafu, wataendelea kuwa CHADEMA au watarudi kundini kwao kwa zamani. Hawawezi wakafanya kitu tofauti na hayo mawili. Kuna kitu (something very huge) kinaedndelea nyuma ya pazia ambacho wengi hatukijui na wala hatuelewi. Kumbuka mkutano wa viongozi wastaafu siku kadhaa nyuma hapo Nyumba Nyeupe. Huo mkutano haukuwa wa kisiasa bali utakuwa ulikuwa unahusu briefing ya matukio muhimu ndani ya nchi, kuanzia tetemeko la Kagera mpaka MV, no nadhani Mv kipindi hicho ilikuwa bado. Kuna mambo mengi sisi as laymen, hatuyaelewi na watu wa usalama sasa huwa awana press release! Naomba watu wawe wanachukua moja kichwani, wasiwe wanaona siasa tu kila kitu!

Ukipenda unaweza kunipa credits kwa post yangu hiyo hapo juu

cc: VAN persi
 
The fact is: Lowassa na Sumaye kama MaWaziri Wakuu wastaafu, wataendelea kuwa CHADEMA au watarudi kundini kwao kwa zamani. Hawawezi wakafanya kitu tofauti na hayo mawili. Kuna kitu (something very huge) kinaedndelea nyuma ya pazia ambacho wengi hatukijui na wala hatuelewi. Kumbuka mkutano wa viongozi wastaafu siku kadhaa nyuma hapo Nyumba Nyeupe. Huo mkutano haukuwa wa kisiasa bali utakuwa ulikuwa unahusu briefing ya matukio muhimu ndani ya nchi, kuanzia tetemeko la Kagera mpaka MV, no nadhani Mv kipindi hicho ilikuwa bado. Kuna mambo mengi sisi as laymen, hatuyaelewi na watu wa usalama sasa huwa awana press release! Naomba watu wawe wanachukua moja kichwani, wasiwe wanaona siasa tu kila kitu!
 
Membe ataingia chadema kwaushawishi wa nyalandu kisha chadema wata bow down na kumpa kijiti,lisu atamaindi lkn atapewa ahadi ya uwaziri mkuu na uenyekiti wa chama. M Atatimua vumbi lakini magufull atapita kimbinde... Utatafutwa muafaka wa kitaifa ndipo Lissu atapokuwa waziri wa sheria na mbowe wa maji...isivyotegemewa upinzani watapata viti vya ubunge zaidi ya vile vya 2015. Utabiri utaendelea...
 
Membe ataingia chadema kwaushawishi wa nyalandu kisha chadema wata bow down na kumpa kijiti,lisu atamaindi lkn atapewa ahadi ya uwaziri mkuu na uenyekiti wa chama. M Atatimua vumbi lakini magufull atapita kimbinde... Utatafutwa muafaka wa kitaifa ndipo Lissu atapokuwa waziri wa sheria na mbowe wa maji...isivyotegemewa upinzani watapata viti vya ubunge zaidi ya vile vya 2015. Utabiri utaendelea...
Haiingii akilini kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom