Tetesi: Ni rafiki wa Mpinzani wake aliyeitwa Nyumba nyeupe kuokoa jahazi

Tetesi: Ni rafiki wa Mpinzani wake aliyeitwa Nyumba nyeupe kuokoa jahazi

...duuuuh kweli wewe mnyoo
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho maana kipimo cha Akili hapa JF ni hicho ukiona fala kama wewe kaanza kuisengenya ID ya JF huwa tunajua uwezo wake wa Akili umefikia kikomo hana hoja tena, mbona ID yako ni ya kijuha lakini hakuna mtu kahangaika nayo? inaelelekea wewe ni mtindiga toka kolomije lazima utakuwa ni kilaza na mshamba Fulani, simama kwenye hoja za msingi acha ushamba wako, akili zako ni ndogo kama za Boss wako Musiba na Le mutuz, Tambua kuwa ID za JF sio majina yanatokea kwenye ubatizo Msikitini na kanisani ni majina ya kazi ndiyo maana wenye Akili hawana mda na ID yako wala ya yeyote wanajikita kwenye Hoja moja kwa moja.
 
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho maana kipimo cha Akili hapa JF ni hicho ukiona fala kama wewe kaanza kuisengenya ID ya JF huwa tunajua uwezo wake wa Akili umefikia kikomo hana hoja tena, mbona ID yako ni ya kijuha lakini hakuna mtu kahangaika nayo? inaelelekea wewe ni mtindiga toka kolomije lazima utakuwa ni kilaza na mshamba Fulani, simama kwenye hoja za msingi acha ushamba wako, akili zako ni ndogo kama za Boss wako Musiba na Le mutuz, Tambua kuwa ID za JF sio majina yanatokea kwenye ubatizo Msikitini na kanisani ni majina ya kazi ndiyo maana wenye Akili hawana mda na ID yako wala ya yeyote wanajikita kwenye Hoja moja kwa moja.
...basi sawa mkuu
 
Kuna wakati majina ya JF hutoa picha ya mchangiaji?
Cha msingi ni hoja pekee na kama mtu hana hoja au hawezi kujibu hoja yeyote yafaa kukaa kimya sio kukesha JF pasipo kuwa na hoja
 
Huwezi kuelewa mpaka siku unakufa kwani mbona unawaamini wale walinzi wa usalama wanaomlinda Lowasa ambao ni watumishi wa umma ambao mda wote wanasikia simu zake wanajua maisha yake kwani wao hawakutumika kupeleka taarifa? Urafiki wa Apson na Lowasa ni wa siku nyingi tokea wakiwa Jwtz wote kipindi hicho Lowasa alikuwa captain na Apson alikuwa kanali wametokea mbali ni vigumu kuwatendanisha. hata mtengeneza fitna uzushi Majungu urafiki wao sio wa kisiasa kwa sasa kwa sababu huyo mzee Apson sio mwanasiasa wala mwanachama wa chadema.
Jamaa umepaniki kishenzi,kwani wewe shida yako ni nini hasa?
 
...huyo ni mnyoo mkuu,..ignore him/her
igwe wewe mwenyewe ni mpuuzi fala kilaza mbumbumbu huna kigezo cha kupuuza mtu tokea lini juha mjinga mjinga akaona akampuuza mtu ambaye anamzidi maarifa wewe ID yako ya kishamba IGWE unajua maana yake? Wenye Akili hawana mda wa kujadili ID za JF ndiyo maana hawajawahi isengenya ID yako ya wapuuze washamba wenzako huko huko
 
Nimesha mpuuza mkuu.
Umempuuza nani wakati wewe mwenyewe ni mpuuzi namba one? Ujue nyinyi vilaza mkikutana huko gheto kwa kubwa jinga Le mutuz mnadanganyana na kukariri ujinga mnajiona wajanja kumbe ni washamba na wajinga wa kutupwa.
 
Umempuuza nani wakati wewe mwenyewe ni mpuuzi namba one? Ujue nyinyi vilaza mkikutana huko gheto kwa kubwa jinga Le mutuz mnadanganyana na kukariri ujinga mnajiona wajanja kumbe ni washamba na wajinga wa kutupwa.
Teh teh hivi bado January Makamba analeta waganga wake wa kienyeji kama ulivyokuaga unasema kwny zile thread zako za kipuuzi,hahah.
 
Jamaa umepaniki kishenzi,kwani wewe shida yako ni nini hasa?
Kuna huyo mshamba alishambulia ID badala ya kujenga Hoja ndipo nikaamua nimpe vipande vyake ili kama kuna wajinga wenzake wapenda kuzisengenya ID za JF waache ushamba wajikite kwe hoja pekee.
 
Teh teh hivi bado January Makamba analeta waganga wake wa kienyeji kama ulivyokuaga unasema kwny zile thread zako za kipuuzi,hahah.
Wewe mwenyewe ni mpuuzi huwezi kujua kitu cha kipuuzi kwani uwezo wako wa kufikiri ni ndogo sana, acha upuuzi wako ndipo uweze kuona upuuzi wa wengine.
 
igwe wewe mwenyewe ni mpuuzi fala kilaza mbumbumbu huna kigezo cha kupuuza mtu tokea lini juha mjinga mjinga akaona akampuuza mtu ambaye anamzidi maarifa wewe ID yako ya kishamba IGWE unajua maana yake? Wenye Akili hawana mda wa kujadili ID za JF ndiyo maana hawajawahi isengenya ID yako ya wapuuze washamba wenzako huko huko
Mkuu usipanic kiongozi,
 
CCM walikosea sana kumlipa mamilioni Le mutuz kuajiri vijana wa kuwatetea CCM na Serikali yao mitandaoni, Kwani le mutuz badala ya kusaka vijana wenye Uelewa mpana ambao wangeweza kujenga hoja na kuwatetea CCM vizuri amekwenda kuokoteza Vilaza washamba wajinga wajinga anawalipa vicent kidogo kisha kuwakaririsha ujinga wake mwenyewe pasipo kuwaruhusu wachanganye na viakili vyao kiduchu matokeo yake wamekuwa busy kuandika ujinga kushambulia ID za JF wakidhani ni ujanja..! Ni Aibu chama Tawala kumwamini Le mutuz kumpa jukumu kubwa pasipo kutambua kuwa ni kubwa jinga na hana maarifa mapya tena.
 
Wewe mwenyewe ni mpuuzi huwezi kujua kitu cha kipuuzi kwani uwezo wako wa kufikiri ni ndogo sana, acha upuuzi wako ndipo uweze kuona upuuzi wa wengine.
CCM walikosea sana kumlipa mamilioni Le mutuz kuajiri vijana wa kuwatetea CCM na Serikali yao mitandaoni, Kwani le mutuz badala ya kusaka vijana wenye Uelewa mpana ambao wangeweza kujenga hoja na kuwatetea CCM vizuri amekwenda kuokoteza Vilaza washamba wajinga wajinga anawalipa vicent kidogo kisha kuwakaririsha ujinga wake mwenyewe pasipo kuwaruhusu wachanganye na viakili vyao kiduchu matokeo yake wamekuwa busy kuandika ujinga kushambulia ID za JF wakidhani ni ujanja..! Ni Aibu chama Tawala kumwamini Le mutuz kumpa jukumu kubwa pasipo kutambua kuwa ni kubwa jinga na hana maarifa mapya tena.
Vitu 2 unavyovijua humu JF ni kumtaja Le mutuz na Waganga wa January Makamba only.

Empty set.
 
Back
Top Bottom