Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
Daah lkn ile ilikua ni mtego sana kwa Lowassa.
I don't know why Mzee Apson alikuja kuzinguana na JK wkt JK alijitahidi sana kumpigania Jimmy kule mbeya ila ndio ikashindikana.
Jimmy hajawahi kua mwanasiasa mkuu