Tetesi: Ni rafiki wa Mpinzani wake aliyeitwa Nyumba nyeupe kuokoa jahazi

Tetesi: Ni rafiki wa Mpinzani wake aliyeitwa Nyumba nyeupe kuokoa jahazi

We jamaa bana nani anmpa hizo sifa?

Msukuma mnamuogopa nyie msiomjua sio mimi,eti mpelelezi teh teh.

Msukuma alitumwa na nani kupeleleza?Wkt kila siku anajipendekeza kwa JPM na jamaa ana mshit tu.

Kingunge nae ni mpelelezi hahah wkt mpk mzee anakufa haziivi na Magu.

Acha uongo,huchelewi kusema hata Nchimbi na Sofia Simba nao ni wapelelezi hahah.
Siyo kila anayeambiwa ampeleleze mtu ni kazi yake ya kudumu,

Aliyemchoma Lowassa kwa Kina chiligati ni kina msukuma na Apson

Alafu mbona watu wengi walikuwa upande wa CCM wakati wa kampeni na wamegeuka?

Alafu kipindi HICHO task ilikuwa kumdeal mamvi, hivo hata Magufuli alikuwa hana direct influence ya kuchunguzwa kwa Lowassa, ni matokeo ya kazi ya pamoja, haijalishi aliyechunguza ni adui wa nani au rafiki wa nani
 
Siyo kila anayeambiwa ampeleleze mtu ni kazi yake ya kudumu,

Aliyemchoma Lowassa kwa Kina chiligati ni kina msukuma na Apson

Alafu mbona watu wengi walikuwa upande wa CCM wakati wa kampeni na wamegeuka?

Alafu kipindi HICHO task ilikuwa kumdeal mamvi, hivo hata Magufuli alikuwa hana direct influence ya kuchunguzwa kwa Lowassa, ni matokeo ya kazi ya pamoja, haijalishi aliyechunguza ni adui wa nani au rafiki wa nani
Teh teh na aliyemfanya Membe ashindwe kutoboa Top 5 ni nani?

Hivi 2015 ilikua inahitaji akili za ziada ili Lowassa kuchomewa kwa kina Chiligati wkt kila mtu alikua anaona anayoyafanya hadharani?

Alikua anagawa hela makanisani/misikitini/bodaboda kila hafla yupo.Hapo ilihitaji akili gani ya ziada kuona huyu mtu ameanza Kampeni mapema.Kwanini uwasingizie Msukuma/Apson na sio JK ambae hao wakina Chiligati walikua wanamsikiliza anataka nini?

Unaonaje sasa pamoja na kumuundia Task force bado huyo Lowassa aliwatoa kamasi kwny kampeni na hotuba zake zisizo zidi dakika 4 tu,hahah.

Naona sasa Magu anamsifia Lowassa,huku anakutana Rostam na pembeni yake Apson akijimuika,hio inakwambia nini boss?

Hii sentensi sijakuelewa labda unifafanulie"Alafu mbona watu wengi walikuwa upande wa CCM wakati wa kampeni na wamegeuka?"
 
Teh teh na aliyemfanya Membe ashindwe kutoboa Top 5 ni nani?

Hivi 2015 ilikua inahitaji akili za ziada ili Lowassa kuchomewa kwa kina Chiligati wkt kila mtu alikua anaona anayoyafanya hadharani?

Alikua anagawa hela makanisani/misikitini/bodaboda kila hafla yupo.Hapo ilihitaji akili gani ya ziada kuona huyu mtu ameanza Kampeni mapema.Kwanini uwasingizie Msukuma/Apson na sio JK ambae hao wakina Chiligati walikua wanamsikiliza anataka nini?

Unaonaje sasa pamoja na kumuundia Task force bado huyo Lowassa aliwatoa kamasi kwny kampeni na hotuba zake zisizo zidi dakika 4 tu,hahah.

Naona sasa Magu anamsifia Lowassa,huku anakutana Rostam na pembeni yake Apson akijimuika,hio inakwambia nini boss?

Hii sentensi sijakuelewa labda unifafanulie"Alafu mbona watu wengi walikuwa upande wa CCM wakati wa kampeni na wamegeuka?"
Hapo ndo magufuli anaharibu na inaweza kumcost magu mwenyewe
 
Political calculations based on intel and security calculus!!
====
Don't be confused, I guess that is how it's supposed to look like!!

Kama mtu anategemea TISS kua mwanasiasa bora aisee atakua ameshafeli to begin with!

Kama jiwe or whoever trusts his political life with taasisi called TISS or whichever,I cant imagine the vulnerability!

He's predisposed to fail on everything!
 
Ni vigumu kwa nchi za Africa kumuondoa aliyeko madarakani....mpak aamue mwenyewe...yanayotokea yanaonesha kuwa yye ndo mkuu wa nchi ana nguvu ya kumuita yyte n kumwamuru atekeleze anayotaka
NGUMU SANA SANA 100%
 
Ni vigumu kwa nchi za Africa kumuondoa aliyeko madarakani....mpak aamue mwenyewe...yanayotokea yanaonesha kuwa yye ndo mkuu wa nchi ana nguvu ya kumuita yyte n kumwamuru atekeleze anayotaka
Na huu ndio ukweli mchungu.
 
Na declare interest,huyo mzee namfahamu ni very smart.

Ambacho sielewi ni ilikuwaje Lowassa akamuamini Mzee Apson kwny kambi yake 2015 mpk akaenda nae Chadema akiwa naw wkt anamjua vzr mkuu?


Huyo Mzee alikua ni Team Rostam/Team Lowasa Kitambo ...haziivi na Jk na na Apson hakutaka Membe awe President I guess Lowasa kwa kuona mzee sio Team Kikwete ikabidi amvae waunganishe Nguvu
 
Haiwezi
Hapo ndo magufuli anaharibu na inaweza kumcost magu mwenyewe


Magu Ana akili. Haiwezi Mcost kitu hapo anaunganisha nguvu na Kiboko wa Membe na Jk ambao ni Rostam, Apson. Na Lowasa , Kumbuka Rostam aliondoka nchini baada ya ugomvi wake na Jk kupamba “Siasa uchwala”
 
Huyo Mzee alikua ni Team Rostam/Team Lowasa Kitambo ...haziivi na Jk na na Apson hakutaka Membe awe President I guess Lowasa kwa kuona mzee sio Team Kikwete ikabidi amvae waunganishe Nguvu
Daah lkn ile ilikua ni mtego sana kwa Lowassa.

I don't know why Mzee Apson alikuja kuzinguana na JK wkt JK alijitahidi sana kumpigania Jimmy kule mbeya ila ndio ikashindikana.
 
Mtu pekee wa kumtumia ili kumshawishi Edo kurudi ccm ni Mzee Apson sasa kuna matatu hapo mzee Apson alifikishwa ujumbe kwa mkuu ukiwa postive au negative....au ukiwa na conditions...hatuwezi jua ni kusubiri wakati...utatupa majibu thabiti
 
Mimi naona mnatumalizia MB zetu tuu, the truth mikutano yote ya kumchagua raisi ni geresha changa la moto , nahisi utambuzi wa magufuli awe raisi unafanywa na ulifanywa in advance na watu wachache, na baada ya hapo sinema zinaanza, wote nyie mnazungumza pumba tuu
 
Back
Top Bottom