Wewe unajua nini zaidi ya kukariri zidumu fikra zako za kishamba yaani hutaki Le mutuz atajwe kisa ni boss wako? Acha ushamba wako nenda kojoa ulale huna hojaVitu 2 unavyovijua humu JF ni kumtaja Le mutuz na Waganga wa January Makamba only.
Empty set.
Waganga wa January Makamba wako wapi sa hivi?hahahWewe unajua nini zaidi ya kukariri zidumu fikra zako za kishamba yaani hutaki Le mutuz atajwe kisa ni boss wako? Acha ushamba wako nenda kojoa ulale huna hoja
Umeona si kila tetesi ni za kupuuzaApson Mwangonda alikuwa confidant wa Edward Lowassa na mtu wake wa mkakati kuelekea kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa 2015.Alijionyesha wazi wakati Lowassa bado mwanachama wa CCM,wakishirikiana chini kwa chini kusuka mtandao ndani ya CCM na kukabiliana na kihatarishi cha kambi ya Kikwete ambacho walihisi kitakwamisha safari yao.Kambi ya Kikwete is typically saying Team Membe.Mwang'onda alianza kujiweka nyuma ya pazia baada ya Lowassa kwenda Chadema,which I think was their contigency plan.
Kwa hili linaolendelea linanifikirisha sana.Kwani nini JPM amekuwa anahaha kumrejesha Lowassa CCM.Amekuwa akimsifia sana.Na kitendo cha kumrecognize Apson Mwango'onda ni kunetrulize kambi na washirika wa Edward Lowassa kwa minajiri ya kuwatumia kama silaha kwenye vita yake na Membe.
Umeona si kila tetesi ni za kupuuzaApson Mwangonda alikuwa confidant wa Edward Lowassa na mtu wake wa mkakati kuelekea kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa 2015.Alijionyesha wazi wakati Lowassa bado mwanachama wa CCM,wakishirikiana chini kwa chini kusuka mtandao ndani ya CCM na kukabiliana na kihatarishi cha kambi ya Kikwete ambacho walihisi kitakwamisha safari yao.Kambi ya Kikwete is typically saying Team Membe.Mwang'onda alianza kujiweka nyuma ya pazia baada ya Lowassa kwenda Chadema,which I think was their contigency plan.
Kwa hili linaolendelea linanifikirisha sana.Kwani nini JPM amekuwa anahaha kumrejesha Lowassa CCM.Amekuwa akimsifia sana.Na kitendo cha kumrecognize Apson Mwango'onda ni kunetrulize kambi na washirika wa Edward Lowassa kwa minajiri ya kuwatumia kama silaha kwenye vita yake na Membe.
NdiyoTeh kwa hiyo katafutwa mtu anayejua how Mango thinks ili amzibiti ?
Alafu huu uongo huu ulifanana kwa mbaali na ukweli Pascal MayallaPascal Mayalla umemkataza Britannica uongo unaokaribia ukweli ataleta taharuki huku
Haikupasa kuipuuza hii tetesi.Alafu huu uongo huu ulifanana kwa mbaali na ukweli Pascal Mayalla
kabisaaHaikupasa kuipuuza hii tetesi.
Hamjui huyo anamfahamu tu juu juu, huyo niliwai kusikia hata King maker RA huwa anasujudu kwa huyo mtuAcha ujinga wewe. Sio smart unamjua?
Apson Mwangonda alikuwa confidant wa Edward Lowassa na mtu wake wa mkakati kuelekea kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa 2015.Alijionyesha wazi wakati Lowassa bado mwanachama wa CCM,wakishirikiana chini kwa chini kusuka mtandao ndani ya CCM na kukabiliana na kihatarishi cha kambi ya Kikwete ambacho walihisi kitakwamisha safari yao.Kambi ya Kikwete is typically saying Team Membe.Mwang'onda alianza kujiweka nyuma ya pazia baada ya Lowassa kwenda Chadema,which I think was their contigency plan.
Kwa hili linaolendelea linanifikirisha sana.Kwani nini JPM amekuwa anahaha kumrejesha Lowassa CCM.Amekuwa akimsifia sana.Na kitendo cha kumrecognize Apson Mwango'onda ni kunetrulize kambi na washirika wa Edward Lowassa kwa minajiri ya kuwatumia kama silaha kwenye vita yake na Membe.
The fact is: Lowassa na Sumaye kama MaWaziri Wakuu wastaafu, wataendelea kuwa CHADEMA au watarudi kundini kwao kwa zamani. Hawawezi wakafanya kitu tofauti na hayo mawili. Kuna kitu (something very huge) kinaedndelea nyuma ya pazia ambacho wengi hatukijui na wala hatuelewi. Kumbuka mkutano wa viongozi wastaafu siku kadhaa nyuma hapo Nyumba Nyeupe. Huo mkutano haukuwa wa kisiasa bali utakuwa ulikuwa unahusu briefing ya matukio muhimu ndani ya nchi, kuanzia tetemeko la Kagera mpaka MV, no nadhani Mv kipindi hicho ilikuwa bado. Kuna mambo mengi sisi as laymen, hatuyaelewi na watu wa usalama sasa huwa awana press release! Naomba watu wawe wanachukua moja kichwani, wasiwe wanaona siasa tu kila kitu!
The fact is: Lowassa na Sumaye kama MaWaziri Wakuu wastaafu, wataendelea kuwa CHADEMA au watarudi kundini kwao kwa zamani. Hawawezi wakafanya kitu tofauti na hayo mawili. Kuna kitu (something very huge) kinaedndelea nyuma ya pazia ambacho wengi hatukijui na wala hatuelewi. Kumbuka mkutano wa viongozi wastaafu siku kadhaa nyuma hapo Nyumba Nyeupe. Huo mkutano haukuwa wa kisiasa bali utakuwa ulikuwa unahusu briefing ya matukio muhimu ndani ya nchi, kuanzia tetemeko la Kagera mpaka MV, no nadhani Mv kipindi hicho ilikuwa bado. Kuna mambo mengi sisi as laymen, hatuyaelewi na watu wa usalama sasa huwa awana press release! Naomba watu wawe wanachukua moja kichwani, wasiwe wanaona siasa tu kila kitu!
SUBIRI 2020 WABABE WANAVYOENDA KUPINDUA MEZA KIBABE.....!Membe hana mpango kisiasa, anajisumbua tu na kujidhalilisha. Anaacha kujikalia huko aliko na kunya kwa starehe, anakuja kutunyea hadharani sie.
KEN.G.E MKUBWA WEWE,SUBIRI 2020 UONE SHUGHULIMembe mda siyo mrefu ataanza kuhudhuria clinic Appolo na Singapor.......
Mkuu hao wanaotagiwa na huyo mtoa post wanafahamiana,hapo walikua wanaunga dots tu kutuelekeza sisi mapopoma wa hayo Mambo,nadhani umeshaelewa sasaTatizo limeanzia kwa hao ulio watag..
WATAKUJA KUELEWA BAADE SANA, MEMBE FOR PRESDENTIAL 2020!2020 ni Membe
Muwe mnaelewa na msikilize kwa makiniTena wapenda sifa,ujuaji mwingi na kutafuta kick za kishamba.
Haiingii akilini kabisaMembe ataingia chadema kwaushawishi wa nyalandu kisha chadema wata bow down na kumpa kijiti,lisu atamaindi lkn atapewa ahadi ya uwaziri mkuu na uenyekiti wa chama. M Atatimua vumbi lakini magufull atapita kimbinde... Utatafutwa muafaka wa kitaifa ndipo Lissu atapokuwa waziri wa sheria na mbowe wa maji...isivyotegemewa upinzani watapata viti vya ubunge zaidi ya vile vya 2015. Utabiri utaendelea...
Someone somewhere is blackmailed.Umeona si kila tetesi ni za kupuuza