Kama kutakuwa na mwendesha mdahalo makini, Magufuli anaweza kushiriki vizuri.
Namkubali sana Magu, ila Baadhi ya Watanzania wanapenda kusikia kauli za matusi na kuchafua watu wengine.
Wakisikia maneno ya kashfa wanajua wana jembe, kumbe ni kamasi tu.