Ni rahisi mno kuzini na ex wako. Kama upo kwenye ndoa kaa Mbali na hao watu, ni hatari

Yani nifanye hayo yote ili nisile kitumbua cha ex? Haiwezekani kama bado mzuri na hatukuachana vibaya lazima nimuombe kidogo

Afterall tulishaunganika kiroho kama ulivyosema
 
Yani nifanye hayo yote ili nisile kitumbua cha ex? Haiwezekani kama bado mzuri na hatukuachana vibaya lazima nimuombe kidogo

Afterall tulishaunganika kiroho kama ulivyosema
Kuna Wakati hutapenda kuchanganya madesa,mother house akigundua ni Shida
 
sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…