Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Mkuu ujue vyuo vinatofautiana kuanzia kwenye;
Minimum pass marks yaan alama C kuna baadhi 45% inatosha kuna baadhi hadi ufike 50%
Pia namna wanavyo calculate grade points kwa kila somo hapa kuna vyuo ukiscore alama A tu wewe tayari una points zako 5 haijalishi iwe A ya 75% au 100%
Wakati SUA kila alama unayo score katika somo ina specific points mfano mwanafunzi aliye na A ya 100% atapata 5 points wakati mwenye 90% atapata 4.5 points hali kadhalika mwenye A ya 75% atapata 4 points
Kwahiyo ukija kwenye kucalculate average grade point (GPA) lazma utakuta utofauti
Hivyo basi unakuta kupata first class ni rahisi kwa baadhi ya vyuo na ni ngumu sana kupata kwa baadhi ya vyuo na hii husababishwa na huo utofauti nilio eleza hapo juu
Minimum pass marks yaan alama C kuna baadhi 45% inatosha kuna baadhi hadi ufike 50%
Pia namna wanavyo calculate grade points kwa kila somo hapa kuna vyuo ukiscore alama A tu wewe tayari una points zako 5 haijalishi iwe A ya 75% au 100%
Wakati SUA kila alama unayo score katika somo ina specific points mfano mwanafunzi aliye na A ya 100% atapata 5 points wakati mwenye 90% atapata 4.5 points hali kadhalika mwenye A ya 75% atapata 4 points
Kwahiyo ukija kwenye kucalculate average grade point (GPA) lazma utakuta utofauti
Hivyo basi unakuta kupata first class ni rahisi kwa baadhi ya vyuo na ni ngumu sana kupata kwa baadhi ya vyuo na hii husababishwa na huo utofauti nilio eleza hapo juu