ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
ngo ya mbowe mpaka mfagizi mchaga ila CCM mwenyekiti ni Zanzibar na kila baada y muda tunachagua mwingine. Yaani natamani jitu ka wewe msiwepo duniani maan mnaeneza chuki bora mfe kabisaUsisahau kuwa Sukuma Gang hasa chimbuko lake ni viongozi wachache kutoka kabila la wasukuma walioingizwa serikalini na JPM na kupewa nafasi mbali mbali na walimsaidia kwa karibu katika propaganda zake na katika ubadhirifu na udhalimu kwa adui zake. Wapo wengine ni washabiki wa JPM wasio wasukuma nao ni Sukuma gang pia lakini wenye sababu tofauti ya kumshabikia JPM.
ANDAMANAA[emoji23][emoji23][emoji23] mbona makasiriko mengi kweli Hamuon mlivyoboronga bora wapewe WABURUNDI AU AL SHABABMods! Tafadhari, mada hii haina uhusiano wowote na kabila la mtu, hivyo naombeni sana!
Shalomu Tanzania!
Zamani za mfalume Farao (Filauni) mfalume huyu wa Misiri kipindi cha yeye kuongoza Misiri' alitoa amri ya kuwauwa watoto wote wa kiume waliotokana na wayahudi wahamiaji wa Kiisraeli katika nchi hiyo!
Lilikuwa ni agizo ambalo liliwatia simanzi watumwa hao wa Kiisraeli katika nchi ya ugeni!
Mfalume huyo, hofu yake ni kuona ongezeko kubwa la wahamiaji hao katika nchi na kwamba wakiongezeka sana, wanaweza kuja kuwatawala wa Misiri, ili kuwadhibiti waisrael kuongezeka na kuwa tishio, basi akatoa amri hiyo ya watoto wote wa kiume watakaokuwa wakizaliwa, basi wauwawe!
Siku moja mama wa kiyahudi, alijifungua mtoto wa kiume, hakutaka kuwakabidhi hao waliopewa amri ya kinyonga vitoto hivyo, basi akatengeneza kisafina na kisha kukaweka kwenye kijito ambacho hutilirisha maji yake kupitia maeneo ya Ikulu ya Farao ambapo watoto wake huogelea humo!
Wakati watoto wa Farao wakiogelea, binti Farao akakiona kile kisafina kikiwa kinaelea kufuata mkondo wa maji, akakifuata na kumbe mlikuwemo mtoto, naye bila hiyana, akakipeleka Ikulu na mtoto yule kulelewa hapo Ikulu, na wao kumpa jina la Musa!
Masikini Farao haukujua kwamba mtoto waliyemlea ndiyo huyo atakayeleta mapinduzi na kuwaokoa wayahudi wote waliokuwa wakitumikishwa na Farao!
Nataka kusema nini! Kupambana na sukuma gang na usijue hasa nani ni sukuma gang ni kujichosha saana
Twende kwenye mada
[emoji116][emoji116]
Kwenye mitandao ya kijamii, kumekuwepo na mjadara wa jina (SUKUMAGANG) ambao umedumu sasa takrabani miaka miwili naa, tangu tu alipoondoka aliyekuwa rais wa Tanzania hayati John Magufuli
Kwa kujua ama kutojua, watunzi wa jina hili huwenda hawakujua athari itakayojitokeza mbele, na sasa hata wao ukiwauliza hawajui walilenga nani ndiye awe mwenye jina hilo Sukumagang!
Ukiuliza, Sukumagang ni wasukuma? Wanajibu hapana, bali wanakutajia majina ya mahasimu wao kisiasa!
Mwanzoni kabisa, matumizi ya jina hili lilimaanisha (Wasukuma) hawakujua athari ya jina hilo! Kwa sababu walikuja kugundua, hata kwenye vyama vyao, kuna wasukuma tena wengine ni viongozi wakubwa huko,
JPM alikuwa Msukuma ingawa wengine hawataki kumhusisha na usukuma lakini ni kwa sababu ya masilahi ya kisiasa, kwa sababu wanajua, wakimhusisha na wasukuma, moja kwa moja jina hilo walilolitunga kwa ajili yake, litawajumuisha wasukuma wote wa kanda ya ziwa kwa maana ya mikoa mitano na waliosambaa nchi nzima
wanachokihofu wanasiasa hawa, ni suala Zima la wao kutafuta uungwaji mkono kutoka kwa kabila hilo kubwa nchini,
Tukirudi upande wa pili, kunawanaosema, hao sukuma gang wanapaswa kudhibitiwa ili wasithubutu tena kushika madaraka ya juu ya nchi hii,
Hoja hii ndiyo yenye maswali mengi yasiyo na majibu hata kwa hao wanaojaribu kusema hivyo,
Ikiwa jina Sukuma gang linaihusu jamii ya wasukuma, Mtu anaposema, Sukumagang hawapaswi tena kushika madaraka ya juu katika nchi, anakuwa anamaanisha nini, ni kudhibitiwa kwa wasukuma wote, kwamba hawatakiwi kuongoza nchi hii kwa sababu aliyekuwa Raisi wa nchi na ambaye amekuwa hasimu wa vikundi haramu nchini tangu tu alipowatangazia vita vya serikali aliyokuwa akiiongoza yeye na vikundi hivyo haramu vya mafisadi alikuwa ni Msukuma?
JE, Sukuma gang hawapaswi kuongoza nchi hii tena, inamaana gani? Kwa mjibu wa madai mapya ya kundi bunifu la kutoa majina kama ambavyo walibuni jina hilo la sukuma gang kuwa, jina hilo halihusiani kabisa na wasukuma, ingawa hata inapotokea ametumbuliwa msukuma, vikundi hivi vya wabunifu wa jina hili vimekuwa vikifanya sherehe kwenye mitandao ya kijamii.
Unajiuliza, ikiwa jina Sukuma gang halihusiani na wasukuma, kwa nini sasa msukuma mmoja akiondolewa madarakani kunakuwepo na shangwe miongoni mwa wabunifu wa jina hili?
Failsafa ya jina hili ni kama imegawanyika, imegawanyika kwa sababu tu ya kimasilahi hasa za kisiasa, ingawa vitendo havijagawanyika! Vitendo vinadili sana na wasukuma na ndiyo maana utaona, kila alitimliwa msukuma kwenye nafasi fulani, inakuwa sherehe kwao
Kuwadhibiti wasukuma ili lengo la falisafa yao itimie ni rahisi kwa sababu wasukuma wanajulikana kwa majina yao, wakijificha kwa majina yao, lafudhi yao itawatambulisha.
Kutumia nguvu kudhibiti Sukuma gang wasishike madaraka, ni kujaribu kukimbiza upepo.
Sukuma gang ukiondoa ubaguzi uliojificha kwenye jina hilo, kundi hili halidhibitiki hata kwa mtutu wa bunduki
Sukuma gang, Wapo kila wizara na kila sector zote za Serikali kwenye ngazi za juu za kati, na huku chini ndio usiseme! Wapo kwenye vyama mbalimbali nchini
Ni ujinga mtu kupigana na kitu kilicho moyoni mwa mtu.
Na mpaka sasa haijulikani ikiwa hata walioshushwa vyeo ndio walikuwa sukumagang na ambao wamewekwa kwenye nafasi hizo kama nao ni wale wale sukuma gang.
Sukumagang ni watu wote walioathiliwa na uongozi wa kuthubutu kufanya, uongozi mashuhuli wa JPM, sasa ni kina nani, Sio wasukuma, wachaga, warangi, wagogo, wamatumbi, wajita, wazaramo na kila kabila.
Kote huko sukumagang wapo wamejaa.
Unaweza kupigana na wasukuma ukawashinda ila sio Sukumagang!
Teuzi ni Pwani, Tanga na ZanzibarAcha uongo..
We ajuza ndoa imekushinda umeamua kujipiga beingo ya mbowe mpaka mfagizi mchaga ila CCM mwenyekiti ni Zanzibar na kila baada y muda tunachagua mwingine. Yaani natamani jitu ka wewe msiwepo duniani maan mnaeneza chuki bora mfe kabisa
Mbona matusi ni ya kizamani yote? Huna tusi jipya ambalo halijawahi kusikika?
Kumbe umekosa tusi jipya!Nasemajeeeeee hamna uspecial huo kwenye siasa za Tanzania, punguzeni ujuajiiii.....eti gang, mkijifungia huko mnadanganyana kuwa nyie Ndo wajuzi wa kuongozaπ€£π€£π€£π€£ Tuko na Serikali yetu ya awamu ya sita, Serikali ya maridhiano, tunalala Kwa amani.....siasa za kishamba za kutekanatekana tupa kuleeeeπ€£ Endeleeni kuota.
Sukuma Gang siyo Wasukuma bali ni wafuasi wa yule mwovu mhamiaji haramu toka Burundi. Ningekuunga mkono kama ungependekeza hao wafuasi wa huyo mwovu waitwe BANYAMULENGE, hayo mengine ni wenge lako tu na wahutu wenzako.Mods! Tafadhari, mada hii haina uhusiano wowote na kabila la mtu, hivyo naombeni sana!
Shalomu Tanzania!
Zamani za mfalume Farao (Filauni) mfalume huyu wa Misiri kipindi cha yeye kuongoza Misiri' alitoa amri ya kuwauwa watoto wote wa kiume waliotokana na wayahudi wahamiaji wa Kiisraeli katika nchi hiyo!
Lilikuwa ni agizo ambalo liliwatia simanzi watumwa hao wa Kiisraeli katika nchi ya ugeni!
Mfalume huyo, hofu yake ni kuona ongezeko kubwa la wahamiaji hao katika nchi na kwamba wakiongezeka sana, wanaweza kuja kuwatawala wa Misiri, ili kuwadhibiti waisrael kuongezeka na kuwa tishio, basi akatoa amri hiyo ya watoto wote wa kiume watakaokuwa wakizaliwa, basi wauwawe!
Siku moja mama wa kiyahudi, alijifungua mtoto wa kiume, hakutaka kuwakabidhi hao waliopewa amri ya kinyonga vitoto hivyo, basi akatengeneza kisafina na kisha kukaweka kwenye kijito ambacho hutilirisha maji yake kupitia maeneo ya Ikulu ya Farao ambapo watoto wake huogelea humo!
Wakati watoto wa Farao wakiogelea, binti Farao akakiona kile kisafina kikiwa kinaelea kufuata mkondo wa maji, akakifuata na kumbe mlikuwemo mtoto, naye bila hiyana, akakipeleka Ikulu na mtoto yule kulelewa hapo Ikulu, na wao kumpa jina la Musa!
Masikini Farao haukujua kwamba mtoto waliyemlea ndiyo huyo atakayeleta mapinduzi na kuwaokoa wayahudi wote waliokuwa wakitumikishwa na Farao!
Nataka kusema nini! Kupambana na sukuma gang na usijue hasa nani ni sukuma gang ni kujichosha saana
Twende kwenye mada
[emoji116][emoji116]
Kwenye mitandao ya kijamii, kumekuwepo na mjadara wa jina (SUKUMAGANG) ambao umedumu sasa takrabani miaka miwili naa, tangu tu alipoondoka aliyekuwa rais wa Tanzania hayati John Magufuli
Kwa kujua ama kutojua, watunzi wa jina hili huwenda hawakujua athari itakayojitokeza mbele, na sasa hata wao ukiwauliza hawajui walilenga nani ndiye awe mwenye jina hilo Sukumagang!
Ukiuliza, Sukumagang ni wasukuma? Wanajibu hapana, bali wanakutajia majina ya mahasimu wao kisiasa!
Mwanzoni kabisa, matumizi ya jina hili lilimaanisha (Wasukuma) hawakujua athari ya jina hilo! Kwa sababu walikuja kugundua, hata kwenye vyama vyao, kuna wasukuma tena wengine ni viongozi wakubwa huko,
JPM alikuwa Msukuma ingawa wengine hawataki kumhusisha na usukuma lakini ni kwa sababu ya masilahi ya kisiasa, kwa sababu wanajua, wakimhusisha na wasukuma, moja kwa moja jina hilo walilolitunga kwa ajili yake, litawajumuisha wasukuma wote wa kanda ya ziwa kwa maana ya mikoa mitano na waliosambaa nchi nzima
wanachokihofu wanasiasa hawa, ni suala Zima la wao kutafuta uungwaji mkono kutoka kwa kabila hilo kubwa nchini,
Tukirudi upande wa pili, kunawanaosema, hao sukuma gang wanapaswa kudhibitiwa ili wasithubutu tena kushika madaraka ya juu ya nchi hii,
Hoja hii ndiyo yenye maswali mengi yasiyo na majibu hata kwa hao wanaojaribu kusema hivyo,
Ikiwa jina Sukuma gang linaihusu jamii ya wasukuma, Mtu anaposema, Sukumagang hawapaswi tena kushika madaraka ya juu katika nchi, anakuwa anamaanisha nini, ni kudhibitiwa kwa wasukuma wote, kwamba hawatakiwi kuongoza nchi hii kwa sababu aliyekuwa Raisi wa nchi na ambaye amekuwa hasimu wa vikundi haramu nchini tangu tu alipowatangazia vita vya serikali aliyokuwa akiiongoza yeye na vikundi hivyo haramu vya mafisadi alikuwa ni Msukuma?
JE, Sukuma gang hawapaswi kuongoza nchi hii tena, inamaana gani? Kwa mjibu wa madai mapya ya kundi bunifu la kutoa majina kama ambavyo walibuni jina hilo la sukuma gang kuwa, jina hilo halihusiani kabisa na wasukuma, ingawa hata inapotokea ametumbuliwa msukuma, vikundi hivi vya wabunifu wa jina hili vimekuwa vikifanya sherehe kwenye mitandao ya kijamii.
Unajiuliza, ikiwa jina Sukuma gang halihusiani na wasukuma, kwa nini sasa msukuma mmoja akiondolewa madarakani kunakuwepo na shangwe miongoni mwa wabunifu wa jina hili?
Failsafa ya jina hili ni kama imegawanyika, imegawanyika kwa sababu tu ya kimasilahi hasa za kisiasa, ingawa vitendo havijagawanyika! Vitendo vinadili sana na wasukuma na ndiyo maana utaona, kila alitimliwa msukuma kwenye nafasi fulani, inakuwa sherehe kwao
Kuwadhibiti wasukuma ili lengo la falisafa yao itimie ni rahisi kwa sababu wasukuma wanajulikana kwa majina yao, wakijificha kwa majina yao, lafudhi yao itawatambulisha.
Kutumia nguvu kudhibiti Sukuma gang wasishike madaraka, ni kujaribu kukimbiza upepo.
Sukuma gang ukiondoa ubaguzi uliojificha kwenye jina hilo, kundi hili halidhibitiki hata kwa mtutu wa bunduki
Sukuma gang, Wapo kila wizara na kila sector zote za Serikali kwenye ngazi za juu za kati, na huku chini ndio usiseme! Wapo kwenye vyama mbalimbali nchini
Ni ujinga mtu kupigana na kitu kilicho moyoni mwa mtu.
Na mpaka sasa haijulikani ikiwa hata walioshushwa vyeo ndio walikuwa sukumagang na ambao wamewekwa kwenye nafasi hizo kama nao ni wale wale sukuma gang.
Sukumagang ni watu wote walioathiliwa na uongozi wa kuthubutu kufanya, uongozi mashuhuli wa JPM, sasa ni kina nani, Sio wasukuma, wachaga, warangi, wagogo, wamatumbi, wajita, wazaramo na kila kabila.
Kote huko sukumagang wapo wamejaa.
Unaweza kupigana na wasukuma ukawashinda ila sio Sukumagang!
Na yanakuja mwambieni lordlofa na bi zena wakewaambieni hawawezi kuzuia mafuriko kwa mikono
Hao sukumagang wangekuwa ni watenda haki wala wasingepata kutafuta waungaji mkono. Ukweli ni sukumagang kilikuwa ni kikundi cha watu wenye roho mbaya, waporaji, wanyonyaji na wasiotaka kukosolewa wala kuambiwa chochote.Hizi ni njama tu kama njama zingine, nakumbuka miaka ile zilitumika mbinu za hivi CCM wakaisema CUF ni chama cha magaidi, ni chama cha kidini ni chama cha kutumia visu na siraha.
Ikaja CDM, wakakiita chama cha Kaskazini, ni chama cha wachagga.
Leo hii wanasema sukuma gang ni ya wasukuma, ni ya wasukuma. Haya yote ni mazingaombwe ya wanaokula asali ya nchi hii, hawataki kuona wanaondolewa kwenye viti vyao.
Dawa ni moja, watanzania tujitambue tupambane na wanyonyaji hawa. Tukatae kugawanywa ili watutawale, tupambane na wanyonyaji wa naotutawala kinyonyaji
Wenye mapenzi mema na nchi yetu wote tumo sukuma gang, haina kabila, dini wala rangi, mie ni mhaya na si msukuma lakini naungana na wote wanaoiona sukuma gang kimbilio la itikadi za jkombozi wa Tanzania
Kwani ulomtaja alikuwaga msukuma au mhamiaji mkimbizi?Mods! Tafadhari, mada hii haina uhusiano wowote na kabila la mtu, hivyo naombeni sana!
Shalomu Tanzania!
Zamani za mfalume Farao (Filauni) mfalume huyu wa Misiri kipindi cha yeye kuongoza Misiri' alitoa amri ya kuwauwa watoto wote wa kiume waliotokana na wayahudi wahamiaji wa Kiisraeli katika nchi hiyo!
Lilikuwa ni agizo ambalo liliwatia simanzi watumwa hao wa Kiisraeli katika nchi ya ugeni!
Mfalume huyo, hofu yake ni kuona ongezeko kubwa la wahamiaji hao katika nchi na kwamba wakiongezeka sana, wanaweza kuja kuwatawala wa Misiri, ili kuwadhibiti waisrael kuongezeka na kuwa tishio, basi akatoa amri hiyo ya watoto wote wa kiume watakaokuwa wakizaliwa, basi wauwawe!
Siku moja mama wa kiyahudi, alijifungua mtoto wa kiume, hakutaka kuwakabidhi hao waliopewa amri ya kinyonga vitoto hivyo, basi akatengeneza kisafina na kisha kukaweka kwenye kijito ambacho hutilirisha maji yake kupitia maeneo ya Ikulu ya Farao ambapo watoto wake huogelea humo!
Wakati watoto wa Farao wakiogelea, binti Farao akakiona kile kisafina kikiwa kinaelea kufuata mkondo wa maji, akakifuata na kumbe mlikuwemo mtoto, naye bila hiyana, akakipeleka Ikulu na mtoto yule kulelewa hapo Ikulu, na wao kumpa jina la Musa!
Masikini Farao haukujua kwamba mtoto waliyemlea ndiyo huyo atakayeleta mapinduzi na kuwaokoa wayahudi wote waliokuwa wakitumikishwa na Farao!
Nataka kusema nini! Kupambana na sukuma gang na usijue hasa nani ni sukuma gang ni kujichosha saana
Twende kwenye mada
[emoji116][emoji116]
Kwenye mitandao ya kijamii, kumekuwepo na mjadara wa jina (SUKUMAGANG) ambao umedumu sasa takrabani miaka miwili naa, tangu tu alipoondoka aliyekuwa rais wa Tanzania hayati John Magufuli
Kwa kujua ama kutojua, watunzi wa jina hili huwenda hawakujua athari itakayojitokeza mbele, na sasa hata wao ukiwauliza hawajui walilenga nani ndiye awe mwenye jina hilo Sukumagang!
Ukiuliza, Sukumagang ni wasukuma? Wanajibu hapana, bali wanakutajia majina ya mahasimu wao kisiasa!
Mwanzoni kabisa, matumizi ya jina hili lilimaanisha (Wasukuma) hawakujua athari ya jina hilo! Kwa sababu walikuja kugundua, hata kwenye vyama vyao, kuna wasukuma tena wengine ni viongozi wakubwa huko,
JPM alikuwa Msukuma ingawa wengine hawataki kumhusisha na usukuma lakini ni kwa sababu ya masilahi ya kisiasa, kwa sababu wanajua, wakimhusisha na wasukuma, moja kwa moja jina hilo walilolitunga kwa ajili yake, litawajumuisha wasukuma wote wa kanda ya ziwa kwa maana ya mikoa mitano na waliosambaa nchi nzima
wanachokihofu wanasiasa hawa, ni suala Zima la wao kutafuta uungwaji mkono kutoka kwa kabila hilo kubwa nchini,
Tukirudi upande wa pili, kunawanaosema, hao sukuma gang wanapaswa kudhibitiwa ili wasithubutu tena kushika madaraka ya juu ya nchi hii,
Hoja hii ndiyo yenye maswali mengi yasiyo na majibu hata kwa hao wanaojaribu kusema hivyo,
Ikiwa jina Sukuma gang linaihusu jamii ya wasukuma, Mtu anaposema, Sukumagang hawapaswi tena kushika madaraka ya juu katika nchi, anakuwa anamaanisha nini, ni kudhibitiwa kwa wasukuma wote, kwamba hawatakiwi kuongoza nchi hii kwa sababu aliyekuwa Raisi wa nchi na ambaye amekuwa hasimu wa vikundi haramu nchini tangu tu alipowatangazia vita vya serikali aliyokuwa akiiongoza yeye na vikundi hivyo haramu vya mafisadi alikuwa ni Msukuma?
JE, Sukuma gang hawapaswi kuongoza nchi hii tena, inamaana gani? Kwa mjibu wa madai mapya ya kundi bunifu la kutoa majina kama ambavyo walibuni jina hilo la sukuma gang kuwa, jina hilo halihusiani kabisa na wasukuma, ingawa hata inapotokea ametumbuliwa msukuma, vikundi hivi vya wabunifu wa jina hili vimekuwa vikifanya sherehe kwenye mitandao ya kijamii.
Unajiuliza, ikiwa jina Sukuma gang halihusiani na wasukuma, kwa nini sasa msukuma mmoja akiondolewa madarakani kunakuwepo na shangwe miongoni mwa wabunifu wa jina hili?
Failsafa ya jina hili ni kama imegawanyika, imegawanyika kwa sababu tu ya kimasilahi hasa za kisiasa, ingawa vitendo havijagawanyika! Vitendo vinadili sana na wasukuma na ndiyo maana utaona, kila alitimliwa msukuma kwenye nafasi fulani, inakuwa sherehe kwao
Kuwadhibiti wasukuma ili lengo la falisafa yao itimie ni rahisi kwa sababu wasukuma wanajulikana kwa majina yao, wakijificha kwa majina yao, lafudhi yao itawatambulisha.
Kutumia nguvu kudhibiti Sukuma gang wasishike madaraka, ni kujaribu kukimbiza upepo.
Sukuma gang ukiondoa ubaguzi uliojificha kwenye jina hilo, kundi hili halidhibitiki hata kwa mtutu wa bunduki
Sukuma gang, Wapo kila wizara na kila sector zote za Serikali kwenye ngazi za juu za kati, na huku chini ndio usiseme! Wapo kwenye vyama mbalimbali nchini
Ni ujinga mtu kupigana na kitu kilicho moyoni mwa mtu.
Na mpaka sasa haijulikani ikiwa hata walioshushwa vyeo ndio walikuwa sukumagang na ambao wamewekwa kwenye nafasi hizo kama nao ni wale wale sukuma gang.
Sukumagang ni watu wote walioathiliwa na uongozi wa kuthubutu kufanya, uongozi mashuhuli wa JPM, sasa ni kina nani, Sio wasukuma, wachaga, warangi, wagogo, wamatumbi, wajita, wazaramo na kila kabila.
Kote huko sukumagang wapo wamejaa.
Unaweza kupigana na wasukuma ukawashinda ila sio Sukumagang!
weee! Kumbe!Hao Sukumagang ni kikundi cha wapuuzi wachache ambao hawana uwezo wowote (kifedha, kimikakati wala kijasusi) wa kuchukua hii nchi tena. Mtu pekee waliyekuwa wakimtumainia ndo huyo ashafukiwa huko Chato. Na pesa alizokwiba na kuzificha China zimeshamulikwa na rada.
Nape juzi alitangaza wafanyabiashara wote waliofungiwa maduka ya mabadilishia fedha wamerudishiwa pesa zao na wameruhusiwa kuendelea na biashara. Bila shaka ni zile pesa alizokwiba na kwenda kuzificha zinaanza kurudi.
Pia, hao sukumagang hawana lolote, hivi Ndugai, Palamaganda, Bashiru, Polepole, Doto James, Bashite unaona kuna yeyote mwenye ushawishi au nguvu ya kubadilisha chochote?? Mtapambana sana mitandaoni kujipa relevancy lakini ukweli ni nyie ni weupe sana.
Achaneni na hii primitive nonsense. Tanzania haiongozwi na magenge ya kikabila. Waliopo katika utumishi wa umma ni Watanzania bila kujali makabila au dini zao. Mawazo ya mtu mmoja mmoja tena ya vijiweni msiyajadili kwa kuhusisha uongozi wa nchi. πππMods! Tafadhari, mada hii haina uhusiano wowote na kabila la mtu, hivyo naombeni sana!
Shalomu Tanzania!
Zamani za mfalume Farao (Filauni) mfalume huyu wa Misiri kipindi cha yeye kuongoza Misiri' alitoa amri ya kuwauwa watoto wote wa kiume waliotokana na wayahudi wahamiaji wa Kiisraeli katika nchi hiyo!
Lilikuwa ni agizo ambalo liliwatia simanzi watumwa hao wa Kiisraeli katika nchi ya ugeni!
Mfalume huyo, hofu yake ni kuona ongezeko kubwa la wahamiaji hao katika nchi na kwamba wakiongezeka sana, wanaweza kuja kuwatawala wa Misiri, ili kuwadhibiti waisrael kuongezeka na kuwa tishio, basi akatoa amri hiyo ya watoto wote wa kiume watakaokuwa wakizaliwa, basi wauwawe!
Siku moja mama wa kiyahudi, alijifungua mtoto wa kiume, hakutaka kuwakabidhi hao waliopewa amri ya kinyonga vitoto hivyo, basi akatengeneza kisafina na kisha kukaweka kwenye kijito ambacho hutilirisha maji yake kupitia maeneo ya Ikulu ya Farao ambapo watoto wake huogelea humo!
Wakati watoto wa Farao wakiogelea, binti Farao akakiona kile kisafina kikiwa kinaelea kufuata mkondo wa maji, akakifuata na kumbe mlikuwemo mtoto, naye bila hiyana, akakipeleka Ikulu na mtoto yule kulelewa hapo Ikulu, na wao kumpa jina la Musa!
Masikini Farao haukujua kwamba mtoto waliyemlea ndiyo huyo atakayeleta mapinduzi na kuwaokoa wayahudi wote waliokuwa wakitumikishwa na Farao!
Nataka kusema nini! Kupambana na sukuma gang na usijue hasa nani ni sukuma gang ni kujichosha saana
Twende kwenye mada
ππ
Kwenye mitandao ya kijamii, kumekuwepo na mjadara wa jina (SUKUMAGANG) ambao umedumu sasa takrabani miaka miwili naa, tangu tu alipoondoka aliyekuwa rais wa Tanzania hayati John Magufuli
Kwa kujua ama kutojua, watunzi wa jina hili huwenda hawakujua athari itakayojitokeza mbele, na sasa hata wao ukiwauliza hawajui walilenga nani ndiye awe mwenye jina hilo Sukumagang!
Ukiuliza, Sukumagang ni wasukuma? Wanajibu hapana, bali wanakutajia majina ya mahasimu wao kisiasa!
Mwanzoni kabisa, matumizi ya jina hili lilimaanisha (Wasukuma) hawakujua athari ya jina hilo! Kwa sababu walikuja kugundua, hata kwenye vyama vyao, kuna wasukuma tena wengine ni viongozi wakubwa huko,
JPM alikuwa Msukuma ingawa wengine hawataki kumhusisha na usukuma lakini ni kwa sababu ya masilahi ya kisiasa, kwa sababu wanajua, wakimhusisha na wasukuma, moja kwa moja jina hilo walilolitunga kwa ajili yake, litawajumuisha wasukuma wote wa kanda ya ziwa kwa maana ya mikoa mitano na waliosambaa nchi nzima
wanachokihofu wanasiasa hawa, ni suala Zima la wao kutafuta uungwaji mkono kutoka kwa kabila hilo kubwa nchini,
Tukirudi upande wa pili, kunawanaosema, hao sukuma gang wanapaswa kudhibitiwa ili wasithubutu tena kushika madaraka ya juu ya nchi hii,
Hoja hii ndiyo yenye maswali mengi yasiyo na majibu hata kwa hao wanaojaribu kusema hivyo,
Ikiwa jina Sukuma gang linaihusu jamii ya wasukuma, Mtu anaposema, Sukumagang hawapaswi tena kushika madaraka ya juu katika nchi, anakuwa anamaanisha nini, ni kudhibitiwa kwa wasukuma wote, kwamba hawatakiwi kuongoza nchi hii kwa sababu aliyekuwa Raisi wa nchi na ambaye amekuwa hasimu wa vikundi haramu nchini tangu tu alipowatangazia vita vya serikali aliyokuwa akiiongoza yeye na vikundi hivyo haramu vya mafisadi alikuwa ni Msukuma?
JE, Sukuma gang hawapaswi kuongoza nchi hii tena, inamaana gani? Kwa mjibu wa madai mapya ya kundi bunifu la kutoa majina kama ambavyo walibuni jina hilo la sukuma gang kuwa, jina hilo halihusiani kabisa na wasukuma, ingawa hata inapotokea ametumbuliwa msukuma, vikundi hivi vya wabunifu wa jina hili vimekuwa vikifanya sherehe kwenye mitandao ya kijamii.
Unajiuliza, ikiwa jina Sukuma gang halihusiani na wasukuma, kwa nini sasa msukuma mmoja akiondolewa madarakani kunakuwepo na shangwe miongoni mwa wabunifu wa jina hili?
Failsafa ya jina hili ni kama imegawanyika, imegawanyika kwa sababu tu ya kimasilahi hasa za kisiasa, ingawa vitendo havijagawanyika! Vitendo vinadili sana na wasukuma na ndiyo maana utaona, kila alitimliwa msukuma kwenye nafasi fulani, inakuwa sherehe kwao
Kuwadhibiti wasukuma ili lengo la falisafa yao itimie ni rahisi kwa sababu wasukuma wanajulikana kwa majina yao, wakijificha kwa majina yao, lafudhi yao itawatambulisha.
Kutumia nguvu kudhibiti Sukuma gang wasishike madaraka, ni kujaribu kukimbiza upepo.
Sukuma gang ukiondoa ubaguzi uliojificha kwenye jina hilo, kundi hili halidhibitiki hata kwa mtutu wa bunduki
Sukuma gang, Wapo kila wizara na kila sector zote za Serikali kwenye ngazi za juu za kati, na huku chini ndio usiseme! Wapo kwenye vyama mbalimbali nchini
Ni ujinga mtu kupigana na kitu kilicho moyoni mwa mtu.
Na mpaka sasa haijulikani ikiwa hata walioshushwa vyeo ndio walikuwa sukumagang na ambao wamewekwa kwenye nafasi hizo kama nao ni wale wale sukuma gang.
Sukumagang ni watu wote walioathiliwa na uongozi wa kuthubutu kufanya, uongozi mashuhuli wa JPM, sasa ni kina nani, Sio wasukuma, wachaga, warangi, wagogo, wamatumbi, wajita, wazaramo na kila kabila.
Kote huko sukumagang wapo wamejaa.
Unaweza kupigana na wasukuma ukawashinda ila sio Sukumagang!