Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,084
Maelezo meeengiAlifanya yote kwa kujitoaa.
Maneno ya wanasiasa wenzake wa upinzani yalikuwa yanawapotosha wananchi kuwa yeye ni mbaya.
Ndio Maana alitaka watu wasimpuuze ili baadae wasije jutia kwa yeye kutokuwepo...!
"Nimesacrife maisha yangu kwa ajili yenu"
Alijua yeye ni mgonjwa ndioa maana alijitoa sana. Ila wabaya hawana jema.
Angeamua tu kigaia mali ndugu zake. Na kujineemesha maana hana muda. Alikataa hata kuongezewa muda.
Bahati watu walimuona muigizaji.
Like moja tu Tena kwa ID yako nyingine.