Ni Rais gani mwingine aliyekuwa kwenye hotuba zake anawaambia wahutubiwa watamkumbuka?

Ni Rais gani mwingine aliyekuwa kwenye hotuba zake anawaambia wahutubiwa watamkumbuka?

Alifanya yote kwa kujitoaa.

Maneno ya wanasiasa wenzake wa upinzani yalikuwa yanawapotosha wananchi kuwa yeye ni mbaya.

Ndio Maana alitaka watu wasimpuuze ili baadae wasije jutia kwa yeye kutokuwepo...!

"Nimesacrife maisha yangu kwa ajili yenu"

Alijua yeye ni mgonjwa ndioa maana alijitoa sana. Ila wabaya hawana jema.

Angeamua tu kigaia mali ndugu zake. Na kujineemesha maana hana muda. Alikataa hata kuongezewa muda.
Bahati watu walimuona muigizaji.
Maelezo meeengi
Like moja tu Tena kwa ID yako nyingine.
 
Alifanya yote kwa kujitoaa.

Maneno ya wanasiasa wenzake wa upinzani yalikuwa yanawapotosha wananchi kuwa yeye ni mbaya.

Ndio Maana alitaka watu wasimpuuze ili baadae wasije jutia kwa yeye kutokuwepo...!

"Nimesacrife maisha yangu kwa ajili yenu"

Alijua yeye ni mgonjwa ndioa maana alijitoa sana. Ila wabaya hawana jema.

Angeamua tu kigaia mali ndugu zake. Na kujineemesha maana hana muda. Alikataa hata kuongezewa muda.
Bahati watu walimuona muigizaji.
Waislamu wanaamini kua MWENYEZIMUNGU hulipa NIA

sasa kama nia ya dhati ilikua kutoongeza muda wa kuongoza basi atalipwa kwa nia njema hiyo na kama ni kinyume cha hapo badi huwa tunalipwa kutokana ni NIA zetu
 
Waislamu wanaamini kua MWENYEZIMUNGU hulipa NIA

sasa kama nia ya dhati ilikua kutoongeza muda wa kuongoza basi atalipwa kwa nia njema hiyo na kama ni kinyume cha hapo badi huwa tunalipwa kutokana ni NIA zetu
Sawa tutalipwa
 
Kama kweli Mh alikuwa na pacemaker, mbna hakuwa kwenda Nje japo kuchekiwa?
 
Hotuba nyingi za JPM alikuwa anapenda sana kutuambia sisi wanyonge kuwa tutamkumbuka! Hakuwa akisema tutakumbuka aliyofanya yeye mazuri.

Ni sawa na kawaida kwa mfano Mwl anapowafundisha wanafunzi kusema mtakumbuka niliyowafundisha lakini hasemi kuwa mtamkumbuka yeye kama yeye.

Nimefuatilia hotuba za watangulizi wa JPM hata huwezi kukuta neno wamejisema wao kama wao kuwa "TUTAWAKUMBUKA". Je Mama yetu Samia Suluhu naye atakuwa anatukumbusha kwa kutuambia kwa maneno yake kuja kumkumbuka huko mbeleni?

Na je hatuwakumbuki watangulizi wa JPM pamoja na kutosema kwao kuwa tutawakumbuka wao kama wao? Just observation!
JPM alijaa akajazwa sifa, kiburi. Hii ilitokana na kwamba alidanganywa akajidanganya kuwa hakuna Rais aliyefanya mambo ya maana km yeye. Waliomtangulia wote hawakufanya kitu.

Aliamini aliaminishwa pia kwamba katika WATZ milioni 60 hakuna anayeweza kuongoz hii nchi ila yeye tu.

Kumbuka kauli yake kwamba Hivi nikiondoka leo rais ajae ataweza kuendeleza hii miradi!!

Alijiona yeye ni yule Masihi ambaye Watanzania walikuwa wanamsubiri. Na ndiyo maana ulisikia kutaka kumlazimisha asalie madarakani hata km hataki. Nani km yeye.

Ila Mungu akaonyesha ukuu wake maana njia za mungu hazichunguziki.
 
Hotuba nyingi za JPM alikuwa anapenda sana kutuambia sisi wanyonge kuwa tutamkumbuka! Hakuwa akisema tutakumbuka aliyofanya yeye mazuri.

Ni sawa na kawaida kwa mfano Mwl anapowafundisha wanafunzi kusema mtakumbuka niliyowafundisha lakini hasemi kuwa mtamkumbuka yeye kama yeye.

Nimefuatilia hotuba za watangulizi wa JPM hata huwezi kukuta neno wamejisema wao kama wao kuwa "TUTAWAKUMBUKA". Je Mama yetu Samia Suluhu naye atakuwa anatukumbusha kwa kutuambia kwa maneno yake kuja kumkumbuka huko mbeleni?

Na je hatuwakumbuki watangulizi wa JPM pamoja na kutosema kwao kuwa tutawakumbuka wao kama wao? Just observation!
Kumbuka hotuba yake ya kwanza wakati Ana lifunguwa Bunge.
Alisema kwamba kazi anayo kwenda kuifanya sio Rahisi kwake Ila Ana Omba Wananchi wamu Ombee Mungu sababu jukumu ni kubwa.

Alijua anacho kwenda kukifanya kwa Nchi Yetu ni jambo litalo weka Maisha yake hatarini.

Wana Siasa Wana jua kabisa kwamba yapo Maamuzi ambayo waki ya fanya Basi Maisha Yao Yana kuwa Hatarini kwa sababu Maamuzi yaku ijenga Nchi kwa Afrika Nikama Kujitowe sadaka na ndio Maana Mnaona wapo Wana Siasa walio Sema Magufuli aki Endelea ivi Basi atakufa kabla yaku Maliza Muhula wake sababu Wana jua Kabisa Maamuzi yaku ijenga Nchi kwa Kiongozi wa Afrika Kifo ndio Malipo yake.
Kuna siri kubwa Ndani ya Siasa za Afrika

Ndio Maana tunabaki masikini jamaa Wana okopa Kufa huo ndio ukweli.
Hawa watu Wanao itwa wahisani sio watu wa zuri hata kidogo.
Haya ni magenga ya Ualifu yame jivika ngozi ya kondoo kumbe Ndani ni mbwa mwitu na Hawa Wana Siasa Wana jua ivo sababu Hawa jamaa hutishiwa Maisha Yao uso kwa uso.
 
Kumbuka hotuba yake ya kwanza wakati Ana lifunguwa Bunge.
Alisema kwamba kazi anayo kwenda kuifanya sio Rahisi kwake Ila Ana Omba Wananchi wamu Ombee Mungu sababu jukumu ni kubwa.

Alijua anacho kwenda kukifanya kwa Nchi Yetu ni jambo litalo weka Maisha yake hatarini.

Wana Siasa Wana jua kabisa kwamba yapo Maamuzi ambayo waki ya fanya Basi Maisha Yao Yana kuwa Hatarini kwa sababu Maamuzi yaku ijenga Nchi kwa Afrika Nikama Kujitowe sadaka na ndio Maana Mnaona wapo Wana Siasa walio Sema Magufuli aki Endelea ivi Basi atakufa kabla yaku Maliza Muhula wake sababu Wana jua Kabisa Maamuzi yaku ijenga Nchi kwa Kiongozi wa Afrika Kifo ndio Malipo yake.
Kuna siri kubwa Ndani ya Siasa za Afrika

Ndio Maana tunabaki masikini jamaa Wana okopa Kufa huo ndio ukweli.
Hawa watu Wanao itwa wahisani sio watu wa zuri hata kidogo.
Haya ni magenga ya Ualifu yame jivika ngozi ya kondoo kumbe Ndani ni mbwa mwitu na Hawa Wana Siasa Wana jua ivo sababu Hawa jamaa hutishiwa Maisha Yao uso kwa uso.
So inawezekana wamemfanyizia?
 
Alifanya yote kwa kujitoaa.

Maneno ya wanasiasa wenzake wa upinzani yalikuwa yanawapotosha wananchi kuwa yeye ni mbaya.

Ndio Maana alitaka watu wasimpuuze ili baadae wasije jutia kwa yeye kutokuwepo...!

"Nimesacrife maisha yangu kwa ajili yenu"

Alijua yeye ni mgonjwa ndioa maana alijitoa sana. Ila wabaya hawana jema.

Angeamua tu kigaia mali ndugu zake. Na kujineemesha maana hana muda. Alikataa hata kuongezewa muda.
Bahati watu walimuona muigizaji.
Hakuwa msafi kama mnavyo aminishwa bali alikuwa mlaghai wa kisiasa kupitia ujinga wa watanzania, hilo la kujiongezea muda wewe hujui kitu achana nalo lakini kwa vile ndugai yupo labda kuna siku akitaka kutubu ataliweka wazi maana analijua vyema sana sababu na yeye ni sehemu ya mkakati
 
Hakuwa msafi kama mnavyo aminishwa bali alikuwa mlaghai wa kisiasa kupitia ujinga wa watanzania, hilo la kujiongezea muda wewe hujui kitu achana nalo.
Msiba wa wanyonge! Sijui wamebadilishiwa maisha yao kuwa bora kwa asilimia ngapi?
 
Alifanya yote kwa kujitoaa.

Maneno ya wanasiasa wenzake wa upinzani yalikuwa yanawapotosha wananchi kuwa yeye ni mbaya.

Ndio Maana alitaka watu wasimpuuze ili baadae wasije jutia kwa yeye kutokuwepo...!

"Nimesacrife maisha yangu kwa ajili yenu"

Alijua yeye ni mgonjwa ndioa maana alijitoa sana. Ila wabaya hawana jema.

Angeamua tu kigaia mali ndugu zake. Na kujineemesha maana hana muda. Alikataa hata kuongezewa muda.
Bahati watu walimuona muigizaji.
Acha kupotosha, siyo walimuona, ndivyo alivyokuwa. Najua wew mnyonge aka Taga utapinga
 
Kumbuka hotuba yake ya kwanza wakati Ana lifunguwa Bunge.
Alisema kwamba kazi anayo kwenda kuifanya sio Rahisi kwake Ila Ana Omba Wananchi wamu Ombee Mungu sababu jukumu ni kubwa.

Alijua anacho kwenda kukifanya kwa Nchi Yetu ni jambo litalo weka Maisha yake hatarini.

Wana Siasa Wana jua kabisa kwamba yapo Maamuzi ambayo waki ya fanya Basi Maisha Yao Yana kuwa Hatarini kwa sababu Maamuzi yaku ijenga Nchi kwa Afrika Nikama Kujitowe sadaka na ndio Maana Mnaona wapo Wana Siasa walio Sema Magufuli aki Endelea ivi Basi atakufa kabla yaku Maliza Muhula wake sababu Wana jua Kabisa Maamuzi yaku ijenga Nchi kwa Kiongozi wa Afrika Kifo ndio Malipo yake.
Kuna siri kubwa Ndani ya Siasa za Afrika

Ndio Maana tunabaki masikini jamaa Wana okopa Kufa huo ndio ukweli.
Hawa watu Wanao itwa wahisani sio watu wa zuri hata kidogo.
Haya ni magenga ya Ualifu yame jivika ngozi ya kondoo kumbe Ndani ni mbwa mwitu na Hawa Wana Siasa Wana jua ivo sababu Hawa jamaa hutishiwa Maisha Yao uso kwa uso.
Unataka kusemaje.malizia andiko lako.
 
..pia hakuna aliyekuwa akitoa kauli za MATUSI kama huyu.
 
Back
Top Bottom