Maelezo meeengiAlifanya yote kwa kujitoaa.
Maneno ya wanasiasa wenzake wa upinzani yalikuwa yanawapotosha wananchi kuwa yeye ni mbaya.
Ndio Maana alitaka watu wasimpuuze ili baadae wasije jutia kwa yeye kutokuwepo...!
"Nimesacrife maisha yangu kwa ajili yenu"
Alijua yeye ni mgonjwa ndioa maana alijitoa sana. Ila wabaya hawana jema.
Angeamua tu kigaia mali ndugu zake. Na kujineemesha maana hana muda. Alikataa hata kuongezewa muda.
Bahati watu walimuona muigizaji.
Waislamu wanaamini kua MWENYEZIMUNGU hulipa NIAAlifanya yote kwa kujitoaa.
Maneno ya wanasiasa wenzake wa upinzani yalikuwa yanawapotosha wananchi kuwa yeye ni mbaya.
Ndio Maana alitaka watu wasimpuuze ili baadae wasije jutia kwa yeye kutokuwepo...!
"Nimesacrife maisha yangu kwa ajili yenu"
Alijua yeye ni mgonjwa ndioa maana alijitoa sana. Ila wabaya hawana jema.
Angeamua tu kigaia mali ndugu zake. Na kujineemesha maana hana muda. Alikataa hata kuongezewa muda.
Bahati watu walimuona muigizaji.
Nyie ndiyo kirusi katika nchi hii..!!Watumishi wa umma tunamkumbuka.
Aende haraka huko aendako
Alikuwa mpenda sifa sna
Sawa tutalipwaWaislamu wanaamini kua MWENYEZIMUNGU hulipa NIA
sasa kama nia ya dhati ilikua kutoongeza muda wa kuongoza basi atalipwa kwa nia njema hiyo na kama ni kinyume cha hapo badi huwa tunalipwa kutokana ni NIA zetu
Sasa maelezo mengi ni kwa ajili ya like.Maelezo meeengi
Like moja tu Tena kwa ID yako nyingine.
Kwani alijenga Hospital za kazi gani..?Kama kweli Mh alikuwa na pacemaker, mbna hakuwa kwenda Nje japo kuchekiwa?
JPM alijaa akajazwa sifa, kiburi. Hii ilitokana na kwamba alidanganywa akajidanganya kuwa hakuna Rais aliyefanya mambo ya maana km yeye. Waliomtangulia wote hawakufanya kitu.Hotuba nyingi za JPM alikuwa anapenda sana kutuambia sisi wanyonge kuwa tutamkumbuka! Hakuwa akisema tutakumbuka aliyofanya yeye mazuri.
Ni sawa na kawaida kwa mfano Mwl anapowafundisha wanafunzi kusema mtakumbuka niliyowafundisha lakini hasemi kuwa mtamkumbuka yeye kama yeye.
Nimefuatilia hotuba za watangulizi wa JPM hata huwezi kukuta neno wamejisema wao kama wao kuwa "TUTAWAKUMBUKA". Je Mama yetu Samia Suluhu naye atakuwa anatukumbusha kwa kutuambia kwa maneno yake kuja kumkumbuka huko mbeleni?
Na je hatuwakumbuki watangulizi wa JPM pamoja na kutosema kwao kuwa tutawakumbuka wao kama wao? Just observation!
Kumbuka hotuba yake ya kwanza wakati Ana lifunguwa Bunge.Hotuba nyingi za JPM alikuwa anapenda sana kutuambia sisi wanyonge kuwa tutamkumbuka! Hakuwa akisema tutakumbuka aliyofanya yeye mazuri.
Ni sawa na kawaida kwa mfano Mwl anapowafundisha wanafunzi kusema mtakumbuka niliyowafundisha lakini hasemi kuwa mtamkumbuka yeye kama yeye.
Nimefuatilia hotuba za watangulizi wa JPM hata huwezi kukuta neno wamejisema wao kama wao kuwa "TUTAWAKUMBUKA". Je Mama yetu Samia Suluhu naye atakuwa anatukumbusha kwa kutuambia kwa maneno yake kuja kumkumbuka huko mbeleni?
Na je hatuwakumbuki watangulizi wa JPM pamoja na kutosema kwao kuwa tutawakumbuka wao kama wao? Just observation!
So inawezekana wamemfanyizia?Kumbuka hotuba yake ya kwanza wakati Ana lifunguwa Bunge.
Alisema kwamba kazi anayo kwenda kuifanya sio Rahisi kwake Ila Ana Omba Wananchi wamu Ombee Mungu sababu jukumu ni kubwa.
Alijua anacho kwenda kukifanya kwa Nchi Yetu ni jambo litalo weka Maisha yake hatarini.
Wana Siasa Wana jua kabisa kwamba yapo Maamuzi ambayo waki ya fanya Basi Maisha Yao Yana kuwa Hatarini kwa sababu Maamuzi yaku ijenga Nchi kwa Afrika Nikama Kujitowe sadaka na ndio Maana Mnaona wapo Wana Siasa walio Sema Magufuli aki Endelea ivi Basi atakufa kabla yaku Maliza Muhula wake sababu Wana jua Kabisa Maamuzi yaku ijenga Nchi kwa Kiongozi wa Afrika Kifo ndio Malipo yake.
Kuna siri kubwa Ndani ya Siasa za Afrika
Ndio Maana tunabaki masikini jamaa Wana okopa Kufa huo ndio ukweli.
Hawa watu Wanao itwa wahisani sio watu wa zuri hata kidogo.
Haya ni magenga ya Ualifu yame jivika ngozi ya kondoo kumbe Ndani ni mbwa mwitu na Hawa Wana Siasa Wana jua ivo sababu Hawa jamaa hutishiwa Maisha Yao uso kwa uso.
Hakuwa msafi kama mnavyo aminishwa bali alikuwa mlaghai wa kisiasa kupitia ujinga wa watanzania, hilo la kujiongezea muda wewe hujui kitu achana nalo lakini kwa vile ndugai yupo labda kuna siku akitaka kutubu ataliweka wazi maana analijua vyema sana sababu na yeye ni sehemu ya mkakatiAlifanya yote kwa kujitoaa.
Maneno ya wanasiasa wenzake wa upinzani yalikuwa yanawapotosha wananchi kuwa yeye ni mbaya.
Ndio Maana alitaka watu wasimpuuze ili baadae wasije jutia kwa yeye kutokuwepo...!
"Nimesacrife maisha yangu kwa ajili yenu"
Alijua yeye ni mgonjwa ndioa maana alijitoa sana. Ila wabaya hawana jema.
Angeamua tu kigaia mali ndugu zake. Na kujineemesha maana hana muda. Alikataa hata kuongezewa muda.
Bahati watu walimuona muigizaji.
Msiba wa wanyonge! Sijui wamebadilishiwa maisha yao kuwa bora kwa asilimia ngapi?Hakuwa msafi kama mnavyo aminishwa bali alikuwa mlaghai wa kisiasa kupitia ujinga wa watanzania, hilo la kujiongezea muda wewe hujui kitu achana nalo.
Na ajue tu kuwa hiyo kauli ya mtanikumbuka ni kauli ya kujihami dhidi ya hofu ya kuchukiwa.Maelezo meeengi
Like moja tu Tena kwa ID yako nyingine.
Acha kupotosha, siyo walimuona, ndivyo alivyokuwa. Najua wew mnyonge aka Taga utapingaAlifanya yote kwa kujitoaa.
Maneno ya wanasiasa wenzake wa upinzani yalikuwa yanawapotosha wananchi kuwa yeye ni mbaya.
Ndio Maana alitaka watu wasimpuuze ili baadae wasije jutia kwa yeye kutokuwepo...!
"Nimesacrife maisha yangu kwa ajili yenu"
Alijua yeye ni mgonjwa ndioa maana alijitoa sana. Ila wabaya hawana jema.
Angeamua tu kigaia mali ndugu zake. Na kujineemesha maana hana muda. Alikataa hata kuongezewa muda.
Bahati watu walimuona muigizaji.
There you are!Na ajue tu kuwa hiyo kauli ya mtanikumbuka ni kauli ya kujihami dhidi ya hofu ya kuchukiwa.
Unataka kusemaje.malizia andiko lako.Kumbuka hotuba yake ya kwanza wakati Ana lifunguwa Bunge.
Alisema kwamba kazi anayo kwenda kuifanya sio Rahisi kwake Ila Ana Omba Wananchi wamu Ombee Mungu sababu jukumu ni kubwa.
Alijua anacho kwenda kukifanya kwa Nchi Yetu ni jambo litalo weka Maisha yake hatarini.
Wana Siasa Wana jua kabisa kwamba yapo Maamuzi ambayo waki ya fanya Basi Maisha Yao Yana kuwa Hatarini kwa sababu Maamuzi yaku ijenga Nchi kwa Afrika Nikama Kujitowe sadaka na ndio Maana Mnaona wapo Wana Siasa walio Sema Magufuli aki Endelea ivi Basi atakufa kabla yaku Maliza Muhula wake sababu Wana jua Kabisa Maamuzi yaku ijenga Nchi kwa Kiongozi wa Afrika Kifo ndio Malipo yake.
Kuna siri kubwa Ndani ya Siasa za Afrika
Ndio Maana tunabaki masikini jamaa Wana okopa Kufa huo ndio ukweli.
Hawa watu Wanao itwa wahisani sio watu wa zuri hata kidogo.
Haya ni magenga ya Ualifu yame jivika ngozi ya kondoo kumbe Ndani ni mbwa mwitu na Hawa Wana Siasa Wana jua ivo sababu Hawa jamaa hutishiwa Maisha Yao uso kwa uso.