wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Ni kawaida kwa mang'aaMbona kama we ndo limeyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kawaida kwa mang'aaMbona kama we ndo limeyumba
Umekula usiku huu?Kabla ya kuhariri reply yako naomba ingia hata google ikusaidie kumfaham huyu wa Zambia isije kuwa tunaropoka tu kisa JF inatoa uhuru wa kuandika chochote!.
Muzee ya kaziPutin kwenye sherehe ya maadhimisho siku ya mashujaa View attachment 2561849
Ni ubinaadamu na utu inafaa kumsifia.Kufanya hivi sio sifa wala sio uongozi bora japo namkubali sana huyo Mwamba.
😂😂😂😂😂😂Hapo kabla alikagua gwalide ndipo mvua ikaanza kunya, no mwamvuli na shadow!.
Unapenda kuandika neno kunya kwenye sms zako naona prediction imekuletea
Tatizo lipo katika kitengo cha protokali na utabiri wa hali ya hewa! Walitakiwa kujulisha Walinzi na ADC kutayarisha mwavuli!Nimefuatilia kwa muda toka week ilipoanza wakati Rais wa Zambia Mh. Hakainde Hichilema alipokuwa akiwavika nishani makamanda wa jeshi la nchi yake...
Hapo kabla alikagua gwalide ndipo mvua ikaanza kunya, no mwamvuli na shadow!.
Unapenda kuandika neno kunya kwenye sms zako naona prediction imekuletea
Afrika tunaridhika na vitu vidogo sana.Zile zile cheap politics. Wananchi wanataka huduma za kijamii kila pembe ya nchi wewe unaongelea kunyeshewa kama vile nalo ni janga kubwa duniani.
Ingekuwa huku mngesema anapenda sifa, anapenda camera! Kuna kipindi mlipata Rais akala muhindi happ dodoma katikati mkamtwika majina yote kuonesha kama ni mlaghai ila alipotoka Balozi wa US nchini Tanzania kwenda Mbeya akala muhindi mkasema hana baya mkasifu kweli! Watanzania alieturoga kasha kufa na hatutoponaWazambia wana bahati isiyomithilika.
Tunataka uhalisia sio maigizo,muuza mahindi na bastora wapi na wapi?Ingekuwa huku mngesema anapenda sifa, anapenda camera! Kuna kipindi mlipata Rais akala muhindi happ dodoma katikati mkamtwika majina yote kuonesha kama ni mlaghai ila alipotoka Balozi wa US nchini Tanzania kwenda Mbeya akala muhindi mkasema hana baya mkasifu kweli! Watanzania alieturoga kasha kufa na hatutopona
Soma kichwa cha uzi huu!
Ujinga wala hawajarogwa. Ukiwatoka huo ujinga, watajitambua.Ingekuwa huku mngesema anapenda sifa, anapenda camera! Kuna kipindi mlipata Rais akala muhindi happ dodoma katikati mkamtwika majina yote kuonesha kama ni mlaghai ila alipotoka Balozi wa US nchini Tanzania kwenda Mbeya akala muhindi mkasema hana baya mkasifu kweli! Watanzania alieturoga kasha kufa na hatutopona