Ni rasmi CHADEMA wameitambua Serikali ya awamu ya 5/6 na uchaguzi ulikuwa huru na haki

Ni rasmi CHADEMA wameitambua Serikali ya awamu ya 5/6 na uchaguzi ulikuwa huru na haki

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa Serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.

Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,

Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act Wazalendo bega kwa bega na Serikali.

SIASA SIO UADUI!
MBOWE-RAIS-SAMIA-1-768x471.jpg
ikulu_mawasiliano_274025841_3129608400694103_3746889562399885144_n-1-768x588.jpg
 
Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.

SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605
Weka barua ambayo CHADEMA wanakiri uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Ofisi zinaongea kwa maandishi rasmi
 
Kwanini hampendi Samia na Mbowe wazungumze pamoja? Mtapata tabu sana mambo ndio kwanza yanaanza.
 
Kwanini hampendi Samia na Mbowe wazungumze pamoja? Mtapata tabu sana mambo ndio kwanza yanaanza.
Kwenu wafia chama Mbowe anakwenda kuwa balozi ughaibuni ndio mtajua hamjui!
 
Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.

SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605
Halali ni halali na haramu ni haramu, na kamwe halali haigeuki kuwa haramu Kwa maneno na hivyo hivyo, haramu haiwezi kugeuzwa kuwa halali kwa maneno.
 
Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.

SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604.View attachment 2139605
Unaweweseka ili muradi
Uandike chochote mpumbavu wewe
 
Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.

SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605
Ila hiki kitendo kimewaumiza Chawa!!! Hivi kumbe ni kweli kuna watu mnaumia Sana Watanzania wakiwa wamoja? Kuna watu mnafaidika Kwa ugomvi wa kisiasa kiasi kwamba kukiwa na utangamano maslahi yenu yanatikiswa? Mmezoea kuishi Kwa uongo mkiwaakijisha viongozi wa serikali Mambo yasiuokuwepo? Ni nyie mliokuwa mnawadanganya watanzania kwamba upinzani ukiingia madarakani utaleta Vita? Hayo yamepuuzwa mmekuja na mbinu nyingine za kijinga kama hizi? Nani kakwambia Wanachama wa CHADEMA ni wa kuyumbishwa na propaganda nyepesi kama hizi?
 
Hii u turn mliyopiga,walahi hamna mfupa wa aibu!Samia amewaacha njia panda,Inawezekanaje gaidi kukaribishwa Ikulu?
Tuliwaambia Toka mwanzo kuwa hii kesi ni ya kubumba!Ajabu ushahidi aliosema Sirro anao haujaonekana na Kwa aibu upande wa mashtaka wakaishia njiani kuleta mashahidi wao!
Imefika zamu ya Mbowe na wenzake kujitetea,mkaanza kwanza Kwa kutaka anuani na majina ya mashahidi wa utetezi,Kibatala akawagomea akasema Kwa usalama wa wateja wao hawataweza kuwataja na wengine ni watumishi!
Hapo ndipo kengele ya hatari ikawagonga vichwani mwao,wakaona waingie mitini siku ambayo Mbowe angeanza kujitetea!
Mbowe ana wajibu wa kujitetea Kwa Umma,Hilo linakuja!
 
Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.

SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605
Ama kweli wewe una Kipara kipya lakini akili ni ile ile ya kidwanzi! Nani alikwambia CDM haitambui serikali? Na sasa tunaanza moja kuwapiga masalia ya mwendachato, mtaani, mitandaoni mpaka kwenye sanduku la kura! Nyambafu Sao! [emoji2]
 
kilichobaki, ni kusonga mbele, usiangalie nyuma. yawezekana tukakwazana hapa duniani na kusingiziana lakini ukweli huwa upo kwa mhusika mwenyewe hata kama wafuasi tunamtetea. tushirikiane kujenga nchi, tuache maigizo na kusaliti nchi.
 
Back
Top Bottom