Ni rasmi CHADEMA wameitambua Serikali ya awamu ya 5/6 na uchaguzi ulikuwa huru na haki

Ni rasmi CHADEMA wameitambua Serikali ya awamu ya 5/6 na uchaguzi ulikuwa huru na haki

Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.

SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605
Mtakufa kwa Presha na CHADEMA nani kamwita mwenzake?
 
Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.

SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605
Wewe sio Bure, lazima utakuwa na Bwana CDM anayekupiga Pumbu
 
Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.

SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605
Chawa na MÀTAGA ya CCM roho ximewauna sana, Mama kuyaacha kwenye mataa.
 
CHADEMA walioikataa ni serekali ya Magufuli, CCM ya Magufuli na Tanzania ya Magufuli hiyo ndiyo iliokataliwa na mpaka sasa bado inakataliwa hata Mkapa mwenyewe pamoja na wanaccm asiri nao waliikataa.

CHADEMA wanaikubali na watashirikiana na serekali iliopo madarakani kwa mjibu wa katiba siyo serekali ya kuongozwa na mtu aliyekuwa anaongoza nchi kwa kutumia remote ya wachawi wa gamboshi.
 
Uchaguzi wa mchongo,Rais wa mchongo🐒🐒🐒
 
Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.

SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605
🤣🤣
 
Mbowe kasema hayo ama umejiongeza tu?
Taahira limejiongeza tu!
Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.

SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605
Taahira limejitahidi kudadavua mada!
 
Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.

Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.

SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605
Mbona mataga mnahangaika shida nini?
 
Unajua sifa za Chama kuwa Chama kikuu Cha upinzani?
Kama hao ACT ndio Chama kikuu,mbona hawajaunda Kambi rasmi ya upinzani bungeni?[emoji2][emoji2]
Jua wewe ili ufundishe wengine kuwa chama kina mbunge mmoja wa kuteuliwa na 19 viti maalumu ndio chama kikuu cha upinzani!
 
Kwanini hampendi Samia na Mbowe wazungumze pamoja? Mtapata tabu sana mambo ndio kwanza yanaanza.
Wachana nao wote wanao lalamika Mbowe kukutana na Rais ni pangu pakavu tia mchuzi wanafiki wakubwa mbona hawakulalama Lisu alipo kutana niwazandiki wapenda vita na migogoro laanakum hao
 
Hii u turn mliyopiga,walahi hamna mfupa wa aibu!Samia amewaacha njia panda,Inawezekanaje gaidi kukaribishwa Ikulu?
Tuliwaambia Toka mwanzo kuwa hii kesi ni ya kubumba!Ajabu ushahidi aliosema Sirro anao haujaonekana na Kwa aibu upande wa mashtaka wakaishia njiani kuleta mashahidi wao!
Imefika zamu ya Mbowe na wenzake kujitetea,mkaanza kwanza Kwa kutaka anuani na majina ya mashahidi wa utetezi,Kibatala akawagomea akasema Kwa usalama wa wateja wao hawataweza kuwataja na wengine ni watumishi!
Hapo ndipo kengele ya hatari ikawagonga vichwani mwao,wakaona waingie mitini siku ambayo Mbowe angeanza kujitetea!
Mbowe ana wajibu wa kujitetea Kwa Umma,Hilo linakuja!
DPP aliogopa washitakiw wakianza kujitete mambo ya hovyo yangenulikana
 
Hii u turn mliyopiga,walahi hamna mfupa wa aibu!Samia amewaacha njia panda,Inawezekanaje gaidi kukaribishwa Ikulu?
Tuliwaambia Toka mwanzo kuwa hii kesi ni ya kubumba!Ajabu ushahidi aliosema Sirro anao haujaonekana na Kwa aibu upande wa mashtaka wakaishia njiani kuleta mashahidi wao!
Imefika zamu ya Mbowe na wenzake kujitetea,mkaanza kwanza Kwa kutaka anuani na majina ya mashahidi wa utetezi,Kibatala akawagomea akasema Kwa usalama wa wateja wao hawataweza kuwataja na wengine ni watumishi!
Hapo ndipo kengele ya hatari ikawagonga vichwani mwao,wakaona waingie mitini siku ambayo Mbowe angeanza kujitetea!
Mbowe ana wajibu wa kujitetea Kwa Umma,Hilo linakuja!
Yah, pamoja na haya tunatarajia aje mtaani atuambie vile alipanga kujitetea
 
Yah, pamoja na haya tunatarajia aje mtaani atuambie vile alipanga kujitetea
Yes,Mbowe ndiye mtu pekee ambaye anafunguliwa kesi na mpaka kesi inafutwa hajatoa maelezo yoyote!Yaani hajasema neno zaidi ya kusema wananyimwa chakula Kwa miezi yote wanapoenda mahakamani!
 
Back
Top Bottom