Mnampeleka vipi gaidi kua balozi? Mtuweke wazi tuwaelewe maana mnatuona kama wa chekecheaKwenu wafia chama Mbowe anakwenda kuwa balozi ughaibuni ndio mtajua hamjui!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnampeleka vipi gaidi kua balozi? Mtuweke wazi tuwaelewe maana mnatuona kama wa chekecheaKwenu wafia chama Mbowe anakwenda kuwa balozi ughaibuni ndio mtajua hamjui!
Muda mwingi huwa ni kama umelewa komoni.😂😂😂😂Kama kusoma hujui basi kuangalia picha pia ni kazi!
Unasifia kiburudisho chenu nani atakulaumu!Muda mwingi huwa ni kama umelewa komoni.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hukutegemea kwenda ikulu hilo ni kama alivyofanya lowassa alipokuwa ufipa naye muda ukifika pia utajua kama hujui!Mnampeleka vipi gaidi kua balozi? Mtuweke wazi tuwaelewe maana mnatuona kama wa chekechea
Kwani kuitambua Serikali ni kufanya Nini?Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.
Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act wazalendo bega kwa bega na serikali.
SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605
Unafiki wao ulianza kitambo!Alihitaji kusema kwa sauti ila kivitendo ni dhwahiri chadema kupitia viongozi wao wakuu vice-chairman na chairman kwa vipindi tofauti wamekubali kuwa Serikali ya awamu ya tano na sita zilichaguliwa kihalali kwa kura halali na tume halali na matokeo yalikuwa halali.
Kwa muda mrefu viongozi hawa walipinga kwenda ikulu kuonana na raisi kwa kuwa uchaguzi haukuwa huru na vice-chairman alikwenda mbali kwa kuuita uchafuzi.
Angalizo wafia chama muwe na akiba ya maneno viongozi wenu ndio wenye maamuzi,
Kesho wanaweza kuamka wakawa kama Act Wazalendo bega kwa bega na Serikali.
SIASA SIO UADUI!View attachment 2139604View attachment 2139605