Ni rasmi CHADEMA wameitambua Serikali ya awamu ya 5/6 na uchaguzi ulikuwa huru na haki

mama hajachaguliwa amejikuta yupo ikulu. tunatambua amewekwa na katiba hvyo tunaitambua serikali yake. lakini mwendazake na ule uchafuzi haufutiki
 
Mlimdhihaki zitto alipoalikwa lakin wallah mwenyezi ni fundi ameonyesha wazi wanafiki walivyo kigeugeu!
 
Umeumia sana eeeehh sukumia barafu
 
Mlimdhihaki zitto alipoalikwa lakin wallah mwenyezi ni fundi ameonyesha wazi wanafiki walivyo kigeugeu!
Aliakwa yeye au vyama vya siasa?Amgeenda yeye kama yeye Wala hakuna ambaye angetia neno!
Ila suala la kusema ni mkutano wa vyama vya siasa vya upinzani na Rais wakati Chama kikuu Cha upinzani hakipo ni gelesha!
 
mnamtafya mchawi wa chama?😄😄😄
 
Ila kiukweli ninyi watu hamna mfupa wa aibu!Mmeumbuka!
 
Kwani refa akitoa penati ya mchongo, mchezo hauendelei?
 
Safi sana CDF Mabeyo haiwezekani asamehewe gaidi mbowe alafu vijana wazalendo wa JKT waliojenga ukuta wa Mererani na Ikulu ya Dodoma waachwe wakiteseka mitaani
Usichikijua kwa huli ulilolisema ni kwamba Hangaya anaendelea kuuthibitishia umma kuwa vitendo vya Magufuli viliharibu taifa hili kwa kiwango cha juu hadi kuingilia vyombo vya dola majeshi yote.

Kwani hao jkt walifukuzwa kipindi cha nani na kwa idhini ya nani? Kesi ya Mbowe ilifunguliwa lini, Si ndiye huyo jiwe. Tafakari.
 
Nadiriki kukuita muongo mkubwa!
 
Aliakwa yeye au vyama vya siasa?Amgeenda yeye kama yeye Wala hakuna ambaye angetia neno!
Ila suala la kusema ni mkutano wa vyama vya siasa vya upinzani na Rais wakati Chama kikuu Cha upinzani hakipo ni gelesha!
Chama kikuu cha upinzani ni Act kina wawakilishi wengi bungeni chenye jino moja mswaki wa nini wasubiri!
 
Kwanini hampendi Samia na Mbowe wazungumze pamoja? Mtapata tabu sana mambo ndio kwanza yanaanza.
Mtazungumza nao hadi lini na matokeo ni yapi? yani kila uchaguzi ccm wanafanya yao ili waendelee kutawala na Chadema mnapiga kelele weee ila bado mnaitwa ikulu mnaongea nao na ukija uchaguzi tena mambo ni yaleyale tu.

Sasa huo si ni ujinga.
 
Chama kikuu cha upinzani ni Act kina wawakilishi wengi bungeni chenye jino moja mswaki wa nini wasubiri!
Unajua sifa za Chama kuwa Chama kikuu Cha upinzani?
Kama hao ACT ndio Chama kikuu,mbona hawajaunda Kambi rasmi ya upinzani bungeni?😃😃
 
Hapo kwenye uchaguzi huru na HAKI [emoji16][emoji16][emoji16].
"HAPANAAAA"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…