Ni rasmi sasa kwa watu wa mkoa wa Kigoma ni rukra kuvaa chapa (logo) ya JWTZ

Ni rasmi sasa kwa watu wa mkoa wa Kigoma ni rukra kuvaa chapa (logo) ya JWTZ

Hawa
Ni marufuku kuvaa nguo ya jeshi kama wewe sio mwanajeshi, lakini kwa heshima yako wewe mwana Kigoma, kwa heshima ya mashabiki wa Mashujaa Football Club, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda kakupa uhuru sasa utavaa Logo ya JWTZ kifuani kwako.

Hii ni heshima kubwa kwako mwanakigoma, sasa ni wakati wakuvaa kilicho bora.
Logo ya 'umoja' ya ''Tanzania People's Defence Force'' itakua kifuani kwako kuanzia Tarehe 10/8/2023, siku ya Alhamis.

Hizi ndio jezi rasmi za Watanganyika kwa msimu wa mwaka 2023-2024
Utaratibu wa kupatikana kwake na Maduka yatakayouza jezi zetu yatatangazwa kabla ya siku husika.

Jezi zitapatikana Nchi nzima kwa bei rafiki, hii ndio Mashujaa Football Club

Je utapenda kuvalia nyeupe?

View attachment 2709334

...............
View attachment 2709335

Au utavalia mawese?

View attachment 2709339
,,,,,,,,,,,,,,
View attachment 2709343

Au utavalia rangi ya Ziwa Tanganyika?

View attachment 2709344
................
View attachment 2709350

Karibuni Kigoma, karibuni Magharibi mwa Tanzania, Karibuni Tanganyika
Hawa msimu ujao hawatoboi wataishia kubishana tu, itakuwa timu ya kwanza kushuka daraja.
 
Kelele zote zile za akina ZZK kumbe timu ya jeshi 🤣🤣🤣. Hao hata wakiamua kuipeleka Ruvu wanaupeleka tu.
 
Morogoro itapatikana duka gani.
Napendaga jezi zisizo na machata chata mengi.
 
Ni marufuku kuvaa nguo ya jeshi kama wewe sio mwanajeshi, lakini kwa heshima yako wewe mwana Kigoma, kwa heshima ya mashabiki wa Mashujaa Football Club, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda kakupa uhuru sasa utavaa Logo ya JWTZ kifuani kwako.

Hii ni heshima kubwa kwako mwanakigoma, sasa ni wakati wakuvaa kilicho bora.
Logo ya 'umoja' ya ''Tanzania People's Defence Force'' itakua kifuani kwako kuanzia Tarehe 10/8/2023, siku ya Alhamis.

Hizi ndio jezi rasmi za Watanganyika kwa msimu wa mwaka 2023-2024
Utaratibu wa kupatikana kwake na Maduka yatakayouza jezi zetu yatatangazwa kabla ya siku husika.

Jezi zitapatikana Nchi nzima kwa bei rafiki, hii ndio Mashujaa Football Club

Je utapenda kuvalia nyeupe?

View attachment 2709334

...............
View attachment 2709335

Au utavalia mawese?

View attachment 2709339
,,,,,,,,,,,,,,
View attachment 2709343

Au utavalia rangi ya Ziwa Tanganyika?

View attachment 2709344
................
View attachment 2709350

Karibuni Kigoma, karibuni Magharibi mwa Tanzania, Karibuni Tanganyika
Jezi zinapatikanaje kwa tulio mikoa mingine?.
Ninahitaji mbili
 
Ni marufuku kuvaa nguo ya jeshi kama wewe sio mwanajeshi, lakini kwa heshima yako wewe mwana Kigoma, kwa heshima ya mashabiki wa Mashujaa Football Club, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda kakupa uhuru sasa utavaa Logo ya JWTZ kifuani kwako.

Hii ni heshima kubwa kwako mwanakigoma, sasa ni wakati wakuvaa kilicho bora.
Logo ya 'umoja' ya ''Tanzania People's Defence Force'' itakua kifuani kwako kuanzia Tarehe 10/8/2023, siku ya Alhamis.

Hizi ndio jezi rasmi za Watanganyika kwa msimu wa mwaka 2023-2024
Utaratibu wa kupatikana kwake na Maduka yatakayouza jezi zetu yatatangazwa kabla ya siku husika.

Jezi zitapatikana Nchi nzima kwa bei rafiki, hii ndio Mashujaa Football Club

Je utapenda kuvalia nyeupe?

View attachment 2709334

...............
View attachment 2709335

Au utavalia mawese?

View attachment 2709339
,,,,,,,,,,,,,,
View attachment 2709343

Au utavalia rangi ya Ziwa Tanganyika?

View attachment 2709344
................
View attachment 2709350

Karibuni Kigoma, karibuni Magharibi mwa Tanzania, Karibuni Tanganyika
Bei zake???
 
timu itakayofungwa 8, 7, 9, 6, chache 5. Timu inategemea uchawi.
 
Ni marufuku kuvaa nguo ya jeshi kama wewe sio mwanajeshi, lakini kwa heshima yako wewe mwana Kigoma, kwa heshima ya mashabiki wa Mashujaa Football Club, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda kakupa uhuru sasa utavaa Logo ya JWTZ kifuani kwako.

Hii ni heshima kubwa kwako mwanakigoma, sasa ni wakati wakuvaa kilicho bora.
Logo ya 'umoja' ya ''Tanzania People's Defence Force'' itakua kifuani kwako kuanzia Tarehe 10/8/2023, siku ya Alhamis.

Hizi ndio jezi rasmi za Watanganyika kwa msimu wa mwaka 2023-2024
Utaratibu wa kupatikana kwake na Maduka yatakayouza jezi zetu yatatangazwa kabla ya siku husika.

Jezi zitapatikana Nchi nzima kwa bei rafiki, hii ndio Mashujaa Football Club

Je utapenda kuvalia nyeupe?

View attachment 2709334

...............
View attachment 2709335

Au utavalia mawese?

View attachment 2709339
,,,,,,,,,,,,,,
View attachment 2709343

Au utavalia rangi ya Ziwa Tanganyika?

View attachment 2709344
................
View attachment 2709350

Karibuni Kigoma, karibuni Magharibi mwa Tanzania, Karibuni Tanganyika
Ndio nini sasa? Sasa, kuvaa logo ya jw, kuna, saidia nini? Unajivunia hili jeshi, kwa lipi waliofanya? Kuna, watu richa ya kuwa tupo 2023! Wao bado wanaishi 1980!!!
 
Ni marufuku kuvaa nguo ya jeshi kama wewe sio mwanajeshi, lakini kwa heshima yako wewe mwana Kigoma, kwa heshima ya mashabiki wa Mashujaa Football Club, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda kakupa uhuru sasa utavaa Logo ya JWTZ kifuani kwako.

Hii ni heshima kubwa kwako mwanakigoma, sasa ni wakati wakuvaa kilicho bora.
Logo ya 'umoja' ya ''Tanzania People's Defence Force'' itakua kifuani kwako kuanzia Tarehe 10/8/2023, siku ya Alhamis.

Hizi ndio jezi rasmi za Watanganyika kwa msimu wa mwaka 2023-2024
Utaratibu wa kupatikana kwake na Maduka yatakayouza jezi zetu yatatangazwa kabla ya siku husika.

Jezi zitapatikana Nchi nzima kwa bei rafiki, hii ndio Mashujaa Football Club

Je utapenda kuvalia nyeupe?

View attachment 2709334

...............
View attachment 2709335

Au utavalia mawese?

View attachment 2709339
,,,,,,,,,,,,,,
View attachment 2709343

Au utavalia rangi ya Ziwa Tanganyika?

View attachment 2709344
................
View attachment 2709350

Karibuni Kigoma, karibuni Magharibi mwa Tanzania, Karibuni Tanganyika
Muombe Moderator akurekebishie title ya thread
 
Kuna wazee wa Mrumbani Ujiji wacheza Ludo maarufu mashefu , raha yao wazitungue Yanga na Simba tu! Hizo mechi watalala Lake Tanganyika Kisha makaburini Kaza Roho! Wataroga kuliko uchawi wenyewe!

Hii timu ya Mashujaa kuifunga kwao lazima uwe na mganga toka Sumbawanga au Nigeria!

Ila wakiweka nyasi bandia na taa uwanja utakuwa kama ulaya! Wakimbizi wataongezeka!

Last time 1994 niliona kama vile ule uwanja ulianza kutumika bila kukamilika kwenye majukwaa ila sijui hali ikoje kwasasa! Waliufisadi!

Wana Kigoma wana raha sana ila wajipange uganga wa maana, pia wapewe ndege ya jeshi Ili wasafiri bila kuchoka wasifungwe ugenini Kwa uchovu , ligi ngumu sana hii NBC premier , wasijekuwa timu ya msimu mmoja!!

Pia ikiwezekana waazime wachezaji mamluki toka Congo, Burundi na Rwanda ni ndugu zao.
 
Timu gani hilo kazi ukorofi tu na ubabe ubabe,mjiangaliee sana mtakuja kula 10 bila hapo hapo kwenu.
 
Back
Top Bottom