Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa msimu ujao hawatoboi wataishia kubishana tu, itakuwa timu ya kwanza kushuka daraja.Ni marufuku kuvaa nguo ya jeshi kama wewe sio mwanajeshi, lakini kwa heshima yako wewe mwana Kigoma, kwa heshima ya mashabiki wa Mashujaa Football Club, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda kakupa uhuru sasa utavaa Logo ya JWTZ kifuani kwako.
Hii ni heshima kubwa kwako mwanakigoma, sasa ni wakati wakuvaa kilicho bora.
Logo ya 'umoja' ya ''Tanzania People's Defence Force'' itakua kifuani kwako kuanzia Tarehe 10/8/2023, siku ya Alhamis.
Hizi ndio jezi rasmi za Watanganyika kwa msimu wa mwaka 2023-2024
Utaratibu wa kupatikana kwake na Maduka yatakayouza jezi zetu yatatangazwa kabla ya siku husika.
Jezi zitapatikana Nchi nzima kwa bei rafiki, hii ndio Mashujaa Football Club
Je utapenda kuvalia nyeupe?
View attachment 2709334
...............
View attachment 2709335
Au utavalia mawese?
View attachment 2709339
,,,,,,,,,,,,,,
View attachment 2709343
Au utavalia rangi ya Ziwa Tanganyika?
View attachment 2709344
................
View attachment 2709350
Karibuni Kigoma, karibuni Magharibi mwa Tanzania, Karibuni Tanganyika
Kigoma the home of talents, acha wivu utakufa mapemaJezi zinapatikana nchi nzima au sio! Yaan nikiwa na akili timamu nivae jezi za waha! aah wapi.
Jezi zinapatikanaje kwa tulio mikoa mingine?.Ni marufuku kuvaa nguo ya jeshi kama wewe sio mwanajeshi, lakini kwa heshima yako wewe mwana Kigoma, kwa heshima ya mashabiki wa Mashujaa Football Club, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda kakupa uhuru sasa utavaa Logo ya JWTZ kifuani kwako.
Hii ni heshima kubwa kwako mwanakigoma, sasa ni wakati wakuvaa kilicho bora.
Logo ya 'umoja' ya ''Tanzania People's Defence Force'' itakua kifuani kwako kuanzia Tarehe 10/8/2023, siku ya Alhamis.
Hizi ndio jezi rasmi za Watanganyika kwa msimu wa mwaka 2023-2024
Utaratibu wa kupatikana kwake na Maduka yatakayouza jezi zetu yatatangazwa kabla ya siku husika.
Jezi zitapatikana Nchi nzima kwa bei rafiki, hii ndio Mashujaa Football Club
Je utapenda kuvalia nyeupe?
View attachment 2709334
...............
View attachment 2709335
Au utavalia mawese?
View attachment 2709339
,,,,,,,,,,,,,,
View attachment 2709343
Au utavalia rangi ya Ziwa Tanganyika?
View attachment 2709344
................
View attachment 2709350
Karibuni Kigoma, karibuni Magharibi mwa Tanzania, Karibuni Tanganyika
Hatari sanaKuna timu ya ligi kuu iliwahi kuduwazwa na hawa jamaa mwaka fulani hivi kwenye mashindano ya ASFC!! Sijui ilikuwa ni timu gani ile....!!
Bei zake???Ni marufuku kuvaa nguo ya jeshi kama wewe sio mwanajeshi, lakini kwa heshima yako wewe mwana Kigoma, kwa heshima ya mashabiki wa Mashujaa Football Club, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda kakupa uhuru sasa utavaa Logo ya JWTZ kifuani kwako.
Hii ni heshima kubwa kwako mwanakigoma, sasa ni wakati wakuvaa kilicho bora.
Logo ya 'umoja' ya ''Tanzania People's Defence Force'' itakua kifuani kwako kuanzia Tarehe 10/8/2023, siku ya Alhamis.
Hizi ndio jezi rasmi za Watanganyika kwa msimu wa mwaka 2023-2024
Utaratibu wa kupatikana kwake na Maduka yatakayouza jezi zetu yatatangazwa kabla ya siku husika.
Jezi zitapatikana Nchi nzima kwa bei rafiki, hii ndio Mashujaa Football Club
Je utapenda kuvalia nyeupe?
View attachment 2709334
...............
View attachment 2709335
Au utavalia mawese?
View attachment 2709339
,,,,,,,,,,,,,,
View attachment 2709343
Au utavalia rangi ya Ziwa Tanganyika?
View attachment 2709344
................
View attachment 2709350
Karibuni Kigoma, karibuni Magharibi mwa Tanzania, Karibuni Tanganyika
Ndio nini sasa? Sasa, kuvaa logo ya jw, kuna, saidia nini? Unajivunia hili jeshi, kwa lipi waliofanya? Kuna, watu richa ya kuwa tupo 2023! Wao bado wanaishi 1980!!!Ni marufuku kuvaa nguo ya jeshi kama wewe sio mwanajeshi, lakini kwa heshima yako wewe mwana Kigoma, kwa heshima ya mashabiki wa Mashujaa Football Club, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda kakupa uhuru sasa utavaa Logo ya JWTZ kifuani kwako.
Hii ni heshima kubwa kwako mwanakigoma, sasa ni wakati wakuvaa kilicho bora.
Logo ya 'umoja' ya ''Tanzania People's Defence Force'' itakua kifuani kwako kuanzia Tarehe 10/8/2023, siku ya Alhamis.
Hizi ndio jezi rasmi za Watanganyika kwa msimu wa mwaka 2023-2024
Utaratibu wa kupatikana kwake na Maduka yatakayouza jezi zetu yatatangazwa kabla ya siku husika.
Jezi zitapatikana Nchi nzima kwa bei rafiki, hii ndio Mashujaa Football Club
Je utapenda kuvalia nyeupe?
View attachment 2709334
...............
View attachment 2709335
Au utavalia mawese?
View attachment 2709339
,,,,,,,,,,,,,,
View attachment 2709343
Au utavalia rangi ya Ziwa Tanganyika?
View attachment 2709344
................
View attachment 2709350
Karibuni Kigoma, karibuni Magharibi mwa Tanzania, Karibuni Tanganyika
hii komenti yako itakusuta ajabu!!Hawa
Hawa msimu ujao hawatoboi wataishia kubishana tu, itakuwa timu ya kwanza kushuka daraja.
Muombe Moderator akurekebishie title ya threadNi marufuku kuvaa nguo ya jeshi kama wewe sio mwanajeshi, lakini kwa heshima yako wewe mwana Kigoma, kwa heshima ya mashabiki wa Mashujaa Football Club, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda kakupa uhuru sasa utavaa Logo ya JWTZ kifuani kwako.
Hii ni heshima kubwa kwako mwanakigoma, sasa ni wakati wakuvaa kilicho bora.
Logo ya 'umoja' ya ''Tanzania People's Defence Force'' itakua kifuani kwako kuanzia Tarehe 10/8/2023, siku ya Alhamis.
Hizi ndio jezi rasmi za Watanganyika kwa msimu wa mwaka 2023-2024
Utaratibu wa kupatikana kwake na Maduka yatakayouza jezi zetu yatatangazwa kabla ya siku husika.
Jezi zitapatikana Nchi nzima kwa bei rafiki, hii ndio Mashujaa Football Club
Je utapenda kuvalia nyeupe?
View attachment 2709334
...............
View attachment 2709335
Au utavalia mawese?
View attachment 2709339
,,,,,,,,,,,,,,
View attachment 2709343
Au utavalia rangi ya Ziwa Tanganyika?
View attachment 2709344
................
View attachment 2709350
Karibuni Kigoma, karibuni Magharibi mwa Tanzania, Karibuni Tanganyika
Badala ya "ruksa" imeandikwa "rukra".Wenyewe ndio wamerekebisha, mimi sikuandika kichwa hicho cha habari ila wao ndio wameweka kichwa hicho
Wao ndio wameandika hivyo, kichwa cha mada hakikuwa hivyo.Badala ya "ruksa" imeandikwa "rukra".