Though hainihusu
1. Mwanaume mchafu (kuna tofauti ya kuwa rough na mchafu) kuna wakaka ni wachafu mpaka unajiuliza anaishije
2. Mwanaume bahili na mbinafsi huyu hata kwenye ndoa hamuwezi kuishi kama team
3. Mwanaume mwenye mfumo dume wa kijinga usio na tija wa hivi hata kushauriana inakua nongwa wanakuaga much know sana
4. Mwanaume mwenye verbal na physical abuse yani hawa kukupa sonana, ulemavu au kifo ni jambo la muda tu
5. Mwanaume anaependa mazoea yasiyo na tija na wanawake esp maex. Ukishakua na mwanamke haina haja ya mazoea ya hovyo hovyo na wanawake wengine, mwenza wako should be your best friend
6. MWANAUME AMBAE ANALINDA SIMU YAKE KAMA VILE YEYE NI CIA. Sio lazima kukagua simu ya mtu but ukihitaji kuitumia sio unakutana na vikwazo mpaka unajiuliza hii ni simu au ni kitu gani?
Maisha ni haya haya mahusiano sio vita.
Nashukuru Mungu, nlipata tu kijana muungwana tukahangaika weeeee na hatimaye tumekutana katikati. Kifo tu kitaingilia kati