Ni red flags zipi ukiziona kwenye mahusiano mapya unaanza kutafuta mlango wa kutoka?

Ni red flags zipi ukiziona kwenye mahusiano mapya unaanza kutafuta mlango wa kutoka?

Mtu bahili.....kimbia umuachie na laana
Define bahiri, maana ninyi mabinti wa siku hizi, chuma ulete ndio jukumu lenu namba moja katika mahusiano, kauli mbiu yenu ni "Hanihudumii" utadhani mlemavu au mzee wa miaka 90 au mgonjwa.

Kama yeye ni bahiri wewe huwa unampatia chochote hadi ulazimishe reciprocation eneo la pesa?

Why utake mtoto wa watu akupe vitu ambavyo wewe pamoja na familia yako mlishindwa kupeana hadi uje vitafuta huku nje, why usiishi kwa standards za level ya familia ulipotoka unapretend halafu unataka gharama abebe kijana wa watu?!

Ishi na kijana wa watu kama unavyoishi na baba yako. Sio mtoto wa watu unataka akuwekee bundle ya 50K wakati mzee wako hana uwezo hata wa kukutumia buku tano kwa wiki.

Humble yourself and God will raise your status.
 
Mpaka sasa hivi sijaona comment ya mtu akisema
"Akinizidi elimu"
Kwa mwanaume elimu sio criteria ya kumchagua mwanamke sababu kwake haina faida wala hasara. Kwa mwanaume mwanamke kuwa na elimu au kutokuwa nayo haidhuru maamuzi yake ya kumchagua as long as anabehave kama inavyotegemewa mwanamke kubehave.
 
Define bahiri, maana ninyi mabinti wa siku hizi, chuma ulete ndio jukumu lenu namba moja katika mahusiano, kauli mbiu yenu ni "Hanihudumii" utadhani mlemavu au mzee wa miaka 90 au mgonjwa.

Kama yeye ni bahiri wewe huwa unampatia chochote hadi ulazimishe reciprocation eneo la pesa?

Why utake mtoto wa watu akupe vitu ambavyo wewe pamoja na familia yako mlishindwa kupeana hadi uje vitafuta huku nje, why usiishi kwa standards za level ya familia ulipotoka unapretend halafu unataka gharama abebe kijana wa watu?!

Ishi na kijana wa watu kama unavyoishi na baba yako. Sio mtoto wa watu unataka akuwekee bundle ya 50K wakati mzee wako hana uwezo hata wa kukutumia buku tano kwa wiki.

Humble yourself and God will raise your status.
Unajibizana na makahaba mkuu,
 
Unajibizana na makahaba mkuu,
Its better kuwapa ukweli kuliko kukalia kimya huku wao wakiamini wapo sahihi. Mabinti wengi wanaona its a crime mwanaume kushindwa kumpatia mahitaji yake ya kifedha kwa kujisahaulisha kuwa wao wanatoka familia zenye njaa na kipato cha chini.

Kama Baba yake anaweza mpa vitu anataka then why asumbue kijana wa watu anayejipanga kimaisha bila msaada wowote, na kama kwao baba yake na familia hawana uwezo then why atake kupewa vitu ambavyo familia yake nzima wamefeli kumpa?

Ni swala la kujitambua tu na kuelewa where someone belongs bila kufosi matawi ambayo sio uhalisia.
 
Mimi pisi yoyote ya Dar ina red flag yangu... No matter what and hata wasijaribu kuniigizia wakapoteza muda maana siwezi kuingia mkenge.

Jus Hitting and Hussein Bolt.
 
-:Ma feminist kwa kweli sichukui hata dakika shwaa

-:Ana tatoo sehem yoyote ktk mwili wake shwaa

-:akiniletea sababu ya kipuuzi ili kuninyima utelezi siku hiyo hiyo shwaa

-:mwanamke mchafu sitaki hata kumskia, hivi mwanamke unaanzake kuwa mchafu? Kuna wanawake ni wachafu ila ukiwakuta walivopendeza hautoamini.

NB, swala la kupika kwangu sio kipaumbele kabisa ktk maisha yangu, sijaoa ili aje kunipikia ni ziada tu hiyo
 
Define bahiri, maana ninyi mabinti wa siku hizi, chuma ulete ndio jukumu lenu namba moja katika mahusiano, kauli mbiu yenu ni "Hanihudumii" utadhani mlemavu au mzee wa miaka 90 au mgonjwa.

Kama yeye ni bahiri wewe huwa unampatia chochote hadi ulazimishe reciprocation eneo la pesa?

Why utake mtoto wa watu akupe vitu ambavyo wewe pamoja na familia yako mlishindwa kupeana hadi uje vitafuta huku nje, why usiishi kwa standards za level ya familia ulipotoka unapretend halafu unataka gharama abebe kijana wa watu?!

Ishi na kijana wa watu kama unavyoishi na baba yako. Sio mtoto wa watu unataka akuwekee bundle ya 50K wakati mzee wako hana uwezo hata wa kukutumia buku tano kwa wiki.

Humble yourself and God will raise your status.
Niishi kama naishi na baba angu?? 😁 Baba angu ananinunulia hadi gauni la sikukuu, ndio nataka na mpenzi wangu aninunulie
 
Upendo wa aina hiyo ulisha ondoka na mafuta ya yolanda.
Sio kweli wanawake wenye upendo bado wapo, Me wangu nikiumwaga anahaha anakuja na haondoki mpaka nimwambie ww nenda tu nyumban na sim ni kila muda anapiga.

NB, Huyu haniombagi hela kabisa huwa najiongeza me nikiwa fresh namtoa tu bila kuombwa, nakaaga hata mwezi hajala hata mia yangu.

Mambo yake yote ananiambia hanifichi, bado sijamuoa lkn akiwa anaenda sehem tofauti na job kwake lazima aniage na tuna miaka zaidi ya 3
 
Red Flags zangu:
1_ Elimu ndogo: Hapa najua kabisa tutasumbuana kuelekezana mambo marahisi kabisa.

2_ Njaa: Mwanamke hata nauli au kahela alf 3 hauna mfukoni sasa ww unafaida gani na mimi? Mara nyingi wanawake zangu hata nauli huwa siwapi maana ni kama kumtukana.

3_ Starehe za Usiku: Mimi nimezunguka sana Usiku ktk starehe nimejionea hawa viumbe jinsi wanavyokuwa treated.

4_ Ego: hapa bhana mimi nina nature hiyo hasa ktk relationship (Yale maswala ya sikutafuti mpk unitafute hapa ndipo mahala pake) nikikutana na mwenzangu nae ana Ego basi mambo ni moto.. hatuchukui round.
 
Mwanamke anaetaka kuchukua nafasi yangu kama mwanaume, Thats a big turnoff.
Mimi ndo nitatake care familia, nitahakikisha mwanamke wangu nawatoto wangu wanapata kila kitu lakini dont try to take my position, tutagombana vibaya sana
She's very lucky to have you, km huna, Mungu akupe mke mwema ili uenjoy mahusiano yako. Vijana wengi hawajui raha ya kuwa kichwa ktk uhusiano. Ndo mana wanahangaika km kuku vishingo!
 
Wanawake wanapenda wanaume anayeprovide, wanaume hawapendi mwanamke anayepiga vizinga … ndio maana hakuna mahusiano Siku hizi kila mtu abaki na utamu wake!!!
 
Back
Top Bottom