Ni red flags zipi ukiziona kwenye mahusiano mapya unaanza kutafuta mlango wa kutoka?

Ni red flags zipi ukiziona kwenye mahusiano mapya unaanza kutafuta mlango wa kutoka?

Juzi: baby naumwa naona uvivu.
Jana: baby naumwa umwa naenda hospital
Leo: baby naumwa umwa sijisikii
Kesho: baby naumwa kichwa sipo Sawa
Kesho kutwa: baby naumwa sijui nini sijielewi mwili umechoka.

Mabinti wanaona fashion kuumwa ili utoe pesa,
Akili yangu ishapima hakuna mwanamke hapo asije akapass genes za magonjwa ya ovyo ovyo kwa wanangu so nalala mbele mapema.
 
Mimi demu ikifika usiku na mdanganya naumwa then na mtakia usiku mwema, alafu na piga kimnya simtafuti kesho yake..

Na kukikucha na hesabu masaa sita tuu asipo nitafuta kuniuliza nimeamkaje na naendeleaje inakua imeisha hivyo yani na sijali kama ana salio au hana ,

mwanamke akikupenda ukimwambia unaumwa anakua hatulii anaangaika nafsi yake. Hata kama hana salio atatumia simu hata ya baba yake kukuuliza tuu unaendeleaje akishindwa kama yupo karibu na wewe atatoroka aje ata akuchungulie tuu ajue upo hai au ndio umezima


Hiyo kwangu ndio full red light and red flags.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Haaa jamn mtutake radhi simu ya nani????
 
Kuna mmoja alinikata maini kabisa yule mshenzi kila mda ni In & Out pumbavu akitaka Pesa baby hunny nyingi sana ukichomoa anafuta mnakua washkaji nikajua tu huyu ni MCHIMBA MADINI piga CHINI
 
Mimi demu ikifika usiku na mdanganya naumwa then na mtakia usiku mwema, alafu na piga kimnya simtafuti kesho yake..

Na kukikucha na hesabu masaa sita tuu asipo nitafuta kuniuliza nimeamkaje na naendeleaje inakua imeisha hivyo yani na sijali kama ana salio au hana ,

mwanamke akikupenda ukimwambia unaumwa anakua hatulii anaangaika nafsi yake. Hata kama hana salio atatumia simu hata ya baba yake kukuuliza tuu unaendeleaje akishindwa kama yupo karibu na wewe atatoroka aje ata akuchungulie tuu ajue upo hai au ndio umezima


Hiyo kwangu ndio full red light and red flags.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Upendo wa aina hiyo ulisha ondoka na mafuta ya yolanda.
 
Kuna vijitabia huwa tunaviita red flags yani mtu akiwa navyo basi hamuwezi kudumu unaanza kutafuta exit strategy.

Kwangu mimi:

1. Nikimkuta binti ana chats nyingi na wanaume whatsapp huwa ni turn off kwangu, off course inaweza kuwa ni wafanyakazi wenzake, wanafunzi wenzake, wateja, n.k. lakini hii hali kwangu huwa ni red flag.

2. Uchafu - Unakuta pisi iko bomba lakini sasa suala la hygiene ni mzozo, hata kukiss inabidi uzuge umeleta choclate mle wote uanze kuleta uzungu wa kupiga mswaki kuzuia meno kuoza, kuzunguka kote huko ili apige mswaki.

3. kuomba pesa kila siku - Pesa ya kila wiki nipo tayari kutoa lakini kila siku hio ni red flag, nikiitoa ni bili ya kumnunua kahaba niliemtamani, nikimaliza haja zangu nakula kona, hakuna mahusiano hapo!

4. Hajui kupika - kitandani hata awe kama gogo tutavumiliana ntapeleka moto mimi, lakini unakutana ba binti hajui kupika, ni shida! akipika kazidisha chumvi, wali unatoka boko, ugali mbichi! umetoka kwenye shughuli zako una njaa, unaletewa ugali mbichi, hasira + njaa ndio zinafanya hata wanaume wapole kutoa vipigo.

5. Tattoo - alafu iwe ya kiunoni, kalio, hips au pajani, nisiongee mengi sana, hapana aisee!
AU KILA SIKU ANAKUJA GETO HATAKI KUFANYA USAFI AU AKISIKIA KUPIKA ANAANZA MILIO HASA KUPIKA UGALI ANATAKA AKAANGE CHIPSI TU
 
Kuna vijitabia huwa tunaviita red flags yani mtu akiwa navyo basi hamuwezi kudumu unaanza kutafuta exit strategy.

Kwangu mimi:

1. Nikimkuta binti ana chats nyingi na wanaume whatsapp huwa ni turn off kwangu, off course inaweza kuwa ni wafanyakazi wenzake, wanafunzi wenzake, wateja, n.k. lakini hii hali kwangu huwa ni red flag.

2. Uchafu - Unakuta pisi iko bomba lakini sasa suala la hygiene ni mzozo, hata kukiss inabidi uzuge umeleta choclate mle wote uanze kuleta uzungu wa kupiga mswaki kuzuia meno kuoza, kuzunguka kote huko ili apige mswaki.

3. kuomba pesa kila siku - Pesa ya kila wiki nipo tayari kutoa lakini kila siku hio ni red flag, nikiitoa ni bili ya kumnunua kahaba niliemtamani, nikimaliza haja zangu nakula kona, hakuna mahusiano hapo!

4. Hajui kupika - kitandani hata awe kama gogo tutavumiliana ntapeleka moto mimi, lakini unakutana ba binti hajui kupika, ni shida! akipika kazidisha chumvi, wali unatoka boko, ugali mbichi! umetoka kwenye shughuli zako una njaa, unaletewa ugali mbichi, hasira + njaa ndio zinafanya hata wanaume wapole kutoa vipigo.

5. Tattoo - alafu iwe ya kiunoni, kalio, hips au pajani, nisiongee mengi sana, hapana aisee!
6.Kutopokea simu
7.Simu kuwa bize mda wote
9.Excuse kila unapoomba appointments.
10.Kuwa na Makaka/Bamdogo Wengi.
11.etc,...
 
Mimi demu ikifika usiku na mdanganya naumwa then na mtakia usiku mwema, alafu na piga kimnya simtafuti kesho yake..

Na kukikucha na hesabu masaa sita tuu asipo nitafuta kuniuliza nimeamkaje na naendeleaje inakua imeisha hivyo yani na sijali kama ana salio au hana ,

mwanamke akikupenda ukimwambia unaumwa anakua hatulii anaangaika nafsi yake. Hata kama hana salio atatumia simu hata ya baba yake kukuuliza tuu unaendeleaje akishindwa kama yupo karibu na wewe atatoroka aje ata akuchungulie tuu ajue upo hai au ndio umezima


Hiyo kwangu ndio full red light and red flags.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hili nalo neno kweli kabisa hapo utajua unapendwa hupendwi.
Nhoja nifanye hii kwa hii pisi kali. Hannah nimepata litmus test ya yule pisi kali. Nitakupa mrejesho
 
Back
Top Bottom