Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Awe muongo muongo. Mwanamke kuwa muongo ni aibu kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubahili wa namna ipi? FafanuaMtu bahili.....kimbia umuachie na laana
Swali zuri alitumwa apangeKwani mumeo huyo mpaka alipo kodi
Wewe lipa , issue ya mim kuitumia kimipango mingine haikuhuauKwani mumeo huyo mpaka alipo kodi
Tunalipa kodi kwa wake wewe wakugegeduana utapata outing tuuWewe lipa , issue ya mim kuitumia kimipango mingine haikuhuau
Mimi demu ikifika usiku na mdanganya naumwa then na mtakia usiku mwema, alafu na piga kimnya simtafuti kesho yake..
Na kukikucha na hesabu masaa sita tuu asipo nitafuta kuniuliza nimeamkaje na naendeleaje inakua imeisha hivyo yani na sijali kama ana salio au hana ,
mwanamke akikupenda ukimwambia unaumwa anakua hatulii anaangaika nafsi yake. Hata kama hana salio atatumia simu hata ya baba yake kukuuliza tuu unaendeleaje akishindwa kama yupo karibu na wewe atatoroka aje ata akuchungulie tuu ajue upo hai au ndio umezima
Hiyo kwangu ndio full red light and red flags.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hili RUNGUBaby nikuambie kitu??
Wangu anasifa hizi....yaani asubuhi asubuhi kelele,ukimkosoa kidogo umemdharau,kibri.1.Mutu iko na lisala daily.
2.Perfection mama.
3.Hasira na kibri
4.Umbea,uongo na unafiki
Viuno vya fujo kama anacheza sindimba ! nasepaa
Upendo wa aina hiyo ulisha ondoka na mafuta ya yolanda.Mimi demu ikifika usiku na mdanganya naumwa then na mtakia usiku mwema, alafu na piga kimnya simtafuti kesho yake..
Na kukikucha na hesabu masaa sita tuu asipo nitafuta kuniuliza nimeamkaje na naendeleaje inakua imeisha hivyo yani na sijali kama ana salio au hana ,
mwanamke akikupenda ukimwambia unaumwa anakua hatulii anaangaika nafsi yake. Hata kama hana salio atatumia simu hata ya baba yake kukuuliza tuu unaendeleaje akishindwa kama yupo karibu na wewe atatoroka aje ata akuchungulie tuu ajue upo hai au ndio umezima
Hiyo kwangu ndio full red light and red flags.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
AU KILA SIKU ANAKUJA GETO HATAKI KUFANYA USAFI AU AKISIKIA KUPIKA ANAANZA MILIO HASA KUPIKA UGALI ANATAKA AKAANGE CHIPSI TUKuna vijitabia huwa tunaviita red flags yani mtu akiwa navyo basi hamuwezi kudumu unaanza kutafuta exit strategy.
Kwangu mimi:
1. Nikimkuta binti ana chats nyingi na wanaume whatsapp huwa ni turn off kwangu, off course inaweza kuwa ni wafanyakazi wenzake, wanafunzi wenzake, wateja, n.k. lakini hii hali kwangu huwa ni red flag.
2. Uchafu - Unakuta pisi iko bomba lakini sasa suala la hygiene ni mzozo, hata kukiss inabidi uzuge umeleta choclate mle wote uanze kuleta uzungu wa kupiga mswaki kuzuia meno kuoza, kuzunguka kote huko ili apige mswaki.
3. kuomba pesa kila siku - Pesa ya kila wiki nipo tayari kutoa lakini kila siku hio ni red flag, nikiitoa ni bili ya kumnunua kahaba niliemtamani, nikimaliza haja zangu nakula kona, hakuna mahusiano hapo!
4. Hajui kupika - kitandani hata awe kama gogo tutavumiliana ntapeleka moto mimi, lakini unakutana ba binti hajui kupika, ni shida! akipika kazidisha chumvi, wali unatoka boko, ugali mbichi! umetoka kwenye shughuli zako una njaa, unaletewa ugali mbichi, hasira + njaa ndio zinafanya hata wanaume wapole kutoa vipigo.
5. Tattoo - alafu iwe ya kiunoni, kalio, hips au pajani, nisiongee mengi sana, hapana aisee!
Swala la matumizi ni jukumu la baba yako kama bado upo kwake !Matumizi hadi niombe ni red flag tosha kwangu
6.Kutopokea simuKuna vijitabia huwa tunaviita red flags yani mtu akiwa navyo basi hamuwezi kudumu unaanza kutafuta exit strategy.
Kwangu mimi:
1. Nikimkuta binti ana chats nyingi na wanaume whatsapp huwa ni turn off kwangu, off course inaweza kuwa ni wafanyakazi wenzake, wanafunzi wenzake, wateja, n.k. lakini hii hali kwangu huwa ni red flag.
2. Uchafu - Unakuta pisi iko bomba lakini sasa suala la hygiene ni mzozo, hata kukiss inabidi uzuge umeleta choclate mle wote uanze kuleta uzungu wa kupiga mswaki kuzuia meno kuoza, kuzunguka kote huko ili apige mswaki.
3. kuomba pesa kila siku - Pesa ya kila wiki nipo tayari kutoa lakini kila siku hio ni red flag, nikiitoa ni bili ya kumnunua kahaba niliemtamani, nikimaliza haja zangu nakula kona, hakuna mahusiano hapo!
4. Hajui kupika - kitandani hata awe kama gogo tutavumiliana ntapeleka moto mimi, lakini unakutana ba binti hajui kupika, ni shida! akipika kazidisha chumvi, wali unatoka boko, ugali mbichi! umetoka kwenye shughuli zako una njaa, unaletewa ugali mbichi, hasira + njaa ndio zinafanya hata wanaume wapole kutoa vipigo.
5. Tattoo - alafu iwe ya kiunoni, kalio, hips au pajani, nisiongee mengi sana, hapana aisee!
Hili nalo neno kweli kabisa hapo utajua unapendwa hupendwi.Mimi demu ikifika usiku na mdanganya naumwa then na mtakia usiku mwema, alafu na piga kimnya simtafuti kesho yake..
Na kukikucha na hesabu masaa sita tuu asipo nitafuta kuniuliza nimeamkaje na naendeleaje inakua imeisha hivyo yani na sijali kama ana salio au hana ,
mwanamke akikupenda ukimwambia unaumwa anakua hatulii anaangaika nafsi yake. Hata kama hana salio atatumia simu hata ya baba yake kukuuliza tuu unaendeleaje akishindwa kama yupo karibu na wewe atatoroka aje ata akuchungulie tuu ajue upo hai au ndio umezima
Hiyo kwangu ndio full red light and red flags.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app