Ni red flags zipi ukiziona kwenye mahusiano mapya unaanza kutafuta mlango wa kutoka?

Ni red flags zipi ukiziona kwenye mahusiano mapya unaanza kutafuta mlango wa kutoka?

Mimi demu ikifika usiku na mdanganya naumwa then na mtakia usiku mwema, alafu na piga kimnya simtafuti kesho yake..

Na kukikucha na hesabu masaa sita tuu asipo nitafuta kuniuliza nimeamkaje na naendeleaje inakua imeisha hivyo yani na sijali kama ana salio au hana ,

mwanamke akikupenda ukimwambia unaumwa anakua hatulii anaangaika nafsi yake. Hata kama hana salio atatumia simu hata ya baba yake kukuuliza tuu unaendeleaje akishindwa kama yupo karibu na wewe atatoroka aje ata akuchungulie tuu ajue upo hai au ndio umezima


Hiyo kwangu ndio full red light and red flags.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaa sitawezana hata kama mm ndo ningekua demu wako[emoji174][emoji174][emoji112][emoji112]
 
Demu huninyonyi ub** tunaachana
Aisee Kweli nilishangaa kuna siku Mtt nampa Koni anyonye eti anasem hajazoea, kumlazimisha sana Kuiweka mdomoni kwann asianze kuipitisha kwny Meno mm huku Full maumivu nkamwambia tu bas inatosha,

Tangu siku hiyo kabla ya Kudate na dem yyte namuuliz kabs umekubaliana na kipengele cha Kunyonya koni ama La? Maan mm hyo nd Fantasy yangu

NB: Huyo dem aliyeshndwa kunyonya Nilimtakia Maisha mema maan nilijua tu Hatutowezana
 
ogopa sana mwanamke anayekuambia ana ndoto zake kuubwa afu ukimcheck hana mwelekeo huyo atakua mwanamke mwangaikaji na sio mtafutaji

ogopa mdada anayefanya network marketing huyo ashakua brainwashed kumrejesha ni kazi

Ogopa mdada ambaye hapindui kwa mama yake, remote ya ndoa yenu itakua kwa mamamkwe

Ogopa mdada anayefanya maamuzi muhimu kwa siri bila kukushirikisha huyo atabomoa ndoa bila wewe kujua
 
Kuna vijitabia huwa tunaviita red flags yani mtu akiwa navyo basi hamuwezi kudumu unaanza kutafuta exit strategy.

Kwangu mimi:

1. Nikimkuta binti ana chats nyingi na wanaume whatsapp huwa ni turn off kwangu, off course inaweza kuwa ni wafanyakazi wenzake, wanafunzi wenzake, wateja, n.k. lakini hii hali kwangu huwa ni red flag.

2. Uchafu - Unakuta pisi iko bomba lakini sasa suala la hygiene ni mzozo, hata kukiss inabidi uzuge umeleta choclate mle wote uanze kuleta uzungu wa kupiga mswaki kuzuia meno kuoza, kuzunguka kote huko ili apige mswaki.

3. kuomba pesa kila siku - Pesa ya kila wiki nipo tayari kutoa lakini kila siku hio ni red flag, nikiitoa ni bili ya kumnunua kahaba niliemtamani, nikimaliza haja zangu nakula kona, hakuna mahusiano hapo!

4. Hajui kupika - kitandani hata awe kama gogo tutavumiliana ntapeleka moto mimi, lakini unakutana ba binti hajui kupika, ni shida! akipika kazidisha chumvi, wali unatoka boko, ugali mbichi! umetoka kwenye shughuli zako una njaa, unaletewa ugali mbichi, hasira + njaa ndio zinafanya hata wanaume wapole kutoa vipigo.

5. Tattoo - alafu iwe ya kiunoni, kalio, hips au pajani, nisiongee mengi sana, hapana aisee!
 
Kuna vijitabia huwa tunaviita red flags yani mtu akiwa navyo basi hamuwezi kudumu unaanza kutafuta exit strategy.

Kwangu mimi:

1. Nikimkuta binti ana chats nyingi na wanaume whatsapp huwa ni turn off kwangu, off course inaweza kuwa ni wafanyakazi wenzake, wanafunzi wenzake, wateja, n.k. lakini hii hali kwangu huwa ni red flag.

2. Uchafu - Unakuta pisi iko bomba lakini sasa suala la hygiene ni mzozo, hata kukiss inabidi uzuge umeleta choclate mle wote uanze kuleta uzungu wa kupiga mswaki kuzuia meno kuoza, kuzunguka kote huko ili apige mswaki.

3. kuomba pesa kila siku - Pesa ya kila wiki nipo tayari kutoa lakini kila siku hio ni red flag, nikiitoa ni bili ya kumnunua kahaba niliemtamani, nikimaliza haja zangu nakula kona, hakuna mahusiano hapo!

4. Hajui kupika - kitandani hata awe kama gogo tutavumiliana ntapeleka moto mimi, lakini unakutana ba binti hajui kupika, ni shida! akipika kazidisha chumvi, wali unatoka boko, ugali mbichi! umetoka kwenye shughuli zako una njaa, unaletewa ugali mbichi, hasira + njaa ndio zinafanya hata wanaume wapole kutoa vipigo.

5. Tattoo - alafu iwe ya kiunoni, kalio, hips au pajani, nisiongee mengi sana, hapana aisee!
Haaaaa
 
Demu akisema mie marafiki zangu wengi wakiume.

Mara wanaume wote ni mbwa.

Mie mwanaume akicheat lazima nitalipiza.

Mwanaume bahili mie siwezi date nae
 
Back
Top Bottom