Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Miuno feni muhimu sana dau lile lile tu akiwa goigoi kunako 6×6 anatafutiwa mwenzake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miuno feni muhimu sana dau lile lile tu akiwa goigoi kunako 6×6 anatafutiwa mwenzake
Papuchi ikinuka Kick out.
Sms ikisema anaumwa
Nimekuachia laana
Mkuu akisema hivyo akili inasema ukimwi huoo 😂😂Mkuu si unamtibu apone sasa wewe mtu akiugua unamkimbia tena[emoji23][emoji23][emoji23]
😅 AiseeKuna vijitabia huwa tunaviita red flags yani mtu akiwa navyo basi hamuwezi kudumu sababu wewe huwezi kuvumilia.
Kwangu mimi:
1. Nikimkuta binti ana chats nyingi na wanaume whatsapp huwa ni turn off kwangu, off course inaweza kuwa ni wafanyakazi wenzake, wanafunzi wenzake, wateja, n.k. lakini hii hali kwangu huwa ni red flag.
2. Uchafu - Unakuta pisi iko bomba lakini sasa suala la hygiene ni mzozo, hata kukiss inabidi uzuge umeleta choclate mle wote uanze kuleta uzungu wa kupiga mswaki kuzuia meno kuoza, kuzunguka kote huko ili apige mswaki.
3. kuomba pesa kila siku - Pesa ya kila wiki nipo tayari kutoa lakini kila siku hio ni red flag, nikiitoa ni bili ya kumnunua kahaba niliemtamani, nikimaliza haja zangu nakula kona, hakuna mahusiano hapo !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekuachia laana
Kha😂😂Mimi demu ikifika usiku na mdanganya naumwa then na mtakia usiku mwema, alafu na piga kimnya simtafuti kesho yake..
Na kukikucha na hesabu masaa sita tuu asipo nitafuta kuniuliza nimeamkaje na naendeleaje inakua imeisha hivyo yani na sijali kama ana salio au hana ,
mwanamke akikupenda ukimwambia unaumwa anakua hatulii anaangaika nafsi yake. Hata kama hana salio atatumia simu hata ya baba yake kukuuliza tuu unaendeleaje akishindwa kama yupo karibu na wewe atatoroka aje ata akuchungulie tuu ajue upo hai au ndio umezima
Hiyo kwangu ndio full red light and red flags.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
NaamKha[emoji23][emoji23]
Kwakweli mtuhurumie 🤣🤣🤣
Hiyo namba mbili huwa inakata sana, na sio watu wa kuadmit wamekosea na hawaombi msamaha.1.Mutu iko na lisala daily.
2.Perfection mama.
3.Hasira na kibri
4.Umbea,uongo na unafiki